Uchaguzi 2020 Mgombea wa CCM "apigwa kipapai" akiwa Jukwaani. Point zayeyuka

Unajua huyu dada ilibidi agawe nyapu kwa Polepole ili kufikia hatua hiyo. Lkn mumewe mpendwa ndiye amegharamia kila kitu mpk tunamuona hapo.

Sasa leo akiwa jukwaani kumbukumbu za shombo la Polepole zikqmjia. Kiila akikumbuka shombo la Polepole points zikawa zinapotea..
 
Hao ndio ccm ya meko wanaamini ndumba tu
 
Nimechekaaa .... kua uyaone ya Dunia kwa kweli khha
Ni nini kwani?
Acha nimalizie kunywa naniliii maana nilipaliwa kwa jinsi nilivyocheka
Kuishi kwa ujanja ujanja kichwani sifuri
 
Usiombe yakukute....
 
Kilicho mpata hakueleweki.....mbona alikuwa anajiamini ,imekuwaje ashindwe kutamka baadhi ya maneno tu
...uso ulijaaakujiamini!
Kuna mtu alikalia bakuli wskati anaongea
Huo ndio ukweli
 
Hawa ndio aina ya watu ambao hupendwa na akina Polepole na Bashiru Ally ili kuleta maendeleo nchini kwa ajili ya kuwa donor country baadae
 
Stage fright, baada ya kupanick, alipaswa kuwa natural tu na kuwambia wajumbe,nimepanick mnisamehe bure
 
Huyo ni mjumbe wa baraza kuu Taifa. Aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…