Uchaguzi 2020 Mgombea Urais wa CHADEMA, Lissu kaahidi Bima ya Afya kwa wote

Exactly!

Ahadi kila mtu anaweza kuzitoa. Si ni maneno tu....
 
We ushasikia hizo ahadi atazifanikishaje? Hela za bima ya afya kwa watu wote atazitoa wapi? Atazichapisha labda?
Itakua una uwezo mdogo wa kufikiri.
Kwani wanaofungiwa umeme wa elfu 27 hizo hela zinatoka wapi?

Huoni ni sisi ndio tunaowalipia kwa kununua luku wanakata percentya REA??
 
*Inadhulumu* siyo ‘inadhurumu’.

*Gloves* siyo ‘glaves’.

*Vifaa* siyo ‘fifaa’.
 
Kamanda mbona povu jingi? Umekunywa Omo kwani?
 
Pumbafu
 
..Magufuli anasema tuzae elimu ni bure.

..What about afya?

..ana mpango gani ktk huduma za afya?



Rwanda: the beacon of Universal Health Coverage in Africa
Ya Magufuli siyajui. Si ajabu naye anaongea tu.

Ndo maana pale mwanzo nikasema mimi sitegemei mwanasiasa kuniboreshea maisha yangu....
 
Wamechagua garasa mara hii watazoa aibu, akili zao fupi wanafikiri mtu kukariri vifungu vya sheria ndio usomi.
 

Tupatie ushuhuda ulikwenda hospitali ipi na ukaambiwa dawa hakuna wakati umelipia bima ya afya?

Mbona mimi napata huduma safi kabisa ya afya nikiumwa kwa kulipia bima ya afya kule NSSF?
 
Tupatie ushuhuda ulikwenda hospitali ipi na ukaambiwa dawa hakuna wakati umelipia bima ya afya?

Mbona mimi napata huduma safi kabisa ya afya nikiumwa kwa kulipia bima ya afya kule NSSF?


Rwanda: the beacon of Universal Health Coverage in Africa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…