Tetesi: Mgombea urais kupitia CHADEMA uchaguzi mkuu 2025, ni ama DR. W.P.Slaa au J.S.Warioba

Tetesi: Mgombea urais kupitia CHADEMA uchaguzi mkuu 2025, ni ama DR. W.P.Slaa au J.S.Warioba

Za chini kwa chini yasemekana kwamba,
Warioba ana nafasi kubwa zaidi kupewa nafasi hiyo, huku mwenyewe akidai kutokua fiti kwa jukumu hilo zito na muhimu la uongozi, kwa sababu za kiumri.

Kuna shinikizo ni kubwa mno kutoka kwa viongozi waandamizi wa vyama vya siasa hususan chadema, na hilo ndilo linalompa hamasa na nguvu ya kukubali hata kufanya na press conference za mara kwa mara kwa niaba ya Chadema.

Inasemekana,
Dr.Slaa ana offer za kugombea urais za vyama vya siasa zaidi ya kimoja humu nchini, na hivyo viongozi waandamizi wa chadema wengi, hawampi nafasi kubwa sana na hawamuamini kwa kiwango kikubwa, hiyo ni kulingana na rekodi yake ya usaliti katika mambo mbalimbali ya kijamii na kisiasa pia.

Kuna mfululizo wa press conferences umeandaliwa kwaajili ya kumtambulisha kiongozi huyo anaepewa nafasi kubwa zaidi kua mgombea uras wa chadema, ili hatiamae azoeleke kwa wananchi licha ya kwamba kweli, ni wazi umri umemtupa mkono ukilinganisha na aina ya siasa za nguvu Tanzania.

Ndrugo zango, haitakua aibu na fedheha huko mbeleni? Unashauri busara iwaelekeze chadema kufanya nini?

una maoni gani kuhusu chaguo hilo kwa wana chadema kwa ujumla? :pulpTRAVOLTA:

Mungu Ibariki Tanzania
Kifupi ni kwamba!

Wewe ni mbunge lakini huna maono na ni rahisi kupumbazwa na wajinga wa siasa waliopo CCM chamani kwangu!

Press za warioba kama zinawapa maboss zako kimuhe muhe bhas waambie kinywa Cha warioba ni kinywa Cha Dola na Tec wakimtumia ku push ajenda za katiba mpya ijayo ,na Mzee Hana Cha kupoteza anataka aache legacy!?

Kinywa Cha warioba ni kinywa Cha wenye nchi wanaoonekana na wasioonekana ndani na nje ya nchi hii na kauli yake ya kusema "Tusipo chukua hatua" ni kauli nzito sana coz hatua anazosema sio za kidemokrasia wala.za kiraia Bali ni za kidola coz raia wanazimwa Kwa virungu vya polisi na washa washa!

Pia anaposema "msilitumie jeshi kisiasa ,unajua maana yake!!?ni kwamba siasa zimeshaanza kupenyezwa jeshini kama ni hivyo.jeshi litapoteza Imani na Amiri jeshi wake mkuu Kwa kuendekeza siasa jeshini unadhani nini kitatokea!!?


Makada wenzangu anzeni kufikiria nje ya box,juzi juzi Mafuru na mdungulile wamewaacha Wala Bata wenzao wabunge na makatibu wakuu,halafu Jana Kuna ajali ya wabunge!unafikiri yote hayo ni kwa bahati mbaya!!?

Huoni hiyo ni sequence and series!!?

Dr. Tulia anamuomba Mungu amakawize asiondoke mapema!unaelewa maana yake!!?Hana uhakika na usalama was maisha yake kuelekea uchaguzi mkuu mwakani!

Halafu wewe ulishiriki Ile Tour ya kwenda dubai baada ya kupitisha mkataba was Dp world!!?

Kama ulishiriki nenda katubu Ili Mungu akunusuru.kipindi hiki coz walioshiriki.wote like dili chafu kijasusi ni wahaini dhidi ya Jamhuri na kifo ni halali yao!!!

Nawaza tu kwasauti!Tilia maanani we mama!!
 
Kifupi ni kwamba!

Wewe ni mbunge lakini huna maono na ni rahisi kupumbazwa na wajinga wa siasa waliopo CCM chamani kwangu!

Press za warioba kama zinawapa maboss zako kimuhe muhe bhas waambie kinywa Cha warioba ni kinywa Cha Dola na Tec wakimtumia ku push ajenda za katiba mpya ijayo ,na Mzee Hana Cha kupoteza anataka aache legacy!?

Kinywa Cha warioba ni kinywa Cha wenye nchi wanaoonekana na wasioonekana ndani na nje ya nchi hii na kauli yake ya kusema "Tusipo chukua hatua" ni kauli nzito sana coz hatua anazosema sio za kidemokrasia wala.za kiraia Bali ni za kidola coz raia wanazimwa Kwa virungu vya polisi na washa washa!

Pia anaposema "msilitumie jeshi kisiasa ,unajua maana yake!!?ni kwamba siasa zimeshaanza kupenyezwa jeshini kama ni hivyo.jeshi litapoteza Imani na Amiri jeshi wake mkuu Kwa kuendekeza siasa jeshini unadhani nini kitatokea!!?


Makada wenzangu anzeni kufikiria nje ya box,juzi juzi Mafuru na mdungulile wamewaacha Wala Bata wenzao wabunge na makatibu wakuu,halafu Jana Kuna ajali ya wabunge!unafikiri yote hayo ni kwa bahati mbaya!!?

Huoni hiyo ni sequence and series!!?

Dr. Tulia anamuomba Mungu amakawize asiondoke mapema!unaelewa maana yake!!?Hana uhakika na usalama was maisha yake kuelekea uchaguzi mkuu mwakani!

Halafu wewe ulishiriki Ile Tour ya kwenda dubai baada ya kupitisha mkataba was Dp world!!?

Kama ulishiriki nenda katubu Ili Mungu akunusuru.kipindi hiki coz walioshiriki.wote like dili chafu kijasusi ni wahaini dhidi ya Jamhuri na kifo ni halali yao!!!

Nawaza tu kwasauti!Tilia maanani we mama!!
Gentleman,
ni muhimu sana kujifunza kuzingatia hoja mahususi mezani kuliko kubabaika na kuelezea mambo ambayo huenda ni kwaajili ya hoja nyingine pahali pengine,

ni yapi maoni yako kwa uamuzi huo wa Chadema kumfront warioba as presidential candidate come 2025?

au ni mbinu ya mkumdoofisha Lisu na kumshinikiza kisayansi kumuondoa chadema na ahamie chama kingine mapema bila chadema kupata athari?

huo ushirikiana mwingine si muhimu gentleman kwenye hoja hii mahususi 🐒
 
Mbona wamezeeka sana wanatumia mpaka mkongoja wataweza kweli kukagua gwaride.

2025 mgombea ni Mbowe hii ni habari mbaya kwa timu Lissu
eti wanafananishwa na Trump na raila 🐒
 
Acha kupotosha umma wewe. Mgombea urais wa CHADEMA 2025 ni kati ya Job Ndugai au Alexander Mnyeti.
 
Gentleman,
ni muhimu sana kujifunza kuzingatia hoja mahususi mezani kuliko kubabaika na kuelezea mambo ambayo huenda ni kwaajili ya hoja nyingine pahali pengine,

ni yapi maoni yako kwa uamuzi huo wa Chadema kumfront warioba as presidential candidate come 2025?

au ni mbinu ya mkumdoofisha Lisu na kumshinikiza kisayansi kumuondoa chadema na ahamie chama kingine mapema bila chadema kupata athari?

huo ushirikiana mwingine si muhimu gentleman kwenye hoja hii mahususi 🐒
Hilo halipo na halitotokea!!warioba ni mtu special sana ameshakula mema hawezi na Hana tamaa ya ujinga huo!!

Hivi Hali ya majeruhi hapo Dodoma ipoje!!?

Idara itaruhusu wote wapone hapo hospital!!?
 
Upinzani sio chama , Upinzani ni ideology ;yoyote yule akitokea kupinga ujinga anaweza kuchaguliwa nawatu wenye akili timamu, gentleman 🐒
ndiyo gentleman uko sahihi,


chadema inajulikana ni waliberali, watu wa kutetea utoaji mimba, ufirauni na ndoa za jinsia moja,

hata hivyo ndani ya chadema yenyewe wanapingana na hilo wao kwa wao,

na ndiyo maana kuna upande wanajiita Patriotic na upande mwingine Puppet..

Anyway,
hayo tutajadili siku nyingine,
ni yapi maoni yako dhidi ya uamuzi wa Chadema kuwafront wazee hawa kama presidential candidates come 2025 general elections?

au ni mbinu ya kumuengua puppet kisayansi?🐒
 
Dogo unahangaika kama kuku anataka kutaga

Au teenager amepata nyege

Kugombea uraisi not big deal kwa wenye akili

Issue ni tume huru ya uchaguzi itakayomtangaza mshindi
mshindi wa uchaguzi atatangazwa tu gentleman,

Tume Huru ya uchaguzi ipo, katiba muafaka ipo, mahakama huru zipo, na kwahivyo ni muhimu kuondokana na fear of unknown gentleman 🐒
Hilo halipo na halitotokea!!warioba ni mtu special sana ameshakula mema hawezi na Hana tamaa ya ujinga huo!!

Hivi Hali ya majeruhi hapo Dodoma ipoje!!?

Idara itaruhusu wote wapone hapo hospital!!?
hakunaga linaloshindikana kwenye siasa gentleman 🐒
 
Za chini kwa chini yasemekana kwamba,
Warioba ana nafasi kubwa zaidi kupewa nafasi hiyo, huku mwenyewe akidai kutokua fiti kwa jukumu hilo zito na muhimu la uongozi, kwa sababu za kiumri.

Kuna shinikizo ni kubwa mno kutoka kwa viongozi waandamizi wa vyama vya siasa hususan chadema, na hilo ndilo linalompa hamasa na nguvu ya kukubali hata kufanya na press conference za mara kwa mara kwa niaba ya Chadema.

Inasemekana,
Dr.Slaa ana offer za kugombea urais za vyama vya siasa zaidi ya kimoja humu nchini, na hivyo viongozi waandamizi wa chadema wengi, hawampi nafasi kubwa sana na hawamuamini kwa kiwango kikubwa, hiyo ni kulingana na rekodi yake ya usaliti katika mambo mbalimbali ya kijamii na kisiasa pia.

Kuna mfululizo wa press conferences umeandaliwa kwaajili ya kumtambulisha kiongozi huyo anaepewa nafasi kubwa zaidi kua mgombea uras wa chadema, ili hatiamae azoeleke kwa wananchi licha ya kwamba kweli, ni wazi umri umemtupa mkono ukilinganisha na aina ya siasa za nguvu Tanzania.

Ndrugo zango, haitakua aibu na fedheha huko mbeleni? Unashauri busara iwaelekeze chadema kufanya nini?

una maoni gani kuhusu chaguo hilo kwa wana chadema kwa ujumla? :pulpTRAVOLTA:

Mungu Ibariki Tanzania
Chawa katika ubora wako
 
Dr Slaa huyu? dakika ya mwisho nimemuona huko duniani nikafkiria tu huyu mzee ni muda wa kupumzika.
Huku kuna ngumbaru wanataka aongoze.
Wote hao wanatakiwa wastaafu kwa mujibu wa uzee.
Wabaki kuwa washauri tu
 
Chadema imelazimika kumpatia nafasi ya juu zaidi ya uongozi,
Je, ni mbinu ya kuudhoofisha Lisu na kumfanya ajiengue chadema mapema au?

una maoni gani kwenye hili, acha kumbwelambwela gentleman 🐒
Hapa lazima nitambwelbwela tu siasa za bongo kizungumkuti sana. Nikikumbuka Chadema walivyomwita mzee wa watu fisadi halafu wakamkabidhi kijiti cha kugombea uraisi🤣🤣🤣🤣🤣. Mi nachoka!!! Nachoka mie🤣🤣🤣
 
Hapa lazima nitambwelbwela tu siasa za bongo kizungumkuti sana. Nikikumbuka Chadema walivyomwita mzee wa watu fisadi halafu wakamkabidhi kijiti cha kugombea uraisi🤣🤣🤣🤣🤣. Mi nachoka!!! Nachoka mie🤣🤣🤣
there is no permanent enemy in politics gentleman, kwan hujui hilo? :pedroP:
 
Duuuuu wew utakua ccm
ni kiongozi na mtumishi wa wananchi kisiasa Tanzania.
kwangu, vyama vyote vya siasa nchini ni familia, rafiki na ndugu zangu,

nimebobea katiaka masuala ya utawala, siasa na diplomasia :pedroP:
 
Za chini kwa chini yasemekana kwamba,
Warioba ana nafasi kubwa zaidi kupewa nafasi hiyo, huku mwenyewe akidai kutokua fiti kwa jukumu hilo zito na muhimu la uongozi, kwa sababu za kiumri.

Kuna shinikizo ni kubwa mno kutoka kwa viongozi waandamizi wa vyama vya siasa hususan chadema, na hilo ndilo linalompa hamasa na nguvu ya kukubali hata kufanya na press conference za mara kwa mara kwa niaba ya Chadema.

Inasemekana,
Dr.Slaa ana offer za kugombea urais za vyama vya siasa zaidi ya kimoja humu nchini, na hivyo viongozi waandamizi wa chadema wengi, hawampi nafasi kubwa sana na hawamuamini kwa kiwango kikubwa, hiyo ni kulingana na rekodi yake ya usaliti katika mambo mbalimbali ya kijamii na kisiasa pia.

Kuna mfululizo wa press conferences umeandaliwa kwaajili ya kumtambulisha kiongozi huyo anaepewa nafasi kubwa zaidi kua mgombea uras wa chadema, ili hatiamae azoeleke kwa wananchi licha ya kwamba kweli, ni wazi umri umemtupa mkono ukilinganisha na aina ya siasa za nguvu Tanzania.

Ndrugo zango, haitakua aibu na fedheha huko mbeleni? Unashauri busara iwaelekeze chadema kufanya nini?

una maoni gani kuhusu chaguo hilo kwa wana chadema kwa ujumla? :pulpTRAVOLTA:

Mungu Ibariki Tanzania
Saa nyingine una bore sana unapoleta habari za kitopolotopolo namna hii.
 
ni kiongozi na mtumishi wa wananchi kisiasa Tanzania.
kwangu, vyama vyote vya siasa nchini ni familia, rafiki na ndugu zangu,

nimebobea katiaka masuala ya utawala, siasa na diplomasia :pedroP:
Mnaanza kumtafutia sababu warioba ili mumfukuze CCM?
Huyu mzee hafukuziki na wala hàta siku moja hawezi kuwa nyumbu.
 
Saa nyingine una bore sana unapoleta habari za kitopolotopolo namna hii.
tatizo habari za makolomakolo sizijui gentleman, ila nikizipata ntakufurahisha gentleman.

halafu leo wana game ee makolo?

nakutakia maandalizi mema ya christmas na mwaka mpya gentleman :pulpTRAVOLTA:
 
Za chini kwa chini yasemekana kwamba,
Warioba ana nafasi kubwa zaidi kupewa nafasi hiyo, huku mwenyewe akidai kutokua fiti kwa jukumu hilo zito na muhimu la uongozi, kwa sababu za kiumri.

Kuna shinikizo ni kubwa mno kutoka kwa viongozi waandamizi wa vyama vya siasa hususan chadema, na hilo ndilo linalompa hamasa na nguvu ya kukubali hata kufanya na press conference za mara kwa mara kwa niaba ya Chadema.

Inasemekana,
Dr.Slaa ana offer za kugombea urais za vyama vya siasa zaidi ya kimoja humu nchini, na hivyo viongozi waandamizi wa chadema wengi, hawampi nafasi kubwa sana na hawamuamini kwa kiwango kikubwa, hiyo ni kulingana na rekodi yake ya usaliti katika mambo mbalimbali ya kijamii na kisiasa pia.

Kuna mfululizo wa press conferences umeandaliwa kwaajili ya kumtambulisha kiongozi huyo anaepewa nafasi kubwa zaidi kua mgombea uras wa chadema, ili hatiamae azoeleke kwa wananchi licha ya kwamba kweli, ni wazi umri umemtupa mkono ukilinganisha na aina ya siasa za nguvu Tanzania.

Ndrugo zango, haitakua aibu na fedheha huko mbeleni? Unashauri busara iwaelekeze chadema kufanya nini?

una maoni gani kuhusu chaguo hilo kwa wana chadema kwa ujumla? :pulpTRAVOLTA:

Mungu Ibariki Tanzania
Kupitia chadema atakuwa Anne makinda atachuana na saa100
 
Mnaanza kumtafutia sababu warioba ili mumfukuze CCM?
Huyu mzee hafukuziki na wala hàta siku moja hawezi kuwa nyumbu.
acha nongwa gentleman,
mzee wetu wa heshima anaonekana kuwafaa zaidi wanaompendekeza kwenye uongozi wa juu wa taifa letu.

nadhani ni uhuru na haki yake kikatiba kuamua kadiri ya mapenzi yake.

binafsi namtakia kheri ikiwa itampendeza kufanya hivyo,

nanyi wadau wenzangu wote humu jukwaani nawatakia maandalizi mema ya christmas na mwaka mpya 2025. :pulpTRAVOLTA:
 
Back
Top Bottom