Uchaguzi 2020 Mgombea Urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu afanyiwa mahojiano kwenye kipindi cha ITV dakika 45

Uchaguzi 2020 Mgombea Urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu afanyiwa mahojiano kwenye kipindi cha ITV dakika 45

Umepanda miti wapi??? Hivi unajua suala la uharibifu wa mazingira lilivyo critical saivi Tanzania????
Wewe uko hapo buza kwa lulenge huwezi jua miti inapandwa wapi!

Hilo bwawa linajengwa kwenye kaeneo kadogo sana katika maelfu ya maeka yenye miti katika nchi hii!

Hao wazungu wenu wanasema mazingira mbona huko kwao wameharibu mazingira kwa moshi wa viwandani mbona kwanza hawafungi viwanda ili kudhibiti hilo?

Huko mashambani wenzio tumeotesha maelfu ya miti, kwahiyo huo mradi hautaathiri chochote.
 
Umedhibiti wapi?

Huku sisi 20 nyie 0
Nani kadhibitiwa hapo?

Subiri oktoba mkipata wabunge 10 mshukuru
Ngoma bado mbichi mno ! halafu kwa mtu wa kisasa kutegemea mbeleko ni aibu mno !
 
Yaani anajiropokea vitu ambavyo avielewi kabisa amekaa ulaya na kuona mambo kadhaa anadhani na Tanzania inaweza fanikisha kirahisi hivi anafahamu universal health credit inavyochangiwa kweli au anajiropokea tu.
Nyie maCCM ni majinga ya kutupa, mwenzenu anaposema anataka kufanya Chato kuwa kama Ulaya ana maana Ulaya gani?
 
Hapo ufipa ndio wewe unaona dunia nzima? Mimi nipo hapa Tanzania Sina habari na huyo mpayukaji ndo msumbiji wamwangalie kwa lugha gani?

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Hilo liliwahi kusema Lisu amepata wafuasi miloni 80 baada ya kuhojiwa hardtalk.

Lakini ukienda kwenye account ya twitter ya lisu ina followers hazidi milion 1 mpaka leo
 
Wewe uko hapo buza kwa lulenge huwezi jua miti inapandwa wapi!

Hilo bwawa linajengwa kwenye kaeneo kadogo sana katika maelfu ya maeka yenye miti katika nchi hii!
Hao wazungu wenu wanasema mazingira mbona huko kwao wameharibu mazingira kwa moshi wa viwandani mbona kwanza hawafungi viwanda ili kudhibiti hilo?

Huko mashambani wenzio tumeotesha maelfu ya miti, kwahiyo huo mradi hautaathiri chochote.
Jibu swali langu!! Unajua hali ya uharibifu wa mazingira ipo critical kiasi gani kwa Tanzania??? Au swali langu limekuzidi uwezo???
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Kazi ya Rais kwa watu wake ni kuonyesha matumaini na njia wapi na nini kifanyike kwa muda sahihi.
Ukimusikiliza Tundu Lissu utagundua kuwa ni mfariji na kiongozi.
Kwenye battle field yoyote Magu hamuwezi huyu jamaa. Tukubali au tukatae Lissu ni Level nyingine.
.
Nina uhakika huyu angelikuwepo miaka yote ya Utawala wa Magu hakika angeliwafungua wengi sana na watu wangelijua kuwa tuna Rais was aina gani.
Lissu - Kiongozi.
Magu - Mutawala.
 
Jibu swali langu!! Unajua hali ya uharibifu wa mazingira ipo critical kiasi gani kwa Tanzania??? Au swali langu limekuzidi uwezo???
Yani unapima kiwango cha uharibifu wa mazingira tz kwa kumsikiliza mzungu kule marekani?

Zunguka ndugu ujionee!

Kingine nmeshakwambia hilo bwawa likikamilika litatoa umeme wa bei nafuu kisha mnaotumia mkaa mtaacha na kuanza kutumia umeme, na hapo mamilioni ya miti inayokatwa kwa ajili ya mkaa itapona na mzingira yataendelea kustawi.
 
Haya mahojiano yafaa kyaangaia tena kule YouTube. Jamaa kaonyesha anaweza sana. Hongera Mgombea.
 
Yani unapima kiwango cha uharibifu wa mazingira tz kwa kumsikiliza mzungu kule marekani?

Zunguka ndugu ujionee!

Kingine nmeshakwambia hilo bwawa likikamilika litatoa umeme wa bei nafuu kisha mnaotumia mkaa mtaacha na kuanza kutumia umeme, na hapo mamilioni ya miti inayokatwa kwa ajili ya mkaa itapona na mzingira yataendelea kustawi.
Unasema nizunguke nijionee??? Basi tuzunguke wote!

Niambie hali ya ukataji miti na upandaji miti kwenye mikoa ya Iringa, Morogoro, Dodoma, Singida, Tabora, Simiyu na Shinyanga ukoje???
 
Back
Top Bottom