Wengi hapo watakuwa 50 or above so ondoa hiyo ya umri labdavuseme asizidi 55.
My favourites
1.Simbachawene(mature,composed,ni mwenzetu anajua shida za mtz ameanzia chini mbali,ana experience ya uongozi)
2.Dotto Biteko(He is promising,anaonekana anaweza,ana kitu atafika mbali,ni mtendaji zaidi,mtu wa implementation,sijui kama ana uzoefu sana lkn sina shaka anaweza na ataweza)
3.Tulia Ackson/Kafulila/Polepole
Makonda apewe fupa gumu linalosumbua ninaamini atapita nalo,atatuvusha mf mambo ya maadili,kilimo(tutakuwa matajiri),miundombinu(mainjinia hawatazungusha viti ofsn watashinda site,sgr itaisha(awe tu na KM mzuri ambaye ataelewa kasi na falsafa ya waziri wake huyo)