Uchaguzi 2020 Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu akutana na Balozi wa Marekani

Tundu Lissu ni tunu kwa taifa
Tunu taifa Lipi amekuwa yeye Na Chadema wakipinga marekani isiuze ndege zake Tanzania ili kampuni ya Boeing inayouza ndege za Boeing na Bombardier ikose soko kiwanda kifungwe na wafanyakazi waachishwe kazi na serikali ya Marekani ikose soko na wanahisa wa Boeing wa Ulaya na Marekani hisa zao zianguke sababu soko likuwepo hisa hupanda upinzani umekuwa ukipinga hadi akina Zitto Kabwe kusema Boeing imeleta ndege mitumba Dk Magufuli kawapa soko la Ndege zao Boeing hivi kwa akili ya kawaida kati ya Lisu na Dk Magufuli unadhani Marekani watamheshimu nani mwongea kiingereza na mpinga biashara zao au asiyejua kiingereza anayewapa biashara
 
😂😂😂😂😂😂😂
Una umwa wewe ndege mna nunua ngapi kwa mwaka !?
HATA TUKINUNUA moja ndio upinge marekani wakose soko wasituuzie eti ooh mimi najua kingereza balozi wa Marekani hapa kaja kwa kazi ya ku assess nani anaongea kingereza kizuri Tanzania
 
Mbona kakutana na Mbatia hamjasema.?
 
Amekutana na Maalim mbona hamjasema?
 

Mbona sijaona mwingine kwenda kuomba picha ya kwenye gari na hiyo namba au ndio ujumbe wa kiaina fulani hiviii🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mbeba maona, Tundu Lissu wewe ni noumar aisee. Wale kenge wakijani kila mtego wanaokuwekea unaruka. Yaani walitegemea kampeni iwe rahisi lakini kwa unachowafanya hawaamini.

Go go go gooooooh Lissu goooooo
 
Upinzani wote mkitaka nendeni ila muende na maelezo kwa nini mlipinga kampuni ya Boeing ya Marekani isiiuzie Tanzania ndege na kwa nini mnaponda ununuzi wa hizo ndege zao mikutano ya bunge na kampeni na press conference zenu nendeni na kingereza chenu na majibu mliosema walituuzia mitumba akina Zitto Kabwe pia nendeni na majibu
 
Nice pictures!!

God bless Tundu Antiphas Lissu. God bless Tanzania.

The president of United Republic of Tanzania 2020-2025, Tundu Antiphas Lissu✌️

In Jesus Name!
 
Boeing hawana shida ya soko la ndege zao wala Tanzania siyo soko lao muhimu ikumbukwe kuwa wanatangeneza pia ndege za kisasa za kijeshi zenye bei kubwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…