Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunu taifa Lipi amekuwa yeye Na Chadema wakipinga marekani isiuze ndege zake Tanzania ili kampuni ya Boeing inayouza ndege za Boeing na Bombardier ikose soko kiwanda kifungwe na wafanyakazi waachishwe kazi na serikali ya Marekani ikose soko na wanahisa wa Boeing wa Ulaya na Marekani hisa zao zianguke sababu soko likuwepo hisa hupanda upinzani umekuwa ukipinga hadi akina Zitto Kabwe kusema Boeing imeleta ndege mitumba Dk Magufuli kawapa soko la Ndege zao Boeing hivi kwa akili ya kawaida kati ya Lisu na Dk Magufuli unadhani Marekani watamheshimu nani mwongea kiingereza na mpinga biashara zao au asiyejua kiingereza anayewapa biasharaTundu Lissu ni tunu kwa taifa
Mkuu naona wewe uko kwenye dunia ya pekee (LoL)Hao ndio "wanadiplomasia", by the way Lissu si alisema atalala Kiluvya hata kwa wiki moja!? Ameondoka na kuwaacha solemba wenzake!?
HATA TUKINUNUA moja ndio upinge marekani wakose soko wasituuzie eti ooh mimi najua kingereza balozi wa Marekani hapa kaja kwa kazi ya ku assess nani anaongea kingereza kizuri Tanzania😂😂😂😂😂😂😂
Una umwa wewe ndege mna nunua ngapi kwa mwaka !?
Mbona kakutana na Mbatia hamjasema.?Leo Oktoba 07, 2020 Mgombea urais wa JMT Tundu Lissu amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Marekani Nchini Tanzania Bwana Ambassador Donald J. Wright. Balozi wa Marekani nchini Tanzania ameonyesha kufurahishwa kukutana na Mwanasheria huyo nguli.
Kupitia ukurasa wake wa Twitter Donald J. Wright ameandika "It was wonderful to finally meet Tundu Lissu today. While the U.S. does not support any candidate or party in the upcoming election, we fully support a free, fair, and transparent process where all parties are afforded equal treatment".
View attachment 1593154
View attachment 1593156
Amekutana na Maalim mbona hamjasema?Leo Oktoba 07, 2020 Mgombea urais wa JMT Tundu Lissu amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Marekani Nchini Tanzania Bwana Ambassador Donald J. Wright. Balozi wa Marekani nchini Tanzania ameonyesha kufurahishwa kukutana na Mwanasheria huyo nguli.
Kupitia ukurasa wake wa Twitter Donald J. Wright ameandika "It was wonderful to finally meet Tundu Lissu today. While the U.S. does not support any candidate or party in the upcoming election, we fully support a free, fair, and transparent process where all parties are afforded equal treatment".
View attachment 1593154
View attachment 1593156
Huyo siyo balozi ni mmiliki wa mgodiWalivyo na furaha inaonyesha wamezungumza mambo ya msingi sana na hasa ishu hiyo ya uchaguzi.
Ni zamu ya yule mwingine, je ataweza kweli kuzungumza hoja za maana bila mkalimani?
Balozi kakutana na wagombea wote ambao wanaenda kushindwa.Haichekeshi.
Nani alianza kuondoka Kati ya Lissu au Polisi waliomzuia?Hao ndio "wanadiplomasia", by the way Lissu si alisema atalala Kiluvya hata kwa wiki moja!? Ameondoka na kuwaacha solemba wenzake!?
Nice pictures!!Leo Oktoba 07, 2020 Mgombea urais wa JMT Tundu Lissu amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Marekani Nchini Tanzania Bwana Ambassador Donald J. Wright. Balozi wa Marekani nchini Tanzania ameonyesha kufurahishwa kukutana na Mwanasheria huyo nguli.
Kupitia ukurasa wake wa Twitter Donald J. Wright ameandika "It was wonderful to finally meet Tundu Lissu today. While the U.S. does not support any candidate or party in the upcoming election, we fully support a free, fair, and transparent process where all parties are afforded equal treatment".
View attachment 1593154
View attachment 1593156
Boeing hawana shida ya soko la ndege zao wala Tanzania siyo soko lao muhimu ikumbukwe kuwa wanatangeneza pia ndege za kisasa za kijeshi zenye bei kubwa.Wamarekani wanahitaji bussiness sio kingereza Ile ni lugha ya kuzaliwa Lisu ni mpinzani mkubwa mno wa kibiashara wa Marekani amekuwa akipinga ununuzi wa ndege ambazo serikali ya Tanzania imeagiza kutoka kampuni ya Boeing ya Marekani kuwa watanzania hawahitaji ndege ok watanzania hawahitaji ndege je waamerika hawahitaji soko la ndege zao za Boeng Tanzania Lisu kachemka tamko lao la kuponda ununuzi wa ndege ili marekani ikose soko jibu lao watalipata uchaguzi huu kwa hao waliokuwa wakiwaharibia biashara zao wakiwemo wamarekani ambao Lisu kaenda kuongea kiingereza na huyo balozi akidhani hitaji la ubalozi wa Marekani Tanzania ni waongea kingereza sio business
Kwa sababu ya ulemavu mliomsababishia baada ya kumpiga risasiHivi Lissu kwanini anapenda kusimama upandeupande?
Nilikuwa sijui maana ya neno Utopolo mpaka nilipoona hii comment!Apewe jimbo Marekani kama wanampenda sana.
Anajiandaa kukuchomeka mkunungeHivi Lissu kwanini anapenda kusimama upandeupande?
Ilyofadhiliwa na Mabeberu wa Dunia.Ndio alienda kwa mwendo kasi!!
Thubutu yenuOctober 28 USA watatoa statement ya kukukubali uchaguzi ulikuwa huru na wa haki lisu ataenda singida kuchunga punda