Bro kama jirani pana supu na chapati kula nalipa mimi.Hivi kweli hatuwezi kuja na mfumo mmoja tu TRA pale bandarini kuchukuwa kodi mara moja ili mzigo ukitoka basi watu wasisumbuane? mbona kwenye mafuta wameweza mzigo kwenye meli unakatwa kila kitu basi unaingia sokoni. Kuna nini hii kila siku kukimbizana wakati Tech imekuwa sana kuna njia za kuchukuwa mapato kwa njia ya kisasa tu badala ya haya mambo ya double taxation watu hakuna kuaminiana kwanini lakini? kodi kulipa ni haki basi tuweke mfumo utakaonekana ni wa haki.
Hiyo comment yangu ni jibu la comment nyingine. Na kuna kitu umekikwepa umechukua kipande chako wacha nikuulize hapa.Kwan mipakani ndio hazichajiwi kodi mkuu au ulitaka kusemaje sijakupata vema?!
Huko kusumbuana ni neema kwa wafanyakazi wa Tra!! Ndipo wanapopatumia kuleta ubabaishaji kwa walipakodi ili wapate rushwaHivi kweli hatuwezi kuja na mfumo mmoja tu TRA pale bandarini kuchukuwa kodi mara moja ili mzigo ukitoka basi watu wasisumbuane? mbona kwenye mafuta wameweza mzigo kwenye meli unakatwa kila kitu basi unaingia sokoni. Kuna nini hii kila siku kukimbizana wakati Tech imekuwa sana kuna njia za kuchukuwa mapato kwa njia ya kisasa tu badala ya haya mambo ya double taxation watu hakuna kuaminiana kwanini lakini? kodi kulipa ni haki basi tuweke mfumo utakaonekana ni wa haki.
PichaLeo Kuna mgomo kwa wafanya biashara soko kuu kkoo kutokana na kila wiki uzinduzi wa kodi mpya
Baadhi ya kodi unazotakiwa kulipa
1::TRA.
2::FIRE.
3::JIJI.
4:USAFI.
5::kodi ya store.
6: makato 10% kweny commission (watu wa mihamala)
7::kodi yakupeleka lori kkoo kubeba au kushusha mizigo
Makadilio ya kodi yamekua makubwa mno kiasi kwamba mtu akiangalia biashara yake na kodi haviendani.
Kupungua kwa wateja wa nchi jirani kama Kongo,Zambia,Zimbabwe kutokana na kero ya TRA
Kwa wanaofnya biashara ya kusafirisha mizigo Jioni lzm TRA waje wafanye tasmini na Rushwa yao wanataka 3M kutokana na ukubwa wa mzigo
kurekebisha katika hili la kuzungukwa na nchi 8 halina shida ni baraka sasa tusifanye kuwa ni laana. Kazi ya nchi kuweka mifumo mipakani sio bidhaa imefika dukani ndio mnakaa nje kuvizia watu na huko viwandani ndio rahisi kabisa kukusanya kodi hakuna sababu yoyote ya haya kila changamoto kuna solution japo haiwezi kuziba 100%Mfumo wa kulipa kodi ni wa kiwendawazimu ila huwezi lipa kodi kwa kutumia bandari na mipaka tu. Kwanza tunazungukwa na nchi nane na mipaka yote ina mianya ya magendo na kupita bila kukaguliwa. Na wakati huo kuna uzalishaji unafanyika ndani na mnyororo wa thamani unaongezeka
Leo Kuna mgomo kwa wafanya biashara soko kuu kkoo kutokana na kila wiki uzinduzi wa kodi mpya
Baadhi ya kodi unazotakiwa kulipa
1::TRA.
2::FIRE.
3::JIJI.
4:USAFI.
5::kodi ya store.
6: makato 10% kweny commission (watu wa mihamala)
7::kodi yakupeleka lori kkoo kubeba au kushusha mizigo
Makadilio ya kodi yamekua makubwa mno kiasi kwamba mtu akiangalia biashara yake na kodi haviendani.
Kupungua kwa wateja wa nchi jirani kama Kongo,Zambia,Zimbabwe kutokana na kero ya TRA
Kwa wanaofnya biashara ya kusafirisha mizigo Jioni lzm TRA waje wafanye tasmini na Rushwa yao wanataka 3M kutokana na ukubwa wa mzigo
Sasa hivi hadi store nayo wanataka waitandike kodi!Sijawahi na pengine sitakuja kuwahi kuelewa hizi kodi zinavyokatwa
Mzigo ukifika bandarini unatokutana na tra
Mzigo huohuo ukifika dukani unakutana tena na tra
Sasa najiulizaga yule tra wa bandarini ni tofauti na huyu wa dukani????
Na km wote ni TRA, hizi kodi za mara mbilimbili zinalenga nini????
Hakuna mantiki yoyote ya kupiga Kodi dukani tena unapiga Kodi stoo kwenye bidhaa zile zile. Huo ni wizi siyo kodiLeo asubuhi nimefika kariakoo kwenye biashara zangu lakini nimekutana na mgomo wa maduka kutofunguliwa
Nilikuwa bungeni kwa wiki kadhaa hivyo sikufuatilia sana mambo ya biashara nikiwaachia vijana
Maduka yamefungwa ingawa baadhi ya wamachinga wanaouza matunda wanaendelea
Sijajua sababu ya msingi zaidi ya ile ya TRA kututaka tuorodheshe store zetu tunazohifadhia mali
Hakuna mfanyabiashara ambaye yupo tayari kwa jambo hilo ,Jambo lilihitaji mjadala mpana
Hakuna fujo ingawa polisi ni wengi wanatembea tembea bila uelekeo
View attachment 2622352
Muilize Dr. Ulimboka awamu ya nne alifanywa nini alipokuwa kiongozi wa mgomo wa madaktari.Ingekuwa awamu ya 5 waandaaji wa mgomo wangetekwa jana kabla ya mgomo kuanza leo
[emoji2935]BIla kugoma, maandamano na kukomaa nao hakutapatikana tija. Tangu lini mhuni au mlamba asali akawa na huruma?
"Bandarini ni mpakani..." nani kakwambia hivyo? Wewe ukiona bandari pale Dar es Salaam, Mtwara na Tanga unaona ile ni mipaka. Ukitoka bandarini kuna exclusive economic zone ya Tanzania ina mamia ya kilomita majini, kule ndio kuna mpaka na international waters.Kwa Taarifa yako BANDARINI ni mpakani, kwa hiyo huduma zote za kikodi zinazotolewa na TRA mipakani zinatolewa pia Bandarini
Si mlisema JPM ameharibu uwekezaji na wafanya biashara? Sasa haya maandamamo yanatokea kwa huyu aliyeleta maridhiano.. ukweli upo wapi?Wana bahati wangefanya huo mgomo kipindi cha mwenda zake, sasa hivi tungekua tuna hesabu maiti za viongozi wa hilo soko.
Inaonekana sasa Watanzania ni kama wanaanza kuamka kifikra .Mgomo usio na kikomo!
Kwa aina ya maisha tulio nayo itawezekana kweli?
Serikali na wahusika wote litatuliwe hili mapema aisee.
Sababu za mgomo ni zipi?
Kama hawaitaki CCM nitajiunga nao mapema kuanzia kesho asubuhi, leo nimechelewa tu kwasababu sikuwa na taarifa mapema.
Kuna ubaya gani TRA kuwataka muorodheshe store zenu mnazohifadhia mali, wanataka wazifahamu ili wakazikague, kwasababu huko Kariakoo kuna ukwepaji mkubwa sana wa kodi.
Hata kama hizo kodi zinatumika hovyo serikalini, lakini niwapongeze hao wafanyabiashara kwa uthubutu wao.