Uchaguzi 2020 Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu akutana na Balozi wa Marekani

Uchaguzi 2020 Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu akutana na Balozi wa Marekani

Tundu Lissu ni tunu kwa taifa
Tunu taifa Lipi amekuwa yeye Na Chadema wakipinga marekani isiuze ndege zake Tanzania ili kampuni ya Boeing inayouza ndege za Boeing na Bombardier ikose soko kiwanda kifungwe na wafanyakazi waachishwe kazi na serikali ya Marekani ikose soko na wanahisa wa Boeing wa Ulaya na Marekani hisa zao zianguke sababu soko likuwepo hisa hupanda upinzani umekuwa ukipinga hadi akina Zitto Kabwe kusema Boeing imeleta ndege mitumba Dk Magufuli kawapa soko la Ndege zao Boeing hivi kwa akili ya kawaida kati ya Lisu na Dk Magufuli unadhani Marekani watamheshimu nani mwongea kiingereza na mpinga biashara zao au asiyejua kiingereza anayewapa biashara
 
😂😂😂😂😂😂😂
Una umwa wewe ndege mna nunua ngapi kwa mwaka !?
HATA TUKINUNUA moja ndio upinge marekani wakose soko wasituuzie eti ooh mimi najua kingereza balozi wa Marekani hapa kaja kwa kazi ya ku assess nani anaongea kingereza kizuri Tanzania
 
Leo Oktoba 07, 2020 Mgombea urais wa JMT Tundu Lissu amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Marekani Nchini Tanzania Bwana Ambassador Donald J. Wright. Balozi wa Marekani nchini Tanzania ameonyesha kufurahishwa kukutana na Mwanasheria huyo nguli.

Kupitia ukurasa wake wa Twitter Donald J. Wright ameandika "It was wonderful to finally meet Tundu Lissu today. While the U.S. does not support any candidate or party in the upcoming election, we fully support a free, fair, and transparent process where all parties are afforded equal treatment".

View attachment 1593154
View attachment 1593156
Mbona kakutana na Mbatia hamjasema.?
IMG_20201007_183124.jpg
 
Leo Oktoba 07, 2020 Mgombea urais wa JMT Tundu Lissu amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Marekani Nchini Tanzania Bwana Ambassador Donald J. Wright. Balozi wa Marekani nchini Tanzania ameonyesha kufurahishwa kukutana na Mwanasheria huyo nguli.

Kupitia ukurasa wake wa Twitter Donald J. Wright ameandika "It was wonderful to finally meet Tundu Lissu today. While the U.S. does not support any candidate or party in the upcoming election, we fully support a free, fair, and transparent process where all parties are afforded equal treatment".

View attachment 1593154
View attachment 1593156
Amekutana na Maalim mbona hamjasema?
IMG_20201007_183107.jpg
 
IMG_20201007_183255.jpg

Mbona sijaona mwingine kwenda kuomba picha ya kwenye gari na hiyo namba au ndio ujumbe wa kiaina fulani hiviii🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mbeba maona, Tundu Lissu wewe ni noumar aisee. Wale kenge wakijani kila mtego wanaokuwekea unaruka. Yaani walitegemea kampeni iwe rahisi lakini kwa unachowafanya hawaamini.

Go go go gooooooh Lissu goooooo
 
Upinzani wote mkitaka nendeni ila muende na maelezo kwa nini mlipinga kampuni ya Boeing ya Marekani isiiuzie Tanzania ndege na kwa nini mnaponda ununuzi wa hizo ndege zao mikutano ya bunge na kampeni na press conference zenu nendeni na kingereza chenu na majibu mliosema walituuzia mitumba akina Zitto Kabwe pia nendeni na majibu
 
Leo Oktoba 07, 2020 Mgombea urais wa JMT Tundu Lissu amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Marekani Nchini Tanzania Bwana Ambassador Donald J. Wright. Balozi wa Marekani nchini Tanzania ameonyesha kufurahishwa kukutana na Mwanasheria huyo nguli.

Kupitia ukurasa wake wa Twitter Donald J. Wright ameandika "It was wonderful to finally meet Tundu Lissu today. While the U.S. does not support any candidate or party in the upcoming election, we fully support a free, fair, and transparent process where all parties are afforded equal treatment".

View attachment 1593154
View attachment 1593156
Nice pictures!!

God bless Tundu Antiphas Lissu. God bless Tanzania.

The president of United Republic of Tanzania 2020-2025, Tundu Antiphas Lissu✌️

In Jesus Name!
 
Wamarekani wanahitaji bussiness sio kingereza Ile ni lugha ya kuzaliwa Lisu ni mpinzani mkubwa mno wa kibiashara wa Marekani amekuwa akipinga ununuzi wa ndege ambazo serikali ya Tanzania imeagiza kutoka kampuni ya Boeing ya Marekani kuwa watanzania hawahitaji ndege ok watanzania hawahitaji ndege je waamerika hawahitaji soko la ndege zao za Boeng Tanzania Lisu kachemka tamko lao la kuponda ununuzi wa ndege ili marekani ikose soko jibu lao watalipata uchaguzi huu kwa hao waliokuwa wakiwaharibia biashara zao wakiwemo wamarekani ambao Lisu kaenda kuongea kiingereza na huyo balozi akidhani hitaji la ubalozi wa Marekani Tanzania ni waongea kingereza sio business
Boeing hawana shida ya soko la ndege zao wala Tanzania siyo soko lao muhimu ikumbukwe kuwa wanatangeneza pia ndege za kisasa za kijeshi zenye bei kubwa.
 
Back
Top Bottom