James Martin
JF-Expert Member
- Apr 2, 2016
- 1,206
- 1,509
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣sijawahi cheka kama hivi tangu nizaliwe🤣🤣🤣Huyu Binti nadhani naangalia sura za Wajumbe akakumbuka kuwa hapa deni halitalipika na kazi hana tena! Kajikuta akili imegoma, sasa hawa ndio watu wa kwenda kushindana na akina Heche eti CCM acheni masiala aiseeee. Mtu anashindwa kujieleza mbele ya Wajumbe si ndio ataishia kupiga makofi tu? Angalia video
View attachment 1531453
Hata kama anagawa nyapu ndio hana kitu chochote in the head??Hakuna cha uchawi wala nini, Huyu dada anaitwa Husna Mwambiko ni Lindi A typical,
Hamna kitu hapo ni empty set kabisa anategemea kujipendekeza na kugawa nyapu atape viti maalum.
Shortly ni mtupu kichwani
Aisee nimecheka sana. Jamaa anasema ati alipigwa kipapaiKatika hali isiyo ya kawaida huyu dada kwenye hii video hapo chini alipatwa na fedheha baada ya midomo kushindwa kufunguka mbele ya wajumbe. Alianza hotuba yake vizuri lakini alopofika katikati midomo ilijam na kumuharibia siku yake.
Ni kitu cha kuhuzunisha lakini lazima nikiri sikuweza kujizuia kucheka! Kwa wazee wa kiswahili watakwambia wagombea wenzake walimfanyia mambo ya kishirikina na kumpiga "scud" 😂 lakini sitaki kuamini hivyo.
Naomba viongozi wa chama chake wamsaidie kumtoa hofu na kumtia moyo na pia kumfundisha kuongea mbele ya alaiki.
View attachment 1534515
Huyu Binti nadhani naangalia sura za Wajumbe akakumbuka kuwa hapa deni halitalipika na kazi hana tena! Kajikuta akili imegoma, sasa hawa ndio watu wa kwenda kushindana na akina Heche eti CCM acheni masiala aiseeee. Mtu anashindwa kujieleza mbele ya Wajumbe si ndio ataishia kupiga makofi tu? Angalia video
View attachment 1531453
Nalijua hili jini linaitwa jini loutee ni baya sanaa ukimtupia mtu mara nying wanatupiwaga mashaid mahakaman
Anautumia "uchumi wa kati" vizuri eegh??Hakuna cha uchawi wala nini, Huyu dada anaitwa Husna Mwambiko ni Lindi A typical,
Hamna kitu hapo ni empty set kabisa anategemea kujipendekeza na kugawa nyapu atape viti maalum.
Shortly ni mtupu kichwani
Tuwaulize CCMMbona siasa ina maneno mengi sana!!
amekwama wp huyu!?