Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Hahahaha alivyomkumbuka tu Halima aaghn kaishiwa manenoAisee....
Hakuna cha kipapai wala nini. Hawa CCM ndivyo walivyo. Ndiyo uwezo wao...
sasa wewe unaongwazwa na ccm btaAisee....
Hakuna cha kipapai wala nini. Hawa CCM ndivyo walivyo. Ndiyo uwezo wao...
Kwamba alikua hahudhurii hata zile Seminars za chuo? Hajawahi hata kufanya presentation? HahahahaDegree za chupi
Kwamba? Aagh wapi! CCM wasafi aiseee hawanaga hio michezo kabisaChakula cha wakula
[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]Huyu Binti nadhani naangalia sura za Wajumbe akakumbuka kuwa hapa deni halitalipika na kazi hana tena! Kajikuta akili imegoma, sasa hawa ndio watu wa kwenda kushindana na akina Heche eti.....CCM acheni masiala aiseeee. Mtu anashindwa kujieleza mbele ya Wajumbe si ndio ataishia kupiga makofi tu? Angalia video
sasa wewe unaongwazwa na ccm bta
Huenda ndio maana akapewa back upTatizo litakuwepo
Maana sidhani huko kote alikopita alikua na kigugumizi au alishindwa kujiandaa
Huyu si mshindi wa mkoa fulani na ndo maana yuko hapo??au amefikaje
Nimemuonea huruma Sana maskini...anaweza kua Ni mtendaji mzuri tu Ila ndo hivyo Mungu hakupanga aende term hiiHuenda ndio maana akapewa back up