Uchaguzi 2020 Mgombea wa CCM "apigwa kipapai" akiwa Jukwaani. Point zayeyuka

Uchaguzi 2020 Mgombea wa CCM "apigwa kipapai" akiwa Jukwaani. Point zayeyuka

POLEE SANA DADAYETU HII NDIO SIASA MWAYAAA MWENDO WA KUJIPANGA SIO KUCHUKUA TU FOMU
🤔🤔🤔😂

Siasaaa mwanaukomeeee



Screenshot_20200809-100647.png

KAMATI Y UFUNDI LAZIMA IKAMILIKE
HOPE WATAKUCHAGUA JAMAN SIOKWA KIGUGUUMIZI KILE KHA
 
Aisee mi nadhani kuna mchezo kafanyiwa na wenzake anaoshindana nao maana kila akitaka kutoa sera anakwama.
 
WANGA SIO WAJUMBE WA CCM PEKE YAO HATA WAGOMBEA WAO PIA!!!
 
Huyo Dada namfahamu ni wa Lindi ni wale wadada wajanja wajanja wa mjini hata shule hamna hapo kaishia form four .
Na ndiyo wamejazana CCM siku hizi. Ukishajua kutaka ''CCM hoyee'' kwa vigezo vyao basi wewe ni ''kichwa''.
 
Back
Top Bottom