Tetesi: Mgombea urais kupitia CHADEMA uchaguzi mkuu 2025, ni ama DR. W.P.Slaa au J.S.Warioba

Tetesi: Mgombea urais kupitia CHADEMA uchaguzi mkuu 2025, ni ama DR. W.P.Slaa au J.S.Warioba

Za chini kwa chini yasemekana kwamba,
Warioba ana nafasi kubwa zaidi kupewa nafasi hiyo, huku mwenyewe akidai kutokua fiti kwa jukumu hilo zito na muhimu la uongozi, kwa sababu za kiumri.

Kuna shinikizo ni kubwa mno kutoka kwa viongozi waandamizi wa vyama vya siasa hususan chadema, na hilo ndilo linalompa hamasa na nguvu ya kukubali hata kufanya na press conference za mara kwa mara kwa niaba ya Chadema.

Inasemekana,
Dr.Slaa ana offer za kugombea urais za vyama vya siasa zaidi ya kimoja humu nchini, na hivyo viongozi waandamizi wa chadema wengi, hawampi nafasi kubwa sana na hawamuamini kwa kiwango kikubwa, hiyo ni kulingana na rekodi yake ya usaliti katika mambo mbalimbali ya kijamii na kisiasa pia.

Kuna mfululizo wa press conferences umeandaliwa kwaajili ya kumtambulisha kiongozi huyo anaepewa nafasi kubwa zaidi kua mgombea uras wa chadema, ili hatiamae azoeleke kwa wananchi licha ya kwamba kweli, ni wazi umri umemtupa mkono ukilinganisha na aina ya siasa za nguvu Tanzania.

Ndrugo zango, haitakua aibu na fedheha huko mbeleni? Unashauri busara iwaelekeze chadema kufanya nini?

una maoni gani kuhusu chaguo hilo kwa wana chadema kwa ujumla? :pulpTRAVOLTA:

Mungu Ibariki Tanzania
🚮
Propaganda.
Dogo, hilo junia la taka ungeendelea kumuachia mwenzio
 
Za chini kwa chini yasemekana kwamba,
Warioba ana nafasi kubwa zaidi kupewa nafasi hiyo, huku mwenyewe akidai kutokua fiti kwa jukumu hilo zito na muhimu la uongozi, kwa sababu za kiumri.

Kuna shinikizo ni kubwa mno kutoka kwa viongozi waandamizi wa vyama vya siasa hususan chadema, na hilo ndilo linalompa hamasa na nguvu ya kukubali hata kufanya na press conference za mara kwa mara kwa niaba ya Chadema.

Inasemekana,
Dr.Slaa ana offer za kugombea urais za vyama vya siasa zaidi ya kimoja humu nchini, na hivyo viongozi waandamizi wa chadema wengi, hawampi nafasi kubwa sana na hawamuamini kwa kiwango kikubwa, hiyo ni kulingana na rekodi yake ya usaliti katika mambo mbalimbali ya kijamii na kisiasa pia.

Kuna mfululizo wa press conferences umeandaliwa kwaajili ya kumtambulisha kiongozi huyo anaepewa nafasi kubwa zaidi kua mgombea uras wa chadema, ili hatiamae azoeleke kwa wananchi licha ya kwamba kweli, ni wazi umri umemtupa mkono ukilinganisha na aina ya siasa za nguvu Tanzania.

Ndrugo zango, haitakua aibu na fedheha huko mbeleni? Unashauri busara iwaelekeze chadema kufanya nini?

una maoni gani kuhusu chaguo hilo kwa wana chadema kwa ujumla? :pulpTRAVOLTA:

Mungu Ibariki Tanzania
Wite hawana interest. Warioba ni mwana ccm hai wa muda mrefu na hajawahi wala hana mpango nanupinzani. Silaa hana interest na hiko cheo.
 
Wewe chawa tushakuchoka na stori zako za kutunga.

Warioba na Slaa, lini wamejiunga na Cdm?

Nadhani, namna Warioba alivyojitokeza juzi na kukemea maovu yanayofanywa katika kipindi cha utawala huu, tayari mmeshaingia kazini kumchafua.

Sijawahi kuona thread umeanzisha ikabeba mantiki, kila siku ni haya haya tu ya kulamba deshi deshi za watawala.
Ushindwe na ulegee.
Hawa ndo tump huwaita shit holes
 
Za chini kwa chini yasemekana kwamba,
Warioba ana nafasi kubwa zaidi kupewa nafasi hiyo, huku mwenyewe akidai kutokua fiti kwa jukumu hilo zito na muhimu la uongozi, kwa sababu za kiumri.

Kuna shinikizo ni kubwa mno kutoka kwa viongozi waandamizi wa vyama vya siasa hususan chadema, na hilo ndilo linalompa hamasa na nguvu ya kukubali hata kufanya na press conference za mara kwa mara kwa niaba ya Chadema.

Inasemekana,
Dr.Slaa ana offer za kugombea urais za vyama vya siasa zaidi ya kimoja humu nchini, na hivyo viongozi waandamizi wa chadema wengi, hawampi nafasi kubwa sana na hawamuamini kwa kiwango kikubwa, hiyo ni kulingana na rekodi yake ya usaliti katika mambo mbalimbali ya kijamii na kisiasa pia.

Kuna mfululizo wa press conferences umeandaliwa kwaajili ya kumtambulisha kiongozi huyo anaepewa nafasi kubwa zaidi kua mgombea uras wa chadema, ili hatiamae azoeleke kwa wananchi licha ya kwamba kweli, ni wazi umri umemtupa mkono ukilinganisha na aina ya siasa za nguvu Tanzania.

Ndrugo zango, haitakua aibu na fedheha huko mbeleni? Unashauri busara iwaelekeze chadema kufanya nini?

una maoni gani kuhusu chaguo hilo kwa wana chadema kwa ujumla? :pulpTRAVOLTA:

Mungu Ibariki Tanzania
Wewe ni kati ya vichaa wachache wenye uwezo wa kuandika.
 
Dogo unahangaika kama kuku anataka kutaga

Au teenager amepata nyege

Kugombea uraisi not big deal kwa wenye akili

Issue ni tume huru ya uchaguzi itakayomtangaza mshindi
Naona huyo Tlaal talalila kichaa kimefika kwenye peak. Damu za watu zimemtoa akili.
 
Za chini kwa chini yasemekana kwamba,
Warioba ana nafasi kubwa zaidi kupewa nafasi hiyo, huku mwenyewe akidai kutokua fiti kwa jukumu hilo zito na muhimu la uongozi, kwa sababu za kiumri.

Kuna shinikizo ni kubwa mno kutoka kwa viongozi waandamizi wa vyama vya siasa hususan chadema, na hilo ndilo linalompa hamasa na nguvu ya kukubali hata kufanya na press conference za mara kwa mara kwa niaba ya Chadema.

Inasemekana,
Dr.Slaa ana offer za kugombea urais za vyama vya siasa zaidi ya kimoja humu nchini, na hivyo viongozi waandamizi wa chadema wengi, hawampi nafasi kubwa sana na hawamuamini kwa kiwango kikubwa, hiyo ni kulingana na rekodi yake ya usaliti katika mambo mbalimbali ya kijamii na kisiasa pia.

Kuna mfululizo wa press conferences umeandaliwa kwaajili ya kumtambulisha kiongozi huyo anaepewa nafasi kubwa zaidi kua mgombea uras wa chadema, ili hatiamae azoeleke kwa wananchi licha ya kwamba kweli, ni wazi umri umemtupa mkono ukilinganisha na aina ya siasa za nguvu Tanzania.

Ndrugo zango, haitakua aibu na fedheha huko mbeleni? Unashauri busara iwaelekeze chadema kufanya nini?

una maoni gani kuhusu chaguo hilo kwa wana chadema kwa ujumla? :pulpTRAVOLTA:

Mungu Ibariki Tanzania
Katika ubora wako Kubwa Jing
 
Za chini kwa chini yasemekana kwamba,
Warioba ana nafasi kubwa zaidi kupewa nafasi hiyo, huku mwenyewe akidai kutokua fiti kwa jukumu hilo zito na muhimu la uongozi, kwa sababu za kiumri.

Kuna shinikizo ni kubwa mno kutoka kwa viongozi waandamizi wa vyama vya siasa hususan chadema, na hilo ndilo linalompa hamasa na nguvu ya kukubali hata kufanya na press conference za mara kwa mara kwa niaba ya Chadema.

Inasemekana,
Dr.Slaa ana offer za kugombea urais za vyama vya siasa zaidi ya kimoja humu nchini, na hivyo viongozi waandamizi wa chadema wengi, hawampi nafasi kubwa sana na hawamuamini kwa kiwango kikubwa, hiyo ni kulingana na rekodi yake ya usaliti katika mambo mbalimbali ya kijamii na kisiasa pia.

Kuna mfululizo wa press conferences umeandaliwa kwaajili ya kumtambulisha kiongozi huyo anaepewa nafasi kubwa zaidi kua mgombea uras wa chadema, ili hatiamae azoeleke kwa wananchi licha ya kwamba kweli, ni wazi umri umemtupa mkono ukilinganisha na aina ya siasa za nguvu Tanzania.

Ndrugo zango, haitakua aibu na fedheha huko mbeleni? Unashauri busara iwaelekeze chadema kufanya nini?

una maoni gani kuhusu chaguo hilo kwa wana chadema kwa ujumla? :pulpTRAVOLTA:

Mungu Ibariki Tanzania
🌈
 
Za chini kwa chini yasemekana kwamba,
Warioba ana nafasi kubwa zaidi kupewa nafasi hiyo, huku mwenyewe akidai kutokua fiti kwa jukumu hilo zito na muhimu la uongozi, kwa sababu za kiumri.

Kuna shinikizo ni kubwa mno kutoka kwa viongozi waandamizi wa vyama vya siasa hususan chadema, na hilo ndilo linalompa hamasa na nguvu ya kukubali hata kufanya na press conference za mara kwa mara kwa niaba ya Chadema.

Inasemekana,
Dr.Slaa ana offer za kugombea urais za vyama vya siasa zaidi ya kimoja humu nchini, na hivyo viongozi waandamizi wa chadema wengi, hawampi nafasi kubwa sana na hawamuamini kwa kiwango kikubwa, hiyo ni kulingana na rekodi yake ya usaliti katika mambo mbalimbali ya kijamii na kisiasa pia.

Kuna mfululizo wa press conferences umeandaliwa kwaajili ya kumtambulisha kiongozi huyo anaepewa nafasi kubwa zaidi kua mgombea uras wa chadema, ili hatiamae azoeleke kwa wananchi licha ya kwamba kweli, ni wazi umri umemtupa mkono ukilinganisha na aina ya siasa za nguvu Tanzania.

Ndrugo zango, haitakua aibu na fedheha huko mbeleni? Unashauri busara iwaelekeze chadema kufanya nini?

una maoni gani kuhusu chaguo hilo kwa wana chadema kwa ujumla? :pulpTRAVOLTA:

Mungu Ibariki Tanzania

Za chini kwa chini yasemekana kwamba,
Warioba ana nafasi kubwa zaidi kupewa nafasi hiyo, huku mwenyewe akidai kutokua fiti kwa jukumu hilo zito na muhimu la uongozi, kwa sababu za kiumri.

Kuna shinikizo ni kubwa mno kutoka kwa viongozi waandamizi wa vyama vya siasa hususan chadema, na hilo ndilo linalompa hamasa na nguvu ya kukubali hata kufanya na press conference za mara kwa mara kwa niaba ya Chadema.

Inasemekana,
Dr.Slaa ana offer za kugombea urais za vyama vya siasa zaidi ya kimoja humu nchini, na hivyo viongozi waandamizi wa chadema wengi, hawampi nafasi kubwa sana na hawamuamini kwa kiwango kikubwa, hiyo ni kulingana na rekodi yake ya usaliti katika mambo mbalimbali ya kijamii na kisiasa pia.

Kuna mfululizo wa press conferences umeandaliwa kwaajili ya kumtambulisha kiongozi huyo anaepewa nafasi kubwa zaidi kua mgombea uras wa chadema, ili hatiamae azoeleke kwa wananchi licha ya kwamba kweli, ni wazi umri umemtupa mkono ukilinganisha na aina ya siasa za nguvu Tanzania.

Ndrugo zango, haitakua aibu na fedheha huko mbeleni? Unashauri busara iwaelekeze chadema kufanya nini?

una maoni gani kuhusu chaguo hilo kwa wana chadema kwa ujumla? :pulpTRAVOLTA:

Mungu Ibariki Tanzania
Kwa CCM watakuwa Kassim Majaliwa au January Makamba?
 
Za chini kwa chini yasemekana kwamba,
Warioba ana nafasi kubwa zaidi kupewa nafasi hiyo, huku mwenyewe akidai kutokua fiti kwa jukumu hilo zito na muhimu la uongozi, kwa sababu za kiumri.

Kuna shinikizo ni kubwa mno kutoka kwa viongozi waandamizi wa vyama vya siasa hususan chadema, na hilo ndilo linalompa hamasa na nguvu ya kukubali hata kufanya na press conference za mara kwa mara kwa niaba ya Chadema.

Inasemekana,
Dr.Slaa ana offer za kugombea urais za vyama vya siasa zaidi ya kimoja humu nchini, na hivyo viongozi waandamizi wa chadema wengi, hawampi nafasi kubwa sana na hawamuamini kwa kiwango kikubwa, hiyo ni kulingana na rekodi yake ya usaliti katika mambo mbalimbali ya kijamii na kisiasa pia.

Kuna mfululizo wa press conferences umeandaliwa kwaajili ya kumtambulisha kiongozi huyo anaepewa nafasi kubwa zaidi kua mgombea uras wa chadema, ili hatiamae azoeleke kwa wananchi licha ya kwamba kweli, ni wazi umri umemtupa mkono ukilinganisha na aina ya siasa za nguvu Tanzania.

Ndrugo zango, haitakua aibu na fedheha huko mbeleni? Unashauri busara iwaelekeze chadema kufanya nini?

una maoni gani kuhusu chaguo hilo kwa wana chadema kwa ujumla? :pulpTRAVOLTA:

Mungu Ibariki Tanzania


Tetesi kutoka chawa wa CCM kama changuzi ndiyo hizi za kijinga jinga kama serikali za mitaa serikali yetu itaishia kutia aibu na kuwekewa vigezo mtaniambia. Lakini wana weza kufanya jitihada kwa manufaa ya umma. Lakini tetesi hizi ni za kupuuza hawa machawa. Tuwaombee tu eaomdokane na hayo majini ya kutegemea kuwa machawa
 
Za chini kwa chini yasemekana kwamba,
Warioba ana nafasi kubwa zaidi kupewa nafasi hiyo, huku mwenyewe akidai kutokua fiti kwa jukumu hilo zito na muhimu la uongozi, kwa sababu za kiumri.

Kuna shinikizo ni kubwa mno kutoka kwa viongozi waandamizi wa vyama vya siasa hususan chadema, na hilo ndilo linalompa hamasa na nguvu ya kukubali hata kufanya na press conference za mara kwa mara kwa niaba ya Chadema.

Inasemekana,
Dr.Slaa ana offer za kugombea urais za vyama vya siasa zaidi ya kimoja humu nchini, na hivyo viongozi waandamizi wa chadema wengi, hawampi nafasi kubwa sana na hawamuamini kwa kiwango kikubwa, hiyo ni kulingana na rekodi yake ya usaliti katika mambo mbalimbali ya kijamii na kisiasa pia.

Kuna mfululizo wa press conferences umeandaliwa kwaajili ya kumtambulisha kiongozi huyo anaepewa nafasi kubwa zaidi kua mgombea uras wa chadema, ili hatiamae azoeleke kwa wananchi licha ya kwamba kweli, ni wazi umri umemtupa mkono ukilinganisha na aina ya siasa za nguvu Tanzania.

Ndrugo zango, haitakua aibu na fedheha huko mbeleni? Unashauri busara iwaelekeze chadema kufanya nini?

una maoni gani kuhusu chaguo hilo kwa wana chadema kwa ujumla? :pulpTRAVOLTA:

Mungu Ibariki Tanzania
We mambo ya Chadema yamekukutaje

Weka kanyani
 
Za chini kwa chini yasemekana kwamba,
Warioba ana nafasi kubwa zaidi kupewa nafasi hiyo, huku mwenyewe akidai kutokua fiti kwa jukumu hilo zito na muhimu la uongozi, kwa sababu za kiumri.

Kuna shinikizo ni kubwa mno kutoka kwa viongozi waandamizi wa vyama vya siasa hususan chadema, na hilo ndilo linalompa hamasa na nguvu ya kukubali hata kufanya na press conference za mara kwa mara kwa niaba ya Chadema.

Inasemekana,
Dr.Slaa ana offer za kugombea urais za vyama vya siasa zaidi ya kimoja humu nchini, na hivyo viongozi waandamizi wa chadema wengi, hawampi nafasi kubwa sana na hawamuamini kwa kiwango kikubwa, hiyo ni kulingana na rekodi yake ya usaliti katika mambo mbalimbali ya kijamii na kisiasa pia.

Kuna mfululizo wa press conferences umeandaliwa kwaajili ya kumtambulisha kiongozi huyo anaepewa nafasi kubwa zaidi kua mgombea uras wa chadema, ili hatiamae azoeleke kwa wananchi licha ya kwamba kweli, ni wazi umri umemtupa mkono ukilinganisha na aina ya siasa za nguvu Tanzania.

Ndrugo zango, haitakua aibu na fedheha huko mbeleni? Unashauri busara iwaelekeze chadema kufanya nini?

una maoni gani kuhusu chaguo hilo kwa wana chadema kwa ujumla? :pulpTRAVOLTA:

Mungu Ibariki Tanzania
Ramli chonganishi zinawatoshelezeni nyie na kusaza,habari za nyumba ya jirani yenu mwaachie mwenyewe uzuri wenyewe sii wachafu na kamwe hawafugi chawa na hawajawahi kufuga chawa.
 
Za chini kwa chini yasemekana kwamba,
Warioba ana nafasi kubwa zaidi kupewa nafasi hiyo, huku mwenyewe akidai kutokua fiti kwa jukumu hilo zito na muhimu la uongozi, kwa sababu za kiumri.

Kuna shinikizo ni kubwa mno kutoka kwa viongozi waandamizi wa vyama vya siasa hususan chadema, na hilo ndilo linalompa hamasa na nguvu ya kukubali hata kufanya na press conference za mara kwa mara kwa niaba ya Chadema.

Inasemekana,
Dr.Slaa ana offer za kugombea urais za vyama vya siasa zaidi ya kimoja humu nchini, na hivyo viongozi waandamizi wa chadema wengi, hawampi nafasi kubwa sana na hawamuamini kwa kiwango kikubwa, hiyo ni kulingana na rekodi yake ya usaliti katika mambo mbalimbali ya kijamii na kisiasa pia.

Kuna mfululizo wa press conferences umeandaliwa kwaajili ya kumtambulisha kiongozi huyo anaepewa nafasi kubwa zaidi kua mgombea uras wa chadema, ili hatiamae azoeleke kwa wananchi licha ya kwamba kweli, ni wazi umri umemtupa mkono ukilinganisha na aina ya siasa za nguvu Tanzania.

Ndrugo zango, haitakua aibu na fedheha huko mbeleni? Unashauri busara iwaelekeze chadema kufanya nini?

una maoni gani kuhusu chaguo hilo kwa wana chadema kwa ujumla? :pulpTRAVOLTA:

Mungu Ibariki Tanzania
Kwa upuuzi huu pia unalipwa?
 
Kumbe mzee wa Niguse ninuke tayari ameshalamba Mchanga, Niseme tu ukweli kuwa sidhani Kama Chadema wako Serious na Hii top job position
 
Za chini kwa chini yasemekana kwamba,
Warioba ana nafasi kubwa zaidi kupewa nafasi hiyo, huku mwenyewe akidai kutokua fiti kwa jukumu hilo zito na muhimu la uongozi, kwa sababu za kiumri.

Kuna shinikizo ni kubwa mno kutoka kwa viongozi waandamizi wa vyama vya siasa hususan chadema, na hilo ndilo linalompa hamasa na nguvu ya kukubali hata kufanya na press conference za mara kwa mara kwa niaba ya Chadema.

Inasemekana,
Dr.Slaa ana offer za kugombea urais za vyama vya siasa zaidi ya kimoja humu nchini, na hivyo viongozi waandamizi wa chadema wengi, hawampi nafasi kubwa sana na hawamuamini kwa kiwango kikubwa, hiyo ni kulingana na rekodi yake ya usaliti katika mambo mbalimbali ya kijamii na kisiasa pia.

Kuna mfululizo wa press conferences umeandaliwa kwaajili ya kumtambulisha kiongozi huyo anaepewa nafasi kubwa zaidi kua mgombea uras wa chadema, ili hatiamae azoeleke kwa wananchi licha ya kwamba kweli, ni wazi umri umemtupa mkono ukilinganisha na aina ya siasa za nguvu Tanzania.

Ndrugo zango, haitakua aibu na fedheha huko mbeleni? Unashauri busara iwaelekeze chadema kufanya nini?

una maoni gani kuhusu chaguo hilo kwa wana chadema kwa ujumla? :pulpTRAVOLTA:

Mungu Ibariki Tanzania
Wajinnga mpo wengi nchi hii. Wewe unawakilisha watanzania wajinga. Mungu chukua hili lishetani haraka lichome Moto liteketee kabisa
 
Au Majaliwa Majaliwa.

Hizi kazi za kidwanzi alikuwa anafanya Lucas. Kwani kaenda wapi?
gentleman,
hii tabia ya kung'ata na kupuliza umeitoa wap aise?

kwamba unakanyaga mafuta na breki sio kisiasa?

kwani mzee anaweza au hawezi nafasi hiyo? :NoGodNo:
 
Mbona unatapatapa sana kama kuku kakatwa kichwa.
genteman,
siasa hahitaji mihemko wala makasiriko?

kama mdau wa siasa,
nini maoni yako juu ya hoja mahususi ya wazi kabisa hapo jukwaani?

hakuna haja ya kumbwelambwela:NoGodNo:
 
Inashangaza sana. Wanasema wameshinda 99% lakini wanadundadunda kama Mpira wa kitenesi.
gentleman,
mambo haya ya siasa ni kujipanga tu,

kwenye hoja hii mezani, una maoni gani juu ya mapendekezo ya chadema dhidi ya hao wazee mashuhuri na manguli wa siasa za Tanzania, as far as 2025 general elections is concerned?

huna haja ya kumbwelambwela na ushirikina mwingine, hoja iko wazi tu mbona gentleman?:NoGodNo:
 
Back
Top Bottom