Uchaguzi 2020 Mgombea Urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu afanyiwa mahojiano kwenye kipindi cha ITV dakika 45

Magufuli akiitwa lazima amwage madini kwa Farhia Middle. Baada ya siku mbili mtasikia Farhia kawa DC wa Kigamboni.
So Udc unatolewa kama asante ya kuhojiwa na huyo mtangazaji au kwa kuwa farhia ana "vigezo" vya bwana mkubwa katika vetting zake za Udc?
 
viewer sio utube mataga hata ukiweka tv station kwenye king,amuzi chako unakuwa viewer na kwenye sat husika namba inaongezeka
 
Mataga wote waliochangia Uzi huu lazima watukane,au waseme neno linalofanana navtusib 😀 😀 😛 😛 😛 [SUB]hebu wake angalau wenye akili kidogo wajibu hoja za Antipus ![/SUB]
 
Ni mjinga gani wa kumsikiliza Abbas , hivi ule uchumi wa kati mliokuwa mnaupigia chapuo la uongo umeishia wapi ? Jf si mahali pa kuleta utopolo , wanafiki wakubwa nyie !
 
Hivi wewe kapuku mlala njaa ndio wa kumchalenji Lissu The Greatest ! nani kakudanganya kama una uwezo huo ?
Mimi najua Lissu hana huo uwezo kwa sababu mambo anayo yaongelea nayafahamu na anachoongea ni upuuzi.

Kapuku ni wewe usiejua kinachoongelewa in technical terms na bado unadiriki kutetea ujinga.
 
We mpuuzi na mnavyokata miti na kuharibu mazingira unafikiri kiwango cha maji ya hilo bwawa mwaka huu kitakuwa sawa na miaka 20 ijayo??????

Hivi CCM huwa mnafikiri kwa kutumia nini??? Hujui kiwango cha maji ya kwenye mito kwenye nchi zenye joto hasa za upande wetu kinapungua sana kutokana na maadiriko ya tabia nchi???
 
Mataga wote waliochangia Uzi huu lazima watukane,au waseme neno linalofanana navtusib 😀 😀 [emoji14] [emoji14] [emoji14] [SUB]hebu wake angalau wenye akili kidogo wajibu hoja za Antipus ![/SUB]
Marudio ya hicho kipindi ni lini ?

ITV wamemuongezea mgombea wetu wa CCM stress usiku huu, sijui kesho itakuwaje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…