Uchaguzi 2020 Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu akutana na Balozi wa Marekani

Uchaguzi 2020 Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu akutana na Balozi wa Marekani

Safi Lissu kwa ratiba murua kabisa baada ya kuisimamisha Kariakoo bila wasanii wowote na hata bila taarifa yoyote umefunga siku vizuri sana kwa kukutana na balozi wa Marekani. Watahaha sana lakini wapi...
 
Hao ndio "wanadiplomasia", by the way Lissu si alisema atalala Kiluvya hata kwa wiki moja!? Ameondoka na kuwaacha solemba wenzake!?
Alisema kama wataendelea kumzuia
Baada ya nyomi kua kubwa polisi walifyata wakamwambia aendelee na safari
 
Kiprotokali sijui imekaaje maana kumfuata balozi atajihisi amedhalilika, labda balozi amfuate kiongozi ikulu
Sahihi kabisa, hapa balozi ataenda ikulu kuteta na Rais wetu.

1. Protokali

2. Ni sehemu salama zaidi kuliko huko kwingine kwa hao wageni wake Lissu, Mbatia huyu hata ofisi hana.
 
Wamarekani wanahitaji bussiness sio kingereza Ile ni lugha ya kuzaliwa Lisu ni mpinzani mkubwa mno wa kibiashara wa Marekani amekuwa akipinga ununuzi wa ndege ambazo serikali ya Tanzania imeagiza kutoka kampuni ya Boeing ya Marekani kuwa watanzania hawahitaji ndege ok watanzania hawahitaji ndege je waamerika hawahitaji soko la ndege zao za Boeng Tanzania Lisu kachemka tamko lao la kuponda ununuzi wa ndege ili marekani ikose soko jibu lao watalipata uchaguzi huu kwa hao waliokuwa wakiwaharibia biashara zao wakiwemo wamarekani ambao Lisu kaenda kuongea kiingereza na huyo balozi akidhani hitaji la ubalozi wa Marekani Tanzania ni waongea kingereza sio business
 
Wamarekani wanahitaji bussiness sio kingereza Ile ni lugha ya kuzaliwa Lisu ni mpinzani mkubwa mno wa kibiashara wa Marekani amekuwa akipinga ununuzi wa ndege ambazo serikali ya Tanzania imeagiza kutoka kampuni ya Boeing ya Marekani kuwa watanzania hawahitaji ndege ok watanzania hawahitaji ndege je waamerika hawahitaji soko la ndege zao za Boeng Tanzania Lisu kachemka tamko lao la kuponda ununuzi wa ndege ili marekani ikose soko jibu lao watalipata uchaguzi huu kwa hao waliokuwa wakiwaharibia biashara zao wakiwemo wamarekani ambao Lisu kaenda kuongea kiingereza na huyo balozi akidhani hitaji la ubalozi wa Marekani Tanzania ni waongea kingereza sio business
Acha kuzungumzia habar za biashara wakati hufahamu..

Wenzako wanazungumzia mchakato wa ununuzi na namna ya uwekezaji wa hizo ndege uweze kulipa wewe unaweka hoja mfu.
 
Meanwhile Komeo la Chato lipo Gereji kupigwa spana na kubadilisha oil.
 
Kiprotokali sijui imekaaje maana kumfuata balozi atajihisi amedhalilika, labda balozi amfuate kiongozi ikulu
Kwani huyo balozi alipokuja Tanzania apokelewa wapi? Na alipokelewa na nani?
 
Komeo la Chato lingesema ...."Ofkozi pipo yuzdi tu dai ini ze reki.."[emoji91][emoji91][emoji91]
 
Leo Oktoba 07, 2020 Mgombea urais wa JMT Tundu Lissu amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Marekani nchini Tanzania Bwana Ambassador Donald J. Wright.

Balozi wa Marekani nchini Tanzania ameonyesha kufurahishwa kukutana na Mwanasheria huyo nguli.

Kupitia ukurasa wake wa Twitter Donald J. Wright ameandika "It was wonderful to finally meet Tundu Lissu today. While the U.S. does not support any candidate or party in the upcoming election, we fully support a free, fair, and transparent process where all parties are afforded equal treatment".

View attachment 1593154
View attachment 1593156
Hapo leo ilikuwa ni ung'eng'e tu...aende Sasa na yule boya tuone kama atawezana😀
 
Leo Oktoba 07, 2020 Mgombea urais wa JMT Tundu Lissu amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Marekani nchini Tanzania Bwana Ambassador Donald J. Wright.

Balozi wa Marekani nchini Tanzania ameonyesha kufurahishwa kukutana na Mwanasheria huyo nguli.

Kupitia ukurasa wake wa Twitter Donald J. Wright ameandika "It was wonderful to finally meet Tundu Lissu today. While the U.S. does not support any candidate or party in the upcoming election, we fully support a free, fair, and transparent process where all parties are afforded equal treatment".

View attachment 1593154
View attachment 1593156
October 28 USA watatoa statement ya kukukubali uchaguzi ulikuwa huru na wa haki lisu ataenda singida kuchunga punda
 
Wamarekani wanahitaji bussiness sio kingereza Ile ni lugha ya kuzaliwa Lisu ni mpinzani mkubwa mno wa kibiashara wa Marekani amekuwa akipinga ununuzi wa ndege ambazo serikali ya Tanzania imeagiza kutoka kampuni ya Boeing ya Marekani kuwa watanzania hawahitaji ndege ok watanzania hawahitaji ndege je waamerika hawahitaji soko la ndege zao za Boeng Tanzania Lisu kachemka tamko lao la kuponda ununuzi wa ndege ili marekani ikose soko jibu lao watalipata uchaguzi huu kwa hao waliokuwa wakiwaharibia biashara zao wakiwemo wamarekani ambao Lisu kaenda kuongea kiingereza na huyo balozi akidhani hitaji la ubalozi wa Marekani Tanzania ni waongea kingereza sio business
😂😂😂😂😂😂😂
Una umwa wewe ndege mna nunua ngapi kwa mwaka !?
 
Back
Top Bottom