greenwoods
JF-Expert Member
- Sep 21, 2020
- 2,328
- 3,955
Si walisema mwenda zake kaaribu biashara imekwaje tena!!??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Raia gani alipigwa na kuuwawa kwa sababu ya mgomo kipindi Cha JPM?Wana bahati wangefanya huo mgomo kipindi cha mwenda zake, sasa hivi tungekua tuna hesabu maiti za viongozi wa hilo soko.
Pengine wewe upo ofisini unashika peni na karatasi hujui maisha ya mfanyabiashara alafu kama hujui kitu kaa kimya Tu.Na hiyo nfio sababu kubwa unakuta mtu ana ki fremu tu ukienda kununua mzigo anaenda store kuchukua!!Hao wengine wanatumika tu ilq matajiri ndio wameguswa!!serikali ishikilie hapo hapo,siku tatu ni nyingi watafungua wenyewe!tatizo sasa hivi wafanya biashara wa kariakoo wanajiona kama wao wanatakiwa kuwa treated tofauti na wengine!!
Hapakuwa na dhulmaHakuna mantiki yoyote ya kupiga Kodi dukani tena unapiga Kodi stoo kwenye bidhaa zile zile. Huo ni wizi siyo kodi
Ingekuwa awamu ya 5 waandaaji wa mgomo wangetekwa jana kabla ya mgomo kuanza leo..
Ni kero kubwa Sana hiyo, sikuhizi ni shida Sana Kwa mizigo inayosafirishwa mikoaniKero ya kukamata mizigo imezidi sana, mtu uko mkoani umeagiza mzigo Dar muuzaji katoa risiti, na TRA hawajaridhishwa na risiti unashikiliwa mzigo wangu, na hiyo inaweza kuchukua hadi mwezi mzima kama hujatoa rushwa.
Mawinga leo kazi tunayo...Siku ya Leo ni ngumu kwetu bado hakuna Duka lolote limefunguliwa Hadi wachina wote wamefunga maduka Yao Kwaajili ya usalama..
Tanzania ni nchi ngumu Sana Kwa mfanyabiashara
Sheri ndo mdudu gani?Kasome tena risiti yako ya Sheri
Oda zinafanyika Kwa njia ya simu na mizigo inatoka Kwa kifichoHapo dawa ni wanaofungua maduka yao yapigwe kiberiti
Tukiachana na yote kkoo kuna ukwepaji mkubwa sana wa kodi. Watu wanafanyia biashara za mamilioni stoo.
kkoo wanaouza kwenye frem ni maskini tu wale wanaouzia kinyemela stoo ni matajiri wa kutupa sijui nani kasanua mchongo huu
Yule alietoka kwenye kikao na serikali, akaenda najamaa kula nyama choma na ugali Ubungo,Kama yule wa Madereva alivyouawa Ubungo
Wewe mtegemea salary ndio utayumba ndani ya siku 2 ukinyimwa salary.Hamuwezi kugoma wiki nyie[emoji1787][emoji1787]kesho njaa na marejesho yatawarudisha kufungua hizo frem zenu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huyo ndiyo wanataka sasa kwa taarifa yako. Walikuwa wanafanya biashara zao kwa uhuru.Wana bahati wangefanya huo mgomo kipindi cha mwenda zake, sasa hivi tungekua tuna hesabu maiti za viongozi wa hilo soko.
Ndio maana akafa kabla ya mgomoWana bahati wangefanya huo mgomo kipindi cha mwenda zake, sasa hivi tungekua tuna hesabu maiti za viongozi wa hilo soko.