Uchaguzi 2020 Mgombea Urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu afanyiwa mahojiano kwenye kipindi cha ITV dakika 45

Uchaguzi 2020 Mgombea Urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu afanyiwa mahojiano kwenye kipindi cha ITV dakika 45

Niseme maneno haya tu!

Nimemsikiliza Tundu Lissu kuanzia mwanzo hadi mwisho. Nikiri tu. Lissu sio wa sayari hii!!!

Lissu ni zaidi ya Raisi. Leo hadi nimewish kipindi kisiishe. Watanzania kwa mara ya kwanza tumepata the right candidate!

Tundu Antiphas Lissu, nakuita tena Tundu Antiphas Lissu, shkamoo!!!!

Kura yangu umepata!!! Huyu jamaa ni akili sahihi ya kuipeleka nchi yetu mbele. Narudia tena!! Shkamoo Lissu
Hichi kipindi kinarudiwa lini, natamani sana muda kinarudiwa nikiingalie
 
Vip yule aliyesema anaigeuza Tanzania kama ulaya
Walau aongei mambo ya kipuuzi kama Lissu hajui hata maana ya budgeting limiting factor yeye kila kitu atafanya na kuna mijitu ina amini; hizo hela atatoa wapi. Hata condition za kupewa mikopo na donors pia afahamu anaropoka tu.

Tundu Lissu is sick
 
Huy Jamaa ana gain popularity kwa Watanzania. CCM pia tuwe tunahabarisha Watanzania kupitia vyombo vya habari na siyo lazima awe Mhe. Rais. Katibu Mkuu wa CCM au Pole Pole anaweza kufanya majukumu hayo.
 
daaah
IMG-20200903-WA0079.jpg
 
Rudi shule kasome Renewable Energy. Bro hujui chochote njoo nikupige pindi au nenda kinyerezi II wakupe muongozo
Nitajie aina tatu za solar energy inavyozalishwa jinsi namna hiyo mifumo inavyofanya kazi, size gani ya solar farm inaweza zalisha Megawatt 2100 ndio ujadili investment za renewable and sustainable energy supply policy na mimi.
 
I tell huyu mtu inabidi akapimwe akili what a load of nonsense anaongea, hivi kabisa kuna watu wanaamini upuuzi anao ongea.
Mkuu kwa sisi wenye umri uliosonga,tunajua ccm wanavyoelewa Mambo kwa taratibu sana na ndo maana watanzania tumechelewa sana ? Unadhani sisi niwakuhesabu flyovers? Hata hii elimu bure ccm wamekuja kuelewa kwamba inawezekana after 5 good years
 
Nitajie aina tatu za solar energy inavyozalishwa jinsi namna hiyo mifumo inavyofanya kazi, size gani ya solar farm inaweza zalisha Megawatt 2100 ndio ujadili investment za renewable and sustainable energy supply policy na mimi.
 
I tell huyu mtu inabidi akapimwe akili what a load of nonsense anaongea, hivi kabisa kuna watu wanaamini upuuzi anao ongea.
Mkuu hata wachawi hupumzika kuroga walau siku moja moja.

Mpe credit hata kidogo hata wachawi wanachakumsifu mhanga wa uchawi wao.

Au wewe ndiyo uliyetekeleza lile jaribio la kumuua hivyo roho inakuuma sana ukimuona bado yuko hai ?

Mungu ni mwema bado yupo sana tu jaribu kufanya mengine chuki zako binafsi hazitamuondoa Duniani
 
Mkuu kwa sisi wenye umri uliosonga,tunajua ccm wanavyoelewa Mambo kwa taratibu sana na ndo maana watanzania tumechewa? Unadhani sisi niwakuhesabu flyovers? Hata hii elimu bure ccm wamekuja kuelewa kwamba inawezekana after 5 good years
Kwa ivyo jibu ni kuwaongopea na kuwajaza watanzania ujinga kama anavyofanya Lissu.
 
Back
Top Bottom