Uchaguzi 2020 Mgombea Urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu afanyiwa mahojiano kwenye kipindi cha ITV dakika 45

Uchaguzi 2020 Mgombea Urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu afanyiwa mahojiano kwenye kipindi cha ITV dakika 45

Magufuli akiitwa lazima amwage madini kwa Farhia Middle. Baada ya siku mbili mtasikia Farhia kawa DC wa Kigamboni.
So Udc unatolewa kama asante ya kuhojiwa na huyo mtangazaji au kwa kuwa farhia ana "vigezo" vya bwana mkubwa katika vetting zake za Udc?
 
Acha uongo we jamaa...
Watu wanao tazama sasa iv ni 6,145 hawa ndio unaosema dunia nzima..

Kupitia TV na ving'amuzi mbalimbali hawafiki hata watu laki tatu...

Nenda kaombe viewers wa leo wa ITV kupitia startimes, Azam, zuku na DStv.

Kiufupi tu nihivi
YouTube - 6,145
Azam - 43,200
Zuku - 21,042
Startimes - 97,511
DStv - 2,109

Currently statistics.

Jumlisha hapo upate total viewers.

Sasa dunia ina watu wangapi? Hata robo ya Tanzania bado.

Safari hii mnataabu kweli kweli et.View attachment 1557810

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
viewer sio utube mataga hata ukiweka tv station kwenye king,amuzi chako unakuwa viewer na kwenye sat husika namba inaongezeka
 
Tatizo lenu amsikilizi hivi tunafahamu juzi kupitia Dr Abbas alisema LNG plant itakuwa 8 trillion TZ sh badala ya $30 billlion Zitto na wapuuzi wengine waliokuwa wanashadidia nyuma ya pazia watu walikuwa wanafanya renegotiations ya mikataba mibovu bila ya kuacha utekelezaji mikakati ya kuongeza umeme.

Ebu watanzania tujifunze kuwa na shukran Magufuli is not perfect but he did damn good job in his first kuiandaa nchi kupaa kiuchumi kupitia infrustructure project.
Ni mjinga gani wa kumsikiliza Abbas , hivi ule uchumi wa kati mliokuwa mnaupigia chapuo la uongo umeishia wapi ? Jf si mahali pa kuleta utopolo , wanafiki wakubwa nyie !
 
Hivi wewe kapuku mlala njaa ndio wa kumchalenji Lissu The Greatest ! nani kakudanganya kama una uwezo huo ?
Mimi najua Lissu hana huo uwezo kwa sababu mambo anayo yaongelea nayafahamu na anachoongea ni upuuzi.

Kapuku ni wewe usiejua kinachoongelewa in technical terms na bado unadiriki kutetea ujinga.
 
Kwa watu kama nyie nipe cost ya kutengeneza offshore rig ili utoe Gas, nipe cost ya kutengeneza LNG plant upate Gas, nipe cost ya kutengeneza pipe ya kutoa Gas baharini hadi kwenye LNG plant na kutoka hapo kufika kiwandani.

Halafu linanginisha hizo cost na cost za hydro power uone hiyo investment ya kutoa Gas tu baharini utajenga hydro power ngapi.

Ni mtu anaejiropokea tu hajui finance, hajui uchumi na kuna kikundi tu cha wapuuzi wenzie wanamsikiliza si ajabu hajui Gas inayotoka baharini imechanganyika na maji inabidi uitoe kwanza kwenye maji ndio usambaze na kama unasafirisha uirudishe tena in liquid form.

Ni mtu anaeropoka ujinga tu
We mpuuzi na mnavyokata miti na kuharibu mazingira unafikiri kiwango cha maji ya hilo bwawa mwaka huu kitakuwa sawa na miaka 20 ijayo??????

Hivi CCM huwa mnafikiri kwa kutumia nini??? Hujui kiwango cha maji ya kwenye mito kwenye nchi zenye joto hasa za upande wetu kinapungua sana kutokana na maadiriko ya tabia nchi???
 
Mataga wote waliochangia Uzi huu lazima watukane,au waseme neno linalofanana navtusib 😀 😀 [emoji14] [emoji14] [emoji14] [SUB]hebu wake angalau wenye akili kidogo wajibu hoja za Antipus ![/SUB]
Marudio ya hicho kipindi ni lini ?

ITV wamemuongezea mgombea wetu wa CCM stress usiku huu, sijui kesho itakuwaje
 
Back
Top Bottom