Valuhwanoswela
JF-Expert Member
- Jun 27, 2019
- 1,229
- 1,125
Aende na Chenge ni Msukuma msomi wa Harvard University ingawa hana PhD hata ile ya jalalani lakini anajua Kingereza cha Marekani. Ni aibu kiongozi kutojua Kingereza cha Tanzania!Jiwe lazima aende na mkalimani hapo
Anaongea kiingerezaKwani LISSU anajua kuongea kidhungu?
Alisema kama wataendelea kumzuiaHao ndio "wanadiplomasia", by the way Lissu si alisema atalala Kiluvya hata kwa wiki moja!? Ameondoka na kuwaacha solemba wenzake!?
Sahihi kabisa, hapa balozi ataenda ikulu kuteta na Rais wetu.Kiprotokali sijui imekaaje maana kumfuata balozi atajihisi amedhalilika, labda balozi amfuate kiongozi ikulu
Nyi mbona mnaongozwa na mhutu kutoka Burundi na katibu mkuu wenu kutoka RwandaApewe jimbo Marekani kama wanampenda sana.
Acha kuzungumzia habar za biashara wakati hufahamu..Wamarekani wanahitaji bussiness sio kingereza Ile ni lugha ya kuzaliwa Lisu ni mpinzani mkubwa mno wa kibiashara wa Marekani amekuwa akipinga ununuzi wa ndege ambazo serikali ya Tanzania imeagiza kutoka kampuni ya Boeing ya Marekani kuwa watanzania hawahitaji ndege ok watanzania hawahitaji ndege je waamerika hawahitaji soko la ndege zao za Boeng Tanzania Lisu kachemka tamko lao la kuponda ununuzi wa ndege ili marekani ikose soko jibu lao watalipata uchaguzi huu kwa hao waliokuwa wakiwaharibia biashara zao wakiwemo wamarekani ambao Lisu kaenda kuongea kiingereza na huyo balozi akidhani hitaji la ubalozi wa Marekani Tanzania ni waongea kingereza sio business
Kwani huyo balozi alipokuja Tanzania apokelewa wapi? Na alipokelewa na nani?Kiprotokali sijui imekaaje maana kumfuata balozi atajihisi amedhalilika, labda balozi amfuate kiongozi ikulu
Sawa tutakuwa na Rais anaegemea kinguzo.Vipi ikiwa kama kaegemea?
Hapo leo ilikuwa ni ung'eng'e tu...aende Sasa na yule boya tuone kama atawezanaπLeo Oktoba 07, 2020 Mgombea urais wa JMT Tundu Lissu amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Marekani nchini Tanzania Bwana Ambassador Donald J. Wright.
Balozi wa Marekani nchini Tanzania ameonyesha kufurahishwa kukutana na Mwanasheria huyo nguli.
Kupitia ukurasa wake wa Twitter Donald J. Wright ameandika "It was wonderful to finally meet Tundu Lissu today. While the U.S. does not support any candidate or party in the upcoming election, we fully support a free, fair, and transparent process where all parties are afforded equal treatment".
View attachment 1593154
View attachment 1593156
Nimeuliza swali mkuu.Haichekeshi.
October 28 USA watatoa statement ya kukukubali uchaguzi ulikuwa huru na wa haki lisu ataenda singida kuchunga pundaLeo Oktoba 07, 2020 Mgombea urais wa JMT Tundu Lissu amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Marekani nchini Tanzania Bwana Ambassador Donald J. Wright.
Balozi wa Marekani nchini Tanzania ameonyesha kufurahishwa kukutana na Mwanasheria huyo nguli.
Kupitia ukurasa wake wa Twitter Donald J. Wright ameandika "It was wonderful to finally meet Tundu Lissu today. While the U.S. does not support any candidate or party in the upcoming election, we fully support a free, fair, and transparent process where all parties are afforded equal treatment".
View attachment 1593154
View attachment 1593156
πππππππWamarekani wanahitaji bussiness sio kingereza Ile ni lugha ya kuzaliwa Lisu ni mpinzani mkubwa mno wa kibiashara wa Marekani amekuwa akipinga ununuzi wa ndege ambazo serikali ya Tanzania imeagiza kutoka kampuni ya Boeing ya Marekani kuwa watanzania hawahitaji ndege ok watanzania hawahitaji ndege je waamerika hawahitaji soko la ndege zao za Boeng Tanzania Lisu kachemka tamko lao la kuponda ununuzi wa ndege ili marekani ikose soko jibu lao watalipata uchaguzi huu kwa hao waliokuwa wakiwaharibia biashara zao wakiwemo wamarekani ambao Lisu kaenda kuongea kiingereza na huyo balozi akidhani hitaji la ubalozi wa Marekani Tanzania ni waongea kingereza sio business
YULE MWINGINE ALISEMA KORONA HAIPO TANZANIA. KWANI NA CHADEMA NAO WANAKUBARIANA NAYE KUWA KORONA IMEISHA TANZANIA? MAANA CHADEMA WALIPINGA SAANAAUnaposema Tamko juu ya Mikutano! Misururu. Yule mwingine yeye anamisururu ya panya au! Korona si alishasema hakuna wewe unaitoa wapi?!
KWAHIYO KORONA HAIUI MAELEFU YA WATANZANIA TENA?? KAMA MLIVYOKUWA MUNAOMBEAA??Hiyo sio mada ya leo