Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,734
- 5,750
Kwa akili yako nani anapata dhuluma ya ushindi?Hiyo ni kanuni ya wazi kuwa kwenye kushindana kwani kuna mshindi na mshindwa. Cha muhimu anayeshinda ashinde kihalali, na mshindwa ashindwe kihalali fullstop.
Siyo kimemia?Aliandika kikemia
HujajibuWatanzania ambao wanaishi mijini wanazungumza kiswahili mwanzo mwisho, wengi waliopo vijijini wazungumza kilugha, lakini kwenye mtihani wa kiswahili wapo ambao wanazungunza kiswahili muda wote lakini wanaishia kupata F na wapo ambao wanaongea kilugha huko vijijini hadi kwenye majadiliano darasani lakini wanapata A. Nadhani nimekujibu
Lugha za kijani hapana.Kuishi, unaishi TANZANIA, Ila akili zako zote ziko ulaya!!
Jiamini wewe! hata kama wewe ni mbweha, heshimu makazi yako na Lugha na utamaduni wako
Jane usimkufuru Muumba kabla hujafa hujaumbika. Kabla ya September 7 2017. Lissu was okay.Hivi Lissu kwanini anapenda kusimama upandeupande?
Walivyo na furaha inaonyesha wamezungumza mambo ya msingi sana na hasa ishu hiyo ya uchaguzi.
Ni zamu ya yule mwingine, je ataweza kweli kuzungumza hoja za maana bila mkalimani?
Polisi walisalimu amri wakaondoka na lisu akaenda na kuendesha kikao Cha ndaniHao ndio "wanadiplomasia", by the way Lissu si alisema atalala Kiluvya hata kwa wiki moja!? Ameondoka na kuwaacha solemba wenzake!?
Hiyo kuegemea nyinyi ndio mulio msababisha kwa kummiminia mvua za risasiLissu alivyosimama mbonakama kunakijinguzo kwanyuma kaegamia!?
Pole sana ukipata hoja ndio urudi.Tunu taifa Lipi amekuwa yeye Na Chadema wakipinga marekani isiuze ndege zake Tanzania ili kampuni ya Boeing inayouza ndege za Boeing na Bombardier ikose soko kiwanda kifungwe na wafanyakazi waachishwe kazi na serikali ya Marekani ikose soko na wanahisa wa Boeing wa Ulaya na Marekani hisa zao zianguke sababu soko likuwepo hisa hupanda upinzani umekuwa ukipinga hadi akina Zitto Kabwe kusema Boeing imeleta ndege mitumba Dk Magufuli kawapa soko la Ndege zao Boeing hivi kwa akili ya kawaida kati ya Lisu na Dk Magufuli unadhani Marekani watamheshimu nani mwongea kiingereza na mpinga biashara zao au asiyejua kiingereza anayewapa biashara
Labda yule anaezunguka na kiyoyozi ndio atasikiliza porojo hizoHayo maneno we dont support any party, ni sindano kwa lissu. Alidhani atapewa support...bila shaka kaenda lia lia huko jamaaa kampa za uso hatusapoti yeyote...
Kisa ni nini? Ni kutofautiana kimtazamo wa kisiasa mpaka una kashifu maumbile ya mwenzako? Na baada ya hapo unaenda kanisani au msikitini kumuomba Mungu!Sawa tutakuwa na Rais anaegemea kinguzo.
Lisu na Chadema ķupinga ununuzi wa ndege hawakujua wanampinga nani walidhani wanampinga Magufuli sababu akili hawana wasomi walishawakimbia akina Professor Baregu nk wamebaki wababaishaji akina lisu kumbe kupinga ununuzi wa ndege unaipiga vita marekani isiuze ndege zake za Boeing na Bombardier ikose soko la bidhaa zake na Boeing shareholders wengi wako Ulaya na Marekani hivyo ukipiga vita ndege Tanzania isinunue ni sawa na kuiwekea vikwazo Marekani isiuze bidhaa zake TanzaniaPole sana ukipata hoja ndio urudi.
Off-point. Kakojoe ulale.Watanzania ambao wanaishi mijini wanazungumza kiswahili mwanzo mwisho, wengi waliopo vijijini wazungumza kilugha, lakini kwenye mtihani wa kiswahili wapo ambao wanazungunza kiswahili muda wote lakini wanaishia kupata F na wapo ambao wanaongea kilugha huko vijijini hadi kwenye majadiliano darasani lakini wanapata A. Nadhani nimekujibu
Wamarekani wako after business mliwapiga Vita sana na kwenye kampeni zenu Chadema na Lisu kutwa mnaponda ununuzi wa ndege mkiupiga vita mnachofanya ni kuipiga vita marekani isiuze ndege zake kwa Tanzania mnataka ziwadodee mlivyo wanafiki eti mnaenda kumuona balozi wa marekani na kingereza kingi ati awasaidie !!Pole sana ukipata hoja ndio urudi.
Hilo swala mulize yule aliye wazuiya wabunge wasiende kumuangalia lisu hospitalHivi Lissu kwanini anapenda kusimama upandeupande?
Sometimes tunamwona Magu amekosea au anaroho mbaya kumbe ukiangalia kwa undani maamuzi yake yanabusara membe ni umiza kichwa hajitambuiMbona kakutana na Mbatia hamjasema.?View attachment 1593259
Hayupo fluent kihivyo, ila anaweza kueleweka kwa wenye lugha yao. Wabongo wengi ambao wapo vizuri kwenye kutema yai ni either wameishi au kusoma kwenye nchi za malkia au wana high intelligence kuweza kumudu kutumia kimalkia ndani ya muda mfupi na kwa lafudhi inayoeleweka na wenye lugha yao.
Mukaruka mzee mwaka huu hutakuwa na haja ya chanuo
Maneno ya MKOSA HOJA! Dawa ni KUYAPUUZA tu.Nyi mbona mnaongozwa na mhutu kutoka Burundi na katibu mkuu wenu kutoka Rwanda
Tatizo hapa ni MUDA! Kwa kweli sikuwa na muda wa kufuatilia mwisho wa hiyo SINEMA ya Lissu. Kumbe Polisi walimuacha ili apate muda wa kujitayarisha kwa safari yake ya kumuona Balozi wa US!Ungefuatilia yalivyoisha ingekusaidia sana