Uchaguzi 2020 Mgombea wa Urais wa Tanzania, Tundu Lissu afungiwa na NEC kufanya Kampeni siku 7

Uchaguzi 2020 Mgombea wa Urais wa Tanzania, Tundu Lissu afungiwa na NEC kufanya Kampeni siku 7

hivi huyu mgombea urais wa NRA ni yupi? ni yule mama?
 
chadema ni wqhuni,eti malalamiko hayakihusu chama,wakati wamemjazia ngonbea fomu ya udhamini
upinzani bado sana,ndio wanataka tuwape dola hao
 
Toa maoni yako usitoe maoni ya watanzania. Sisi watanzania sio Wajinga, Tunamuhitaji Lissu atukomboe mikononi mwa wakoloni weusi
Na hii ni "hoja" yako au ya nani!? Usiwasemee Watanzania. Labda umsemee Amsterdam wa Lissu!
 
Hapa Tanzania akuna shamba la mzungu lililochukuliwa na serikali.
mada yangu sio mashamba,nachosema mimi nyinyi mnahisi mabeberu watawasaidia endapo mtavunja sheria za nchi yetu kama walivyomsaidia Morgan wa Zimbabwe.
My friend sahau kabisa, hii ni Tanzania na Rais ni JPM mnapigwa spana na mabeberu wapo wanaona.

Hamna mtu anataka msaada wa mzungu wa chakula, ila tunawaunga mkono wazungu wanaokemea na kutaka haki itendeke. Kama taasisi zote za kimamlaka zimejiunga na ibilisi kunyima haki, ni bora wazungu watusaidie maana sisi hatuna silaha za kupambana na vyombo vya dola. Hicho kiburi cha Magufuli dhidi ya wazungu hata Nyerere alileta tukaishia kuvaa viraka. Tulipoamua kutii masharti ya wazungu tulikuwa tumeshakata pumzi. Itakuwa Magufuli aliyeshindwa kutoa ajira na kupandisha mishahara?
 
Kwa hiyo anayetakiwa kupiga kampeni ni Hashim Rungwe .....daah!
 
Back
Top Bottom