Pre GE2025 Mgombea Urais wa CCM 2030 lazima awe kijana with zero corruption status. Je, ni nani kati ya hawa?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
bahati mbaya hakuna hata mmoja hapo
 
Zero corruption status
 
Wote hao wamelamba sukari
 
Kuna mtu kapelekwa wizara ambayo Haina skendo

Taja Jina lake kama unamjua
 
Kwa list hii nimeamini kumbe hata Steve Nyerere na Mwijaku wanaweza kuwa Rais wa nchi yetu
Kwani ulikuwa ukidhani wanaokuwa maRais are people coming from the mars ???
Ni binaadamu wenzetu tu wenye Bahati zao πŸ™„πŸ‘
 
Mgombea ni Samia mwenye maono ya kutuvusha baad ya nchi kuharibiwa na jiwe. Wawekezani na biasha zinarudi kwa kasi. Mama ongoza miaka 100
Una hoja wadau wakusikilize
 
2,3,4
 
Mawazo ya kijinga hutoka kwa mtu mjinga.Watu wamejichokea ww unaongelea CCM pole sana.
 
Hapo sioni hata mmoja
Mim natabiri ataekuja kuwa Rais 2030 ni mtoto wa Mizengo Pinda( GEOFREY M. PINDA )
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…