Uchaguzi 2020 Mgombea Urais wa JMT kupitia CHADEMA, Tundu Lissu aanza rasmi kampeni zake kwa kutumia Helikopta

Uchaguzi 2020 Mgombea Urais wa JMT kupitia CHADEMA, Tundu Lissu aanza rasmi kampeni zake kwa kutumia Helikopta

Haka kadude huwa sikaaminiamini ni rahisi wabaya wako kukafanyia uhuni
Kama risasi zilizorushwa mita 15 kuelekea kwenye target zilidunda na kushindwa kumuua..

Basi hata ikitokea shetani anaihujumu Chopa nakuhakikishia litasambaratika bodi lake lakini sterling hawezi kufa..!

You have to know that, something peculiar is in this person...

He will neither die today nor tomorrow until THE MISSION IS ACCOMPLISHED..!!!
 
Kama risasi zilizorushwa mita 15 kuelekea kwenye target zilidunda na kushindwa kumuua..

Basi hata ikitokea shetani anaihujumu Chopa nakuhakikishia litasambaratika bodi lake lakini sterling hawezi kufa..!

You have to know that, something peculiar is in this person...

He will neither die today nor tomorrow until THE MISSION IS ACCOMPLISHED..!!!
Hajajuwa NYAMBIZI erio imekita NANGA.....
 
Muda huu chopa lipasua anga za Karatu ...watu wanashangilia hatareee....
 
Back
Top Bottom