Tetesi: Mgombea urais kupitia CHADEMA uchaguzi mkuu 2025, ni ama DR. W.P.Slaa au J.S.Warioba

Tetesi: Mgombea urais kupitia CHADEMA uchaguzi mkuu 2025, ni ama DR. W.P.Slaa au J.S.Warioba

Mzee wa watu kawapa ukweli msivyo na adabu mshampachika na chama. Hivi mtu kuwakosoa lazima awe na chama?
Za chini kwa chini yasemekana kwamba,
Warioba ana nafasi kubwa zaidi kupewa nafasi hiyo, huku mwenyewe akidai kutokua fiti kwa jukumu hilo zito na muhimu la uongozi, kwa sababu za kiumri.

Kuna shinikizo ni kubwa mno kutoka kwa viongozi waandamizi wa vyama vya siasa hususan chadema, na hilo ndilo linalompa hamasa na nguvu ya kukubali hata kufanya na press conference za mara kwa mara kwa niaba ya Chadema.

Inasemekana,
Dr.Slaa ana offer za kugombea urais za vyama vya siasa zaidi ya kimoja humu nchini, na hivyo viongozi waandamizi wa chadema wengi, hawampi nafasi kubwa sana na hawamuamini kwa kiwango kikubwa, hiyo ni kulingana na rekodi yake ya usaliti katika mambo mbalimbali ya kijamii na kisiasa pia.

Kuna mfululizo wa press conferences umeandaliwa kwaajili ya kumtambulisha kiongozi huyo anaepewa nafasi kubwa zaidi kua mgombea uras wa chadema, ili hatiamae azoeleke kwa wananchi licha ya kwamba kweli, ni wazi umri umemtupa mkono ukilinganisha na aina ya siasa za nguvu Tanzania.

Ndrugo zango, haitakua aibu na fedheha huko mbeleni? Unashauri busara iwaelekeze chadema kufanya nini?

una maoni gani kuhusu chaguo hilo kwa wana chadema kwa ujumla? :pulpTRAVOLTA:

Mungu Ibariki Tanzania
 
Za chini kwa chini yasemekana kwamba,
Warioba ana nafasi kubwa zaidi kupewa nafasi hiyo, huku mwenyewe akidai kutokua fiti kwa jukumu hilo zito na muhimu la uongozi, kwa sababu za kiumri.

Kuna shinikizo ni kubwa mno kutoka kwa viongozi waandamizi wa vyama vya siasa hususan chadema, na hilo ndilo linalompa hamasa na nguvu ya kukubali hata kufanya na press conference za mara kwa mara kwa niaba ya Chadema.

Inasemekana,
Dr.Slaa ana offer za kugombea urais za vyama vya siasa zaidi ya kimoja humu nchini, na hivyo viongozi waandamizi wa chadema wengi, hawampi nafasi kubwa sana na hawamuamini kwa kiwango kikubwa, hiyo ni kulingana na rekodi yake ya usaliti katika mambo mbalimbali ya kijamii na kisiasa pia.

Kuna mfululizo wa press conferences umeandaliwa kwaajili ya kumtambulisha kiongozi huyo anaepewa nafasi kubwa zaidi kua mgombea uras wa chadema, ili hatiamae azoeleke kwa wananchi licha ya kwamba kweli, ni wazi umri umemtupa mkono ukilinganisha na aina ya siasa za nguvu Tanzania.

Ndrugo zango, haitakua aibu na fedheha huko mbeleni? Unashauri busara iwaelekeze chadema kufanya nini?

una maoni gani kuhusu chaguo hilo kwa wana chadema kwa ujumla? :pulpTRAVOLTA:

Mungu Ibariki Tanzania
Duh!
 
Yaani wanaccm mmefikia hatua ni kama mmepagawa, kila anayekosoa mnavyoiendesha nchi au akimkosoa huyu mama ambaye ukweli nchi imekosa uelekeo mnamuona ni mpinzani.

Mi nadhani busara ni kuzifanyia kazi hoja za mzee Warioba maana ushauri wake na maelekezo yake yako wazi kabisa. Na hata kilichofanyika kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa hakuna mtu au mtanzania ambaye hajashuhudia maovu yaliyofanyika.

Kura za bandia zilikuwa ni nyingi kuliko kura halali kuna uzi mmoja humu jamaa aliuandika akatoa na kielelezo jinsi polisi anavyohangaika kuyaingiza makura feki kwenye sanduku na hicho kimefanyika nchi nzima.

Ccm hii nchi msiione ni ya kwenu peke yenu hii ni nchi ya watanganyika bila kujali vyama au dini au makabila yao.
 
Wanaosema Jaji wariba hakuwahi kuwa jaji sasa hiyo Title ya Jaji kaitoa wapi? Au alikua jaji wa bongo star search
 
Za chini kwa chini yasemekana kwamba,
Warioba ana nafasi kubwa zaidi kupewa nafasi hiyo, huku mwenyewe akidai kutokua fiti kwa jukumu hilo zito na muhimu la uongozi, kwa sababu za kiumri.

Kuna shinikizo ni kubwa mno kutoka kwa viongozi waandamizi wa vyama vya siasa hususan chadema, na hilo ndilo linalompa hamasa na nguvu ya kukubali hata kufanya na press conference za mara kwa mara kwa niaba ya Chadema.

Inasemekana,
Dr.Slaa ana offer za kugombea urais za vyama vya siasa zaidi ya kimoja humu nchini, na hivyo viongozi waandamizi wa chadema wengi, hawampi nafasi kubwa sana na hawamuamini kwa kiwango kikubwa, hiyo ni kulingana na rekodi yake ya usaliti katika mambo mbalimbali ya kijamii na kisiasa pia.

Kuna mfululizo wa press conferences umeandaliwa kwaajili ya kumtambulisha kiongozi huyo anaepewa nafasi kubwa zaidi kua mgombea uras wa chadema, ili hatiamae azoeleke kwa wananchi licha ya kwamba kweli, ni wazi umri umemtupa mkono ukilinganisha na aina ya siasa za nguvu Tanzania.

Ndrugo zango, haitakua aibu na fedheha huko mbeleni? Unashauri busara iwaelekeze chadema kufanya nini?

una maoni gani kuhusu chaguo hilo kwa wana chadema kwa ujumla? :pulpTRAVOLTA:

Mungu Ibariki Tanzania
Hizo ndizo ramli na mitazamo ya kishirikina.
 
Mimi siyo mwana siasa ila Huwa najiuliza mtu anayeandika ujinga kama huu unakuta ni degree holder,, basi siasa za Tanzania zimejaa watu wajinga Sana,,
 
Mbona we jamaaa unaheshimika humu ila unaleta ramli chonganishi? Is it possible watu hao kugombea kupitia CHADEMA au umeamua tu ulete tetesi mtawanyiko kuivuruga CHADEMA. Mlipoona mzee warioba kaongea vile kwa hiyo mnamhusisha na chadema. ukiheshimiwa linda sana heshima yako
siasa haihitaji makasiriko hatakidogo gentleman,

na heshima ni kitu cha bure.
utofauti wa maoni na mtazamo jua ya jambo fulani sio sababu ya kuvujiana heshima hata kidogo unless ni mwanafunzi wa siasa.

nilishadeclare interests humu jukwaani kwamba binafsi ni mwanasiasa na mwanadiplomasia mwandamizi katika siasa za vyama kitaifa na kimataifa.

tetesi hii ni matokeo ya utafiti wa kiuchunguzi baada ya kukita kambi kwa muda mfupi sana maeneo na katika korido za ufipa na mikocheni.

hata hivyo,
kuna haja ya yeyote kumvunjia mwingine heshima kwasababu tu ya maoni na mapendekezo ya viongozi waandamizi wa chadema kumpendekeza wariba au dr.slaa kua mgombea urais wao?
sio raia wa Tanzania, hana haki ama ni chuki tu gentleman?

nachelea kuendelea kumuheshimu kila mdau wa JF, licha ya kua na pontless katika reply na comments zao katika baadhi ya hoja ninazoibua humu jukwaani.

Cheo na nafasi ya utumishi wa kisiasa niliyonayo ni dhamana tu, leo ninacho kesho sina.

ni muhimu sana kujikita kwenye hoja mahususi mezani ili kujenga utangamano wa hoja miongoni mwa wadau wote humu jukwaani, bila kuibua dhana za chuki wala mihemko.

gentleman, vip lakini,
ni yapi maoni yako dhidi ya mipango ya chadema kuhusu wagombea urais hawa mashuhuri? :pulpTRAVOLTA:
 
It doesn't make sense bora hata hiyo tetesi ungewataja akina heche, mnyika, pambalu na wengine wa kariba hiyo ukiwaacha kina lissu na mbowe nje ya box inge make sense hii tetesi. Muachage propaganda za kuvuruga mielekeo ya kumpata mgombea wa CHADEMA kipindi bado ni mapema mno kujua ni nani atakuwa mgombea wao
Gentleman,
Taasisi au chama makini na imara hakivurugikagi kirahisi au kwa propaganda kama unavyodai kulingana na misingi yake thabiti.

But this is real politics,
na hata wewe huna haja ya kubabaika wala kuweweseka na mambo rahisi namna hii kisiasa.

Lakini pia ni vizuri ukaepuka mizaha kwenye kuwataja au kuwapendekeza watu ambao bado wanakesha kubeti. Lazima kue na hekima ya kiwango cha juu sana katika kupendekeza tutakao wapa jukumu la kushika na kusimamia hatma na mustakabali wa ustawi wa demokrasia nchini na mama Tanzania.

Hata hivyo
nikukukumbushe tu kwamba, utaratibu wa Chadema katika chaguzi kuu ni kusubiri wagombea wa nafasi mbalimbali watakao enguliwa katika kura za maoni za CCM ndipo nao wapate wagombea uongozi kupitia chadema.

hili la warioba na Dr slaa ni jipya na ni muhimu kuwa wastahimilivu kuona mwisho wake utakuaje!🐒
 
Mzee wa watu kawapa ukweli msivyo na adabu mshampachika na chama. Hivi mtu kuwakosoa lazima awe na chama?
Chadema imelazimika kumpatia nafasi ya juu zaidi ya uongozi,
Je, ni mbinu ya kuudhoofisha Lisu na kumfanya ajiengue chadema mapema au?

una maoni gani kwenye hili, acha kumbwelambwela gentleman 🐒
 
NDio siasa wanazozipenda majambazi wa ccm
kwamba majambazi ya Chadema yameimuiba mwana CCM agombee urais kupitia chadema, right?

hivi hii inaweza kua ni mbinu ya kisiasa kuudhoofisha Lisu na kumshinikiza ahamie chama kingine, au?🐒
 
Chadema waanze kujenga mizizi mitaani na mitandaoni japo kuna ukuta wa zege toka kwa washika dola ila itawasaidia 2029/na 2030.
 
Wewe chawa tushakuchoka na stori zako za kutunga.

Warioba na Slaa, lini wamejiunga na Cdm?

Nadhani, namna Warioba alivyojitokeza juzi na kukemea maovu yanayofanywa katika kipindi cha utawala huu, tayari mmeshaingia kazini kumchafua.

Sijawahi kuona thread umeanzisha ikabeba mantiki, kila siku ni haya haya tu ya kulamba deshi deshi za watawala.
Ushindwe na ulegee.
kwani wengine,
mathalani akina hayati E.N.Lowasa walijiunga lini chadema hata wakapewa nafasi ya kugombea urasi wa Tanzania?

siasa ni sayansi, siasa ni kujipanga tu gentleman wala hahitaji mihemko.

By the way,
point ni kwamba, chadema kuamua kumsimamisha moja kati ya hawa wazee ni mbinu ya mkumdoofisha Lisu na kumshinikiza ahamie chama kingine ama unaonaje katika muktadha wa kisiasa?🐒
 
Mwana CCM kujua mambo ya CHADEMA hasa ya ndani ni uongo, sishangai maana CCM uongo ni kipaumbele chenu!!
Gentleman,
wengine ni wabobevu katika mambo haya ya siasa za vyama vingi vya siasa.

mambo haya ni huru lakini pia ni hiyari kupuuza au kutilia maanani mambo haya ya kidemokrasia 🐒
 
Back
Top Bottom