Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Jinga amezoeya kutumikishwa hapo lumumba na watu wenye vitambi kama drum ndiyomaana anataka kutupangia makamu wetu.Wewe ulitaka uone jitu lenye kitambi kikubwa ndio uone anafaa kuwa makamu wa rais? Au unataka uone vikongwe?
Sijapenda mleta mada alivyo onesha ndugu Mussa Mwalimu hastahili kuwa makamu wa raisi bila kusema sababu za kusema hivyo...anatosha.
..ana elimu kuliko Edward Sokoine, au Rashid Kawawa.
Acha ukabila do go. Lissu ni namba nyingineLissu pamoja na Mwalimu ni mzaha kwenye urais. Afadhali ya Mzee Hashim Rungwe!
Hujui ulisemalo. Dunia ya maarifa,ujuzi na performance siyo Elimu n.a. vyetiUkweli ni huo kuwa ni mgombea wa Chadema, lakini hauondoi mapungufu ya Mwalimu na uwezo wake mdogo alio nao wa kuongoza nchi yetu na sio nchi ya Chadema...
Hebu thibitisha haya unayoandika hapa!Watu wa mizaha na nchi yetu wanazidi kuongezeka mitandaoni, kwa kitu Gani, au kuna nini kipya ataleta Mwalimu au kuingiza ujinga katika kuongoza serikali. Muwe mnatoa michango ya personalities ili muheshimike. Form iv , certificate in journalism ya Ilala shamba , kutangaza TV ya CCM ndio sifa ya kuwa Rais, hii mizaha ya kupitiliza. Bora Mbowe shule hana lakini unauelewa wa kutosha na ame mature. MNATUTANIA NCHI HII NI YA SISI SOTE.
Ukabila nimeuonesha wapi hapo? Pumbavu!Acha ukabila do go. Lissu ni namba nyingine
Mwalimu alikuwa ana masters degree alipoikomboa nchi..Mkuu huyo ni mashine nyingine ,huyo ni kama wakina kiduku wa korea kaskazin huyo muache alivyo na uzuri nimesoma na wazanzibar nawamisi sana na ni watu wajitambua sana na nishupavu , niseme tz tuna viongozi wengi tu na mwalim na mgombea mwenaza yuko safi hongera chadema maana tumezoea kwamba umri ndo uongonzi but uongozi huzaliwa katika dam thats hata mwl nyerere hakua na elim kubwa kulioko wakolon but waliisoma namber , mwalim ni kiongonzi hata speach yake imeshiba so kwa combination na lissu iko sawa , utamuelewa tu ngoja kampe ziaanze lasmi , nimemkubali sana na kama humkubali basi una ajenda za siri toka moyoni mwako
Jiongeze kidogo tu utaelewa nilichomaanisha...Kina Msukuma na Kibajaji wamepitishwa kugombea Urais?
Hapa ndiyo unaona umetoa hoja [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]CDM walishindwa kubalance hata gender
We kenge una elimu gani?Watu wa mizaha na nchi yetu wanazidi kuongezeka mitandaoni, kwa kitu Gani, au kuna nini kipya ataleta Mwalimu au kuingiza ujinga katika kuongoza serikali. Muwe mnatoa michango ya personalities ili muheshimike. Form iv , certificate in journalism ya Ilala shamba , kutangaza TV ya CCM ndio sifa ya kuwa Rais, hii mizaha ya kupitiliza. Bora Mbowe shule hana lakini unauelewa wa kutosha na ame mature. MNATUTANIA NCHI HII NI YA SISI SOTE.
Sijapenda mleta mada alivyo onesha ndugu Mussa Mwalimu hastahili kuwa makamu wa raisi bila kusema sababu za kusema hivyo.
Huenda kwa mtazamo wake ameona Ndugu Mussa Mwalimu hana haiba ya kuwa raisi ( he has no presidential personality), lakini mtazamo siyo kipimo sahihi lazima atoe hoja kutetea mtazamo wake.
Kuna viongozi wanaongea kiingereza kizuri kuwazidi wale wa ccm ?At least haongei broken english...
He can communicate direct with world leaders.
Ni kwanni VP huwa anapewa wizara za kichovu hivyo ?..Ofisi ya Makamu wa Raisi inahusisha wizara za Mazingira, na wizara ya Masuala ya Muungano.
..mimi nina imani Salum Mwalimu ana uwezo wa kuyamudu majukumu hayo.
Wanadhani urais ni kazi kama ya mwenyeliti serikali ya mtaaEti Huyu bwana Mwalimu ndio awe Makamu wa Rais wa JMT?kweli Tanzania ndio imefikia hapa?
Unatumia kipimo gani kumwona Salum Mwalimu kwamba hatoshei kwenye umakamu wa Rais?Hivi tukiacha mirengo ya kisiasa unadhani CHADEMA wapo serious katika kuteua mgombea mwenza wa nafasi ya Urais?
Yaani makamu wa Rais awe bwana Mwalimu?? Kweli CHADEMA ipo serious na nafasi ya Urais???
Soma Uchaguzi 2020 - Mgombea kupitia CHADEMA, Tundu Lissu achukua fomu za Kugombea Urais wa Tanzania ofisi za NEC Dodoma
akili yako ni kama ya nani mkuu?? Jitaje mwe yeweWatu wa mizaha na nchi yetu wanazidi kuongezeka mitandaoni, kwa kitu Gani, au kuna nini kipya ataleta Mwalimu au kuingiza ujinga katika kuongoza serikali. Muwe mnatoa michango ya personalities ili muheshimike. Form iv , certificate in journalism ya Ilala shamba , kutangaza TV ya CCM ndio sifa ya kuwa Rais, hii mizaha ya kupitiliza. Bora Mbowe shule hana lakini unauelewa wa kutosha na ame mature. MNATUTANIA NCHI HII NI YA SISI SOTE.