Uchaguzi 2020 Mgombea Urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu afanyiwa mahojiano kwenye kipindi cha ITV dakika 45

Uchaguzi 2020 Mgombea Urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu afanyiwa mahojiano kwenye kipindi cha ITV dakika 45

Niseme maneno haya tu!

Nimemsikiliza Tundu Lissu kuanzia mwanzo hadi mwisho. Nikiri tu. Lissu sio wa sayari hii!!!

Lissu ni zaidi ya Raisi. Leo hadi nimewish kipindi kisiishe. Watanzania kwa mara ya kwanza tumepata the right candidate!

Tundu Antiphas Lissu, nakuita tena Tundu Antiphas Lissu, shkamoo!!!!

Kura yangu umepata!!! Huyu jamaa ni akili sahihi ya kuipeleka nchi yetu mbele. Narudia tena!! Shkamoo Lissu

Kura zote Watanzania kwa Tundu Lissu. Huyu mtu ni katumwa na Mungu kutukomboa eti. Hii si kawaida. Kaja muda sahihi kabisa.
 
Atamke Mara ngapi alushasema watumishi waendee kusuburi!

Akamalizia kusisitiza kote alikopita kuwa anaongeza ndege 5 zingine na kujenga viwanja vya watu kukaa [emoji41][emoji28][emoji28][emoji28]. Mpe huyo Taga hii nyongeza. Waendelee kufunga kibwebwe, hakuna neema yoyote anayoongelea jamaa yao.

Hapa tunaenda na Lissu tu. Haturudii makosa.
 
Umahiri na ufahamu alioonyesha Tundu Lissu katika kipindi cha mahojiano ITV cha Dakika 45 umedhibitisha pasipo shaka kuwa Mgombea wa CCM na aliyepo madarakani kwa sasa hamuwezi kabisa katika hayo.

Lissu amejibu maswali kwa weledi mkubwa, ufafanuzi wa kutosha na ameonyesha pia kuelewa msingi wa maswali aliyokuwa anaulizwa.

Pamoja na makosa ya kiufundi madogo madogo ya mwendesha kipindi ambayo nadhani yanatokana na woga wa kuhofia kumchokoza Lissu asilipuke, lakini mjadala ulikuwa mzuri.

Sasa tunasubiri mdahalo wa kitaifa wa wagombea wote na vyema washereheshaji wasiwe waandishi wa nyumbani.

 
Kumsikiliza Lissu ili iweje sasa. Bora Magufuli anaweza akatamka neema kwa wafanyakazi, wamachinga, boda boda na mama ntilie.
Miaka mitano Magufuli kawalisha ugali kwa shubiri, bado mna matumaini?. Subirieni mingine mitano ya kusaga meno, maana atatangazwa na kuapishwa.
 
Magu anachojua ni kukariri urefu wa barabara. mambo mengine anafanya kichwa chake kinavyomtuma, itakumbukwa aliipa nchi hasara ya mabilioni sakata la meli ya uvuvi.

Toka amekabidhiwa nchi amashatupa hasara ya matrilioni kuanzia na uchaguzi wa marudio Zanzibar. Sio presidential material, hajali watu anajali vitu na maslahi yake.
Lissu amejiandaa kuwa rais, anajua urais ni nini.
 
Ha
HaYa nimahojiano? Au nikampeni kupitia vyombo vya habari? Maana huyu mama mtangazaji hamuhoji tundu lisu badara yke anachokoza mada tu!
Alitakiwa aulize umeme wa maji, jua, gesi, upepo . Niupi wenye gharama nafuu??
Mwambieni John na yeye aende akachokozewe mada na huyo mama, kwani kuna tatizo?
 
Walau aongei mambo ya kipuuzi kama Lissu hajui hata maana ya budgeting limiting factor yeye kila kitu atafanya na kuna mijitu ina amini; hizo hela atatoa wapi. Hata condition za kupewa mikopo na donors pia afahamu anaropoka tu.

Tundu Lissu is sick

..kaka inawezekana una hoja lakini uwasilishaji wao una mushkel.

..usiruhusu maneno mabaya yafunike hoja yako. changia kwa ustaarabu.
 
..kaka inawezekana una hoja lakini uwasilishaji wao una mushkel.

..usiruhusu maneno mabaya yafunike hoja yako. changia kwa ustaarabu.
Kuna watu huwa wanakuja kwa mtindo wa kejeli mara nyingi huwa nawapotezea.

Ukiona kuna lugha ya ovyo ovyo kwenye post yangu most likely ninaye mjibu alikuja kwa mtindo huo.

Lakini uwezi kuona majibu ya ovyo ninapopishana mtazamo na civilised JF contributors.
 
Kuna watu huwa wanakuja kwa mtindo wa kejeli mara nyingi huwa nawapotezea.

Ukiona kuna lugha ya ovyo ovyo kwenye post yangu most likely ninaye mjibu alikuja kwa mtindo huo.

Lakini uwezi kuona majibu ya ovyo ninapopishana mtazamo na civilised JF contributors kama members sijijui et al.

..mimi naona kila hoja inayomhusu TL unachangia kwa matusi.
 
..mimi naona kila hoja inayomhusu TL unachangia kwa matusi.
Let me investigate if that’s the case, I will have to control that bad habit in the future if the allegations are backed with evidence.

Hila naamini mara nyingi kunakuwa na provocation from someone.
 
Uhuru na Haki huchochea Maendeleo ya Watu katika shughuli zote, kubwa serikali iwekeze ktk mazingira ya watu kuwa Huru, Haki ya kumiliki/kufanya shughuli na watu hao watajiletea Maendeleo ya Watu.

Maendeleo ya Watu yatapatikana ikiwa watu watakuwa Huru na Haki ya kumiliki shughuli za kilimo, uvuvi, ufugaji, biashara, huduma za afya, elimu na hata uwekezaji binafsi (watu / vikundi ) kuunda kampuni za meli (Azam Marine n.k), usafiri wa anga Fastjet/ PrecisionAir, Kampuni za Usafirishaji kwa Malori na hata usafiri wa reli kwa kampuni binafsi
 
Basi sawa Lisu ilo shambulio alilipanga yeye ali afe na asipokufa akimbilie Ubelgiji tumeelewa ,hongera sana kwa kututaarifu ,tushamjua Lisu ni mtu wa kupe da kujiua na kujipiga risasi 16.
 
Back
Top Bottom