Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha ha, hatari
Yaani hadi raha aiseeeeeee...lissu ni hazina ya Taifa la TanzaniaMpaka SASA 22:05 bado dada farhia middle na watanzania wanatamani kipindi kiendeleee, lissu wampe siku nzimaaaaaa, sio Kwa madini haya!
Kwa watu kama nyie nipe cost ya kutengeneza offshore rig ili utoe Gas, nipe cost ya kutengeneza LNG plant upate Gas, nipe cost ya kutengeneza pipe ya kutoa Gas baharini hadi kwenye LNG plant na kutoka hapo kufika kiwandani.Huyu ni The Greatest
Shallow minded individuals ndio wataamini huo upuuzi. Tundu Lissu hana jipya.I tell huyu mtu inabidi akapimwe akili what a load of nonsense anaongea, hivi kabisa kuna watu wanaamini upuuzi anao ongea.
Hahaha Mambo mengi muda mchacheeeee, 22:08 dada farhia atalala usingizi mzuri Sana leo!Naona ITV wameongeza muda bila kujua,kwel huyu ni Greatest
Atamke Mara ngapi alushasema watumishi waendee kusuburi!Kumsikiliza lissu ili iweje sasa. Bora Magufuli anaweza akatamka neema kwa wafanyakazi, wamachinga, boda boda na mama ntilie.
Boss za jana zinasemaje?Acha uongo we jamaa...
Watu wanao tazama sasa iv ni 6,145 hawa ndio unaosema dunia nzima..
Kupitia TV na ving'amuzi mbalimbali hawafiki hata watu laki tatu...
Nenda kaombe viewers wa leo wa ITV kupitia startimes, Azam, zuku na DStv.
Kiufupi tu nihivi
YouTube - 6,145
Azam - 43,200
Zuku - 21,042
Startimes - 97,511
DStv - 2,109
Currently statistics.
Jumlisha hapo upate total viewers.
Sasa dunia ina watu wangapi? Hata robo ya Tanzania bado.
Safari hii mnataabu kweli kweli et.View attachment 1557810
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Wamekimbia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hata bia yangu kajifichaMbna wale nguchiro hawaonekani hapa????
Ujinga wao mpaka unakera how shallow can they be mtu anaongea upuuzi hana chochote anachokijua anaropoka kama vile anaongea na watoto wadogo na watu wazima wanamshangilia.Shallow minded individuals ndio wataamini huo upuuzi. Tundu Lissu hana jipya.
Mbona mungu wenu wa chato yy kasema ataifanya Tanzania kama ulaya kwahiyo na yy kajiropokea auYaani anajiropokea vitu ambavyo avielewi kabisa amekaa ulaya na kuona mambo kadhaa anadhani na Tanzania inaweza fanikisha kirahisi hivi anafahamu universal health credit inavyochangiwa kweli au anajiropokea tu.
Rudi shule kasome Renewable Energy. Bro hujui chochote njoo nikupige pindi au nenda kinyerezi II wakupe muongozoKwa watu nyie nipe cost ya kutengeneza offshore rig ili utoe Gas, nipe cost ya kutengeneza LNG plant upate Gas, nipe cost ya kutengeneza pipe ya kutoa Gas baharini hadi kwenye LNG plant na kutoka hapo kufika kiwandani.
Halafu linanginisha na cost za hydro power uone hiyo investment cost ya kutoa Gas tu baharini utajenga hydro power ngapi.
Ni mtu anajiropokea tu hajui finance, hajui uchumi kuna kikundi tu cha wapuuzi wenzie wanamsikiliza si ajabu hajui Gas inayotoka baharini imechanganyika na maji inabidi uitoe kwanza kwenye maji ndio usambaze na kama unasafirisha uirudishe tena in liquid form.
Ni mtu anaeropoka ujinga tu
Vip yule aliyesema anaigeuza Tanzania kama ulayaUjinga wao mpaka unakera how shallow can they be mtu anaongea upuuzi hana chochote anachokijua anaropoka kama vile anaongea na watoto wadogo na watu wazima wanamshangilia.
Imewapenyaaaaaaaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] magufuri hawezi kumfukia lissu hata nusu tu ... magufuri kichwani hakuna kitu muleUjinga wao mpaka unakera how shallow can they be mtu anaongea upuuzi hana chochote anachokijua anaropoka kama vile anaongea na watoto wadogo na watu wazima wanamshangilia.