kelao
JF-Expert Member
- Sep 24, 2012
- 8,132
- 5,800
Aisee....
Hakuna cha kipapai wala nini. Hawa CCM ndivyo walivyo. Ndiyo uwezo wao.../QUOTE]Wajumbe wakimsikiliza mgombea, Kama mjumbe unaamuaje hapo? [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee....
Hakuna cha kipapai wala nini. Hawa CCM ndivyo walivyo. Ndiyo uwezo wao.../QUOTE]Wajumbe wakimsikiliza mgombea, Kama mjumbe unaamuaje hapo? [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
WEWE LOH !Degree za chupi
Hao ndio ccm ya meko wanaamini ndumba tuHuyu Binti nadhani naangalia sura za Wajumbe akakumbuka kuwa hapa deni halitalipika na kazi hana tena! Kajikuta akili imegoma, sasa hawa ndio watu wa kwenda kushindana na akina Heche eti.....CCM acheni masiala aiseeee. Mtu anashindwa kujieleza mbele ya Wajumbe si ndio ataishia kupiga makofi tu? Angalia video
Kama ni kipapai kinaitwaje mkuu?[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]
Hahahaha hii KaliNalijua hili jini linaitwa jini loutee ni baya sanaa ukimtupia mtu mara nying wanatupiwaga mashaid mahakaman
Usiombe yakukute....Unajua huyu dada ilibidi agawe nyapu kwa Polepole ili kufikia hatua hiyo. Lkn mumewe mpendwa ndiye amegharamia kila kitu mpk tunamuona hapo.
Sasa leo akiwa jukwaani kumbukumbu za shombo la Polepole zikqmjia. Kiila akikumbuka shombo la Polepole points zikawa zinapotea..
Hahahaha wanatukanaga sana bungeniWanaongeza wagonga meza Bungeni.
Huo ndio ukweliKilicho mpata hakueleweki.....mbona alikuwa anajiamini ,imekuwaje ashindwe kutamka baadhi ya maneno tu
...uso ulijaaakujiamini!
Kuna mtu alikalia bakuli wskati anaongea
Bahati mbaya kaangukia kwa WajumbeHuyo Dada namfahamu ni wa Lindi ni wale wadada wajanja wajanja wa mjini hata shule hamna hapo kaishia form four .
Huyo ni mjumbe wa baraza kuu Taifa. AiseeHuyu Binti nadhani naangalia sura za Wajumbe akakumbuka kuwa hapa deni halitalipika na kazi hana tena! Kajikuta akili imegoma, sasa hawa ndio watu wa kwenda kushindana na akina Heche eti.....CCM acheni masiala aiseeee. Mtu anashindwa kujieleza mbele ya Wajumbe si ndio ataishia kupiga makofi tu? Angalia video
Huyu ndio mnataka aje kushindana na Bulaya??Stage fright,,,baada ya kupanick,alipaswa kuwa natural tu na kuwambia wajumbe,nimepanick mnisamehe bure