Mgomo mkubwa Soko la Kariakoo: Maduka yamefungwa, Mei 15, 2023

Mgomo mkubwa Soko la Kariakoo: Maduka yamefungwa, Mei 15, 2023

Wana bahati wangefanya huo mgomo kipindi cha mwenda zake, sasa hivi tungekua tuna hesabu maiti za viongozi wa hilo soko.

Kipindi cha Magu
TRA walikua hawaji kariakoo jion kutafuta Rushwa
 
Leo asubuhi nimefika kariakoo kwenye biashara zangu lakini nimekutana na mgomo wa maduka kutofunguliwa

Nilikuwa bungeni kwa wiki kadhaa hivyo sikufuatilia sana mambo ya biashara nikiwaachia vijana

Maduka yamefungwa ingawa baadhi ya wamachinga wanaouza matunda wanaendelea

Sijajua sababu ya msingi zaidi ya ile ya TRA kututaka tuorodheshe store zetu tunazohifadhia mali

Hakuna mfanyabiashara ambaye yupo tayari kwa jambo hilo ,Jambo lilihitaji mjadala mpana

Hakuna fujo ingawa polisi ni wengi wanatembea tembea bila uelekeo
View attachment 2622352
Kodii ni nyingiii mno...mlolongo na kamata kamata imekua nyingi sana...na Hilo la kuorodhesha stooo ni upuuzi WA kiwango Cha juu ...kama mtu ana gari Bora kueka stoo nyumban
 
Walipe kodi waache kulalamika Mbona wafanyakazi wanakatwa kodi na hawalalamiki au wanafikiri nchi itajengwa na watu wa nje
 
????
Unadhani kinachoendelea upinzani watu hawakijui? Ndio maana imefika mahali wakaona ni bora waendelee tu na liccm japo linatukausha damu kuliko kuside na upinzani ambao bado hawajakomaa kiakili.
Upo. Hulu kiongozi japo naona kama hujitambui kwamba mpaka Leo unaona ni Bora kuendelea kuongozwa na CCM? Kweliiiii
 
TRA huko si wapo pia?
TRA wapo kila biashara inakofanyika. Kama hutaki kulipa kodi hapo Kariakoo unakouzia vitanda kisa mbao zishalipiwa kodi, nenda kauze mbao ulipe kodi ya mbao. Sheria ya kodi inaenda hivyo, as long as umeongeza thamani ya bidhaa yako na umeongeza bei basi unalipa kodi. Unless unanunua kwa 5000 na unauza kwa 5000, ukichaa
 
TRA ni mamlaka inayokubali kutumika kifisadi kwaajiri ya kuwaridhisha na kuwapa hawa ma'CCM pesa za kirahisi rahisi...
Imagine ....unanunua kitu china 10000....unalipa kwa kitu kile kile nauli karibu robo tatu au sawa na bei ya manunuzi....ukiwauliza maagent wanakwambia wanapata ndogo kama nauli robo tatu ya malipo inaenda tra
 
Kodi lazima mlipe mnatabia ya kuficha Mali kwenye stoo harafu mnapeleka kiduchu dukani Ili mkadiriwe Kodi..

Mkigoma tunawafutia leseni na wote waliogoma hayo maduka tunayafunga marufuku kufungua.

Very simple hii mbona.Tanzania ni kubwa hapo Kariakoo ni sehemu.ndogo sana mapato yake kwa.mwka hayafiki hata Bil.500

Mkuu unaropoka hujui unachoongea [emoji23] nakwambia hii ngoma wafanya biashara wanashinda mchana kweupeee
 
Ukiingiza siasa tayari uneshaharibu,

otherwise umetumwa kuuvuruga. haya ni madai ya Wafanyabiashara dhidi ya Serikali na pengine kwa chini chini kuna mkono wa watu wa CCM kuhakikisha Serikali inasikiliza madai yao tupunguze ujuaji
Ni maamuzi ya serikali ya CCM wasiojali maslahi ya wananchi
 
Habari wakuu, maduka leo karikaoo yamefungwa mitaa tofauti unaweza kuona kwenye picha hapa.
dba1f726-7ba1-47d1-95ff-ac2be09e8847.jpg

bed4cc39-96c1-44c8-af56-8311c10295a9.jpg

e1cf3c0d-ca12-4f77-994f-0c69fc3e5ea7.jpg

6ea60a6a-6b55-46ea-b68d-e17f51587e49.jpg

8b13a7f8-1454-4db2-bf81-694ceb7202c7.jpg

2121638d-a2b9-4e57-962e-d7a2bc314aae.jpg
 
Mkuu unaropoka hujui unachoongea [emoji23] nakwambia hii ngoma wafanya biashara wanashinda mchana kweupeee
Washinde Kwa lipi we ropo ropo,Hawa wamelelewa kizembe na Serikali,angekuwa Mwendazake hapo angeshafuta leseni na kuwaondoa huko Kariakoo..

Wafanyabiashara sio wa kuwakenulia meno ,Kuna hoja gani ya maana hapa kama sio kukwepa Kodi na kufanya hujuma?
20230515_100024.jpg


Harafu wewe fala unachoshangilia hasa ni kipi maana sijakuelewa.
 
Naona watanzania Sasa angalao tunaanza kujijeuza tukiwa usingizini, note angalao kujijeuza na sio kuzinduka kutoka usingizini🤣🤣🤣.

Nawaza tu hivi serekali ikiwakaushia kama wiki moja hawatajirudisha mdogo mdogo. Mgomo kama huu ilibidi mpaka wenye nyumba wawaunge mkono wapangaji kwa kustopisha Kodi ili wapate nguvu lakini hii ya wenye fremu Kodi yao Iko palepale siamini kama wiki itapita
 
Kariakoo maduka yote ya vitu vya aina unayouza dukani kwako yndiyo stoo yako, hakuna duka utakwenda ukahitaji kitu ukaambiwa hakuna, unaambiwa subiri uletewe kutoka stoo, kinafatwa duka lingine unaletewa.

Simpo. Wenye mastoo ni wachache sana.
Kama wenye mastoo ni wachache wenyewe wanaumwa nn kugoma sababu ya kuregister stoo.
 
Wote hamfai tu liccm halifai na upinzani haufai, si unaona sasa hivi wamelambishwa asali wamekaa kimya? Umeona kuna kiongozi wa upinzani amepiga kelele hata kwenye ripoti ya CAG?

Kipindi cha Magufuli upinzani walipiga sana kelele sababu hawakupata tonge.

Ndio maana nakuambia watanzania wameshajua upinzani ni wachumia tumbo tu sioni utofauti wa upinzani na liccm linalotunyonya damu mpaka tumebakiza mifupa tu.
Upo. Hulu kiongozi japo naona kama hujitambui kwamba mpaka Leo unaona ni Bora kuendelea kuongozwa na CCM? Kweliiiii
 
Back
Top Bottom