Uchaguzi 2020 Mgombea wa CCM "apigwa kipapai" akiwa Jukwaani. Point zayeyuka

Uchaguzi 2020 Mgombea wa CCM "apigwa kipapai" akiwa Jukwaani. Point zayeyuka

[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]
Unaniudhi Mshana Jr, sii iseme neno moja tukusikie? Jee ni kipapai au kitu kingine tuu katika kuweka mambo kwenye line?
Maana green sio mchezo, 2015 mzee white hair nasikia walimfix hadi halikuwa anaogopa "kupumua" jukwaani, akijaribu tuu ngoma inatema na hali ya hewa inaharibika.
 
Kilaza wa kutupwa huyo, anaye lilia huruma ya wajumbe
 
Unajua huyu dada ilibidi agawe nyapu kwa Polepole ili kufikia hatua hiyo. Lkn mumewe mpendwa ndiye amegharamia kila kitu mpk tunamuona hapo.

Sasa leo akiwa jukwaani kumbukumbu za shombo la Polepole zikqmjia. Kiila akikumbuka shombo la Polepole points zikawa zinapotea..

mhh jamani[emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji115]
 
Around the world a sense of mystery and fear engulfs witchcraft and nowhere is this more evident than in the East African nation of Tanzania.



In danganyika faith in this specific form of tradition can turn deadly as witnessed during a ccm party meeting where members of Parliament were supposed to ask for votes.
 
Kabla hujawaza kwa mihemko khs Tanzania, ulifikiria kwamba yawezekana alipaniki au tatizo linngine lolote la kisaikolojia?
 
Kabla hujawaza kwa mihemko khs Tanzania, ulifikiria kwamba yawezekana alipaniki au tatizo linngine lolote la kisaikolojia?

Dada anaanza vizuri ila anakwama pale anapotaka kueleza jambo la maana, nyie watu bana, yaani ushirikina ndio zenu, ila nashukuru mwaka huu hamjawachinja albino, au labda mnawachinja kimya kimya.
 
Huo muda wa kutudiscuss mnautoa wapi?? Insteay chukueni tahadhari dhidi ya korona
 
Around the world a sense of mystery and fear engulfs witchcraft and nowhere is this more evident than in the East African nation of Tanzania.



In danganyika faith in this specific form of tradition can turn deadly as witnessed during a ccm party meeting where members of Parliament were supposed to ask for votes. View attachment 1532414
That's why you kill each other like flies, you never use your brains to think logically whenever you face problems, even straight forwards problem like this, still you are coming up with stupid conclusion.
 
Mshana Jr hii kitu umeisoma? karibu uje kujibu huyu anayejiita MK254 tukikaa kimya huyu jamaa anajitamba sana. Dah ila kwa namna nilivyoangalia hii video naona kabisa CCM kuna uçhæwï [emoji851][emoji851][emoji851]
 
Around the world a sense of mystery and fear engulfs witchcraft and nowhere is this more evident than in the East African nation of Tanzania.



In danganyika faith in this specific form of tradition can turn deadly as witnessed during a ccm party meeting where members of Parliament were supposed to ask for votes. View attachment 1532414
Ccm hatuamini kwenye ushirikina
 
Mshana Jr hii kitu umeisoma? karibu uje kujibu huyu anayejiita MK254 tukikaa kimya huyu jamaa anajitamba sana. Dah ila kwa namna nilivyoangalia hii video naona kabisa CCM kuna uçhæwï [emoji851][emoji851][emoji851]

Huyo Mshana Jr sidhani kama mauchawi yake yana jeuri yoyote dhidi ya CCM.
Na ndio uamini uchawi wa hao jamaa ni balaa, kuna video niliona kwenye mitandao ya Polepole akiiponda CCM kitambo, unaamini ingewezekana?
 
Huyo Mshana Jr sidhani kama mauchawi yake yana jeuri yoyote dhidi ya CCM.
Na ndio uamini uchawi wa hao jamaa ni balaa, kuna video niliona kwenye mitandao ya Polepole akiiponda CCM kitambo, unaamini ingewezekana?
Halafu bro, Naona umeweka rangi kijani kwa dp yako, kumaanisha nini katika hiyo rangi? au ako na kadi ya chama?!!
 
Halafu bro, Naona umeweka rangi kijani kwa dp yako, kumaanisha nini katika hiyo rangi? au ako na kadi ya chama?!!

Duh maana kwamba hapo ulipo hautumii matembele, mchicha na vyote vyenye rangi ya kijani......
 
Around the world a sense of mystery and fear engulfs witchcraft and nowhere is this more evident than in the East African nation of Tanzania.



In danganyika faith in this specific form of tradition can turn deadly as witnessed during a ccm party meeting where members of Parliament were supposed to ask for votes.
Hii ni panic attack imemuanza from ameanza kuongea si katikati ya meongezi kama umemwangali vizuri alianza kwa presha na huo ni mwendelezo tu.

Hakuna uchawi hapo.

Sent from my SM-A605FN using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom