The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 6,017
- 19,506
Nimeshangaa wafanyabishara ambao hawana shida na serikali wanashinikizwa wafunge kwa maslahi ya wengine.huu mgomo umejazwa matiushio kwa wanaotaka kufungua maduka, serikali iwachukulie hatua kali wachache wanaowatisha wengine wasifungue maduka
Ukiona wafanyabishara wanakua na kiburi namna hiyo ujue hakuna serikali.