Uchaguzi 2020 Mgombea wa CCM "apigwa kipapai" akiwa Jukwaani. Point zayeyuka

Uchaguzi 2020 Mgombea wa CCM "apigwa kipapai" akiwa Jukwaani. Point zayeyuka

Determinantor

Platinum Member
Joined
Mar 17, 2008
Posts
59,045
Reaction score
94,974
Huyu Binti nadhani naangalia sura za Wajumbe akakumbuka kuwa hapa deni halitalipika na kazi hana tena! Kajikuta akili imegoma, sasa hawa ndio watu wa kwenda kushindana na akina Heche eti CCM acheni masiala aiseeee. Mtu anashindwa kujieleza mbele ya Wajumbe si ndio ataishia kupiga makofi tu? Angalia video

 
Aisee....

Hakuna cha kipapai wala nini. Hawa CCM ndivyo walivyo. Ndiyo uwezo wao

Hawa ndiyo tunaohangaishana nao humu kwenye mitandao. They completely know nothing. Wanachojua wao ni kusema tu, "Magufuli jembeeee.."

Hawa ndiyo CCM, wanaokaririshwa kila kitu kama Kasuku ndege. Hawawezi kutumia vichwa vyao wenyewe vyenye akili zao kufikiri.

Sasa huyu akiwa mbunge halafu ndiyo ajaribu ku-challenge hoja za Tundu Lissu ama Halima Mdee? Huyu si angeenda kuwa kama Goodluck Mlinga mwingine bungeni?
 
Huyu Binti nadhani naangalia sura za Wajumbe akakumbuka kuwa hapa deni halitalipika na kazi hana tena! Kajikuta akili imegoma, sasa hawa ndio watu wa kwenda kushindana na akina Heche eti.....CCM acheni masiala aiseeee. Mtu anashindwa kujieleza mbele ya Wajumbe si ndio ataishia kupiga makofi tu? Angalia video
[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]
 
Tatizo litakuwepo
Maana sidhani huko kote alikopita alikua na kigugumizi au alishindwa kujiandaa
Huyu si mshindi wa mkoa fulani na ndo maana yuko hapo??au amefikaje
Huenda ndio maana akapewa back up
 
Kilicho mpata hakueleweki.....mbona alikuwa anajiamini ,imekuwaje ashindwe kutamka baadhi ya maneno tu. Uso ulijaaakujiamini!

Kuna mtu alikalia bakuli wskati anaongea
 
Back
Top Bottom