dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
siweziunga mkono utitiri wa kodi wa kununulia maV8 yanayotumiwa kwa maslahi binafsi na kina nanii kuchepuka na watoto wa chuoungeunga mkono serekali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
siweziunga mkono utitiri wa kodi wa kununulia maV8 yanayotumiwa kwa maslahi binafsi na kina nanii kuchepuka na watoto wa chuoungeunga mkono serekali
Acha upumbavu wako na ujinga wako peleka kijijini kwenu huko hujui chochoteKuna ubaya gani TRA kuwataka muorodheshe store zenu mnazohifadhia mali, mnaficha kitu gani, wanataka wazifahamu ili wawe wanazikagua, kwasababu huko Kariakoo kuna ukwepaji mkubwa sana wa kodi.
Hata kama hizo kodi zinatumika hovyo serikalini, vyema store zenu zifahamike, ili mkiwatoroka bandarini mkakutane nao store, anyway niwapongeze hao wafanyabiashara kwa uthubutu wao, hata kama sikubaliani na madai yao.
Hajui kwamba watu wameandika wakiwa na hasira hapo wamefura hasira hatari ndio maana wamokosea hadi kuandikaMuhimu Ujumbe umefika ..
Wafanyabiashara wengi kariakoo sio wasomi ni watu wenye elimu ya kawaida tu.
Wana familia, na bongo ya kula leo inatafutwa leo.Wafanyabiashara kama wamelainika hivi.
Wameambiwa kuwa viongozi waende Dodoma kukutana na Waziri Mkuu
Mimi mwenyewe nisingekubali kulipa kodi ili nikamuongezee kitambi yule waziri..kodi zote zinaishia kwenye matumbo ya watu na bado tunakopa kufidia mashimo
Bado mnanunua vocha za kukuna?Waweke kato moja ambalo litatembea mpaka kwa mlaji. Hii hali ya kutaka kodi kila muamala unapofanyika ni maumivu kwa mlaji wa mwisho.
Kuna sehemu vocha ya 500 ni 550 hadi 600.
Kuna kitu hakipo sawa hapo. Nimeona update na banner inasema kamata kamata imewafukuza wanunuzi wa nje?Ndio maana wamegoma ili wakasikilizane na Serikali.
Hayo yote utayapata vizuri baada ya wao kusikilizwa.
Tukiwaambia ikataeni CCM na mazalia yake hamtuelewi pambaneni na Hali zenu
??????Bakieni na liukawa lenu ambalo hata agenda yake halijui na wala halina vision yoyote. Mnakera sana nyie chadema watu wanawekeza matumaini kwenu halafu mnawatosa?.
Kwenye magari kwenyewe tunapigwa sana aiseee. Hakuna unafuu wowote huko.Najuwa hilo nilijibu tu kwa hoja ya mtu kusema kuna mipaka lakini shida kubwa hapa watu wa TRA wanajuwa kuwa kukiwa na mfumo usioingilika utaziba mianya ya rushwa watakufa njaa wanataka tubaki na hii analog mtu aweze tu kuamua kuna nini ndani ya container na gharama waamue nadhani kuna wakala wa kufanya clearance hawa wanatakiwa kuonesha 100% kuna nini na gharama zake ni zipi na viwango vya kodi viko kisheria ukiweka number kodi ni hii sasa kuwe na hali kuweka kiwango kuambatane na doc ku support gharama japo najuwa kuna ujanja mwingi mzigo wa mil 1 wanaweza kuweka laki moja hapa ndio tunatakiwa tutafute tech kuziba hii mianya kama shida kodi ni kubwa hilo na la kisera na serikali ina wajibu kuangalia. Mbona magari hakuna shida hizi, unaleta gari unaingiza model inakupa kodi hii wala huwezi kuchezea ndio maana ukija huku mitaani kwa wauza magari bei zinafanana sana.
Manispaa.Bandari🚮
TRA 🚮
Serikali 🚮
Lazima watu waone ni kujamba ushuzi masuala ya kulipa kodi.
Niliyemquote kataja bandari pekee, hilo swali ungemuuliza yeyeKwani umesikia huko mipakani hamna TRA? Hii inchi ya ovyo sana, mtaji atafute athuman, halafu atajirike John anayefanya kazi TRA
??????
TRA huko si wapo pia?Sio kila bidhaa inayouzwa inapitia bandarini, nyingine zinapitia mipakani ambapo Tanzania inazungukwa na nchi nyingi. Nyingine zinazalishwa ndani ya nchi
Hiyo Sasa ni issue ambayo haiwahusu TRA ni issue ya Usalama wa Taifa, jeshi la polisi, na mahakama. Ni sawa na useme eti mbolea na madawa feki yanakamatwa unataka MSD wawakamate wanaoleta hizi bidhaa feki wakati kuna TBS.Ulishawahi sikia kesi nyingi za Kontena za mitumba alafu ndani kuna Range Rover?