Jane Lowassa
JF-Expert Member
- May 10, 2016
- 4,955
- 9,041
Hamna chochote hao wazungu wake wenyewe wameufyata kimya.Subirini kifuatacho itv!!! Mtajuta kumfahamu Lissu mwaka huu!
Ni vyema ikaeleweka kuwa si NEC ndio wamemsimamisha Lisu bali ni kamati ya maadili ambayo kwa sehemu kubwa wajumbe wake ni wawakilishi toka vyama vya siasa nakushauri utafute muundo wa kamati ya maadili usome vizuri.Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imemfungia kufanya kampeni Mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA Tundu Lissu kwa siku saba kwa madai ya kukiuka maadili ya uchaguzi...
Hata teke la marisasi linamuongezea mwendoHuyo Chura ajiangalie ...maana inategemea aina ya Teke analopigwa...!!
Tume waoga sana yaani. Baada ya Magufuli kwenda Likizo ya kujipangia siku 8, tume wameona na Tundu Lissu aende likizo ya lazima kwa siku saba. Moto hauzimwi kwa petrol.
Teh teh, mpuuzi mmoja hana mamlaka ya kuwafanya watanzania wote wapuuziSubirini kifuatacho itv!!! Mtajuta kumfahamu Lissu mwaka huu!
Mkuu wewe ni hatari yaniHATA KAMA WANGESEMA WAMEMFUNGUA MPAKA SIKU YA UCHAGUZI SISI WAFANYABIASHA, WATUMISHI WA UMMA, WANAVYUO TUNAOSOTA MITAANI PASIPO AJIRA RASMI, TULIOTUMBULIWA KWA KUONEWA, WASTAAFU WOTE AMBAO HATUJALIPWA MAFAO YETU, WANANCHI TULIOBOMOLEWA NYUMBA PASIPO KULIPWA HELA, N.K........ RAIS WETU NI TUNDU LISU!
Nimeona jiwe limetepeta mbele ya chuma halina hamu,sasa meko hoi anataka mapumziko siku8 ikabidi aongee na tumeccm kumpumzisha kwa lazima mpinzani wake kwa siku7 angalau waende sawa. Oct28 kura zote kwa Lisuingieni barabarani sasa tukiona kimyahucommet humu jf tutajua tayari ulienda barabarani
Uwezo huo wa kumfuta hamuna hata munganyisho pamoja na Mungu wenu wa chato hamuweziNa asipojirekebisha anafutwa kabisa kwenye uchaguzi,Lissu asijiropokee hovyo akahisi labda serikali haipo au inamuogopa wala asijifanganye.
Morgan Tshivangirai alikuwa kama Lissu lakini mwisho wa siku alipigwa spana na kaiacha Zimbabwe hiyo inasonga chini ya Zanupf.
Mbona kapigwa ban hajaongea chochote. Lissu ni joka la kibisa halina sumuMtajua hamjui mwaka huu. Hamumjui Lissu vizuri nyie vilaza
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imemfungia kufanya kampeni Mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA Tundu Lissu kwa siku saba kwa madai ya kukiuka maadili ya uchaguzi....
kwa mfano ugomvi wake ni upi ?
Sawa bwanamkubwa.Uwezo huo wa kumfuta hamuna hata munganyisho pamoja na Mungu wenu wa chato hamuwezi
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Kama alivo kua hatumii magu kwa kuwatisha wapiga kuraSafi sana , jamaa hatumii heshima kabisa
He is watching and collecting evidence.Where is Robert Amsterdam?
Kama upi !?
Unamuhukumu vipi mtu bila kumsikiliza.