Chief Sanze
JF-Expert Member
- Jun 13, 2014
- 1,668
- 3,736
Bila kuacha unafiki Watanzania tutaendelea kuteseka.Wewe mdini ama chawa mkubwa wa mama.
Hauwezi kuongelea logic zako mpaka uambatanishe na hayo matakataka?
Ukristu ama uislam wa kiongozi wa nchi unakuletea sukari mezani wewe?
Kuwa biased na dini ama madhehebu kunatia upofu raia kutokujua haki zetu na kupelekea kunyanyaswa na hizi tawala dhalimu.
Dawa kiongozi wa hao wafanyabiashara akamatwe atiwe adabuHuu ni mkakati mahususi na umekuwa ukifanyika kila wakati kiongozi wa nchi anapokuwa Muislamu ili kuhakikisha utawala huo unakosa utulivu na kuleta chuki baina ya wananchi na utawala uliopo madarakani.
Wakati wa utawala wa Magufuli wafanyabiashara walionewa sana ikiwa ni pamoja kufunguliwa kesi za uhujumu uchumi na kuporwa pesa kwenye akaunti zao benki lakini hatukushuhudia hata kunguni kuandamana au kugoma,
Huu ni unafiki na tukae tukijua kwa unafiki tulionao Watanzania hatutofanikiwa kujinasua kutoka kwenye makucha ya utawala dhalimu wa ccm.
Wagalatia ni kirusiHuu ni mkakati mahususi na umekuwa ukifanyika kila wakati kiongozi wa nchi anapokuwa Muislamu ili kuhakikisha utawala huo unakosa utulivu na kuleta chuki baina ya wananchi na utawala uliopo madarakani.
Wakati wa utawala wa Magufuli wafanyabiashara walionewa sana ikiwa ni pamoja kufunguliwa kesi za uhujumu uchumi na kuporwa pesa kwenye akaunti zao benki lakini hatukushuhudia hata kunguni kuandamana au kugoma,
Huu ni unafiki na tukae tukijua kwa unafiki tulionao Watanzania hatutofanikiwa kujinasua kutoka kwenye makucha ya utawala dhalimu wa ccm.
Wewe kijana acha ujinga! Nitajie nani aliyekuwa na biashara halali aliporwa hela zake?Kuporwa pesa kwenye akaunti baada ya kusingiziwa kudaiwa kodi miaka mitano iliyopita ndiyo kulikuwa kuzuri! Acha kuongea uongo.
Umeongea UKWELIWengine tuna marejesho makubwa..binafsi nataka niuone huo mshale...siwez funga biashara zangu kamwe
Marejesho yasikufanye ukawa mtumwa wa kodi, kodi za Tanzania zinaumiza sana haijalishi mtaji umetoa benki au la.Wengine tuna marejesho makubwa..binafsi nataka niuone huo mshale...siwez funga biashara zangu kamwe
Mshale wa jichoWafanyabiashara wote wa viunga vya Kariakoo mnatakiwa kufunga biashara zenu zote ikiwemo maduka yenu, ofisi zetu na chochote unachokifanya kuanzia Jumatatu ya Juni 24, 2024 bila ukomo hadi pale changamoto zetu zote za kibiashara zitakapoweza kutatuliwa.
Mikoa ya Mbeya, Iringa, Mwanza, Arusha, Ruvuma, Kagera na Rukwa mtaanza kufunga biashara zetu kuanzia siku ya Jumanne ya Juni 25, 2024 bila ukomo.
Kuanzia siku ya Jumatano ya Juni 26, 2024 wafanyabiashara wote nchini tutaungana kufunga biashara zetu hadi pale changamoto zetu zote zitakapopata ufumbuzi wa kudumu.
Kutakuwa na kikosi kazi cha kupitia ili kukagua ofisi au biashara ambazo hazijafungwa ili kuhakikisha wote tunaungana kupambana na udhalimu huu wa kodi kandamizi.
----
Pia soma
Tetesi: - Wafanyabiashara Kariakoo kugoma muda wowote kutokana na madai yao kupuuzwa
- Mgomo mkubwa Soko la Kariakoo: Maduka yamefungwa, Mei 15, 2023
- SoC03 - Je, mgomo katika soko la Kariakoo unaweza vipi kukomeshwa usijirudie tena miaka ijayo?
- UPDATE: Mgomo waendelea Kariakoo kwa Siku ya 3, Wafanyabiashara wataka Mkutano wa Wazi na Majaliwa
- Mgomo wa wafanyabiashara Kariakoo ni fedheha kwa Serikali
- Mgomo wa Kariakoo; Serikali Iwasikilize Wafanyabiashara
- Inasikitisha Spika Tulia kujifanya hajui kinachoendelea Kariakoo
- Dkt. Ashatu Kijaji: Biashara Kariakoo zinaendelea, wafanyabiashara wametumia Demokrasia na Uhuru wao kufungua au kutokufungua
- Mgomo wa wafanyabiashara Kariakoo ukitatuliwa kwa ushawishi wa vyombo vya dola tutakuwa tunaahirisha tatizo
View attachment 3023083
Changamoto ya kwanza kabisa inayomsumbua mlipa kodi kwa sasa ni Vat na makusanyo yake.Changamoto zao ni zipi, wekeni hapa tuone nani hafanyi kazi yake na ujinga wa wahusika maana unaweza kukuta changamoto ni uchafu, parking, hakuna vyoo na wanakusanya kodi kila siku
Shida ipo bungeni bwashee!!! hao Tra ni watchdog tu. Wanatembea na sheria zilizotungwa bungeni.Ila TRA hapana
Acha chuki zako za kidini hujui kero za walipa kodi sasa hivi. BTW mimi nitafungua ofisi kama kawaida, hii si ya watu wa Kariakoo acha wapambane wenyewe.Huu ni mkakati mahususi na umekuwa ukifanyika kila wakati kiongozi wa nchi anapokuwa Muislamu ili kuhakikisha utawala huo unakosa utulivu na kuleta chuki baina ya wananchi na utawala uliopo madarakani.
Wakati wa utawala wa Magufuli wafanyabiashara walionewa sana ikiwa ni pamoja kufunguliwa kesi za uhujumu uchumi na kuporwa pesa kwenye akaunti zao benki lakini hatukushuhudia hata kunguni kuandamana au kugoma,
Huu ni unafiki na tukae tukijua kwa unafiki tulionao Watanzania hatutofanikiwa kujinasua kutoka kwenye makucha ya utawala dhalimu wa ccm.
Hili linaweza kupata solution, sheria za kodi sio Bible au msahafu, tunaweza kubadilisha kuondoa kero haraka sana, tatizo uongozi ndio maana matatizo yetu mengi ni uzembe tuu na tunayatengeneza wenyeweChangamoto ya kwanza kabisa inayomsumbua mlipa kodi kwa sasa ni Vat na makusanyo yake.
Kiuhalisia hii kodi ni matokeo ya wasomi wetu ku copy kila kitu kutoka first class world bila kuangalia hali halisi ya mlipakodi wa kitanzania.
Vat haifanyi vizuri mwenye mifumo ya uchumi ambayo masikini na tajiri wanafanya biashara pamoja. Ndo mana kila siku ni malalamiko.
Mpaji,Mkuu acha kuchekesha watu basi, yaan lile soko linalojengwa ubungo kama majengo ya hostel ndo unataka kuifananisha na kariakoo?
HatuweziTatizo ni mshikamano mkuu. Wabongo tunaweza kuja na azimio moja na kulitekeleza wote kwa wakati huo huo?
๐ฎ๐ฎ๐ฎHuu ni mkakati mahususi na umekuwa ukifanyika kila wakati kiongozi wa nchi anapokuwa Muislamu ili kuhakikisha utawala huo unakosa utulivu na kuleta chuki baina ya wananchi na utawala uliopo madarakani.
Wakati wa utawala wa Magufuli wafanyabiashara walionewa sana ikiwa ni pamoja kufunguliwa kesi za uhujumu uchumi na kuporwa pesa kwenye akaunti zao benki lakini hatukushuhudia hata kunguni kuandamana au kugoma,
Huu ni unafiki na tukae tukijua kwa unafiki tulionao Watanzania hatutofanikiwa kujinasua kutoka kwenye makucha ya utawala dhalimu wa ccm.
Dola kutokuwa stable kuna waumiza sana wafanyabiashara.Wafanyabiashara wote wa viunga vya Kariakoo mnatakiwa kufunga biashara zenu zote ikiwemo maduka yenu, ofisi zetu na chochote unachokifanya kuanzia Jumatatu ya Juni 24, 2024 bila ukomo hadi pale changamoto zetu zote za kibiashara zitakapoweza kutatuliwa.
Mikoa ya Mbeya, Iringa, Mwanza, Arusha, Ruvuma, Kagera na Rukwa mtaanza kufunga biashara zetu kuanzia siku ya Jumanne ya Juni 25, 2024 bila ukomo.
Kuanzia siku ya Jumatano ya Juni 26, 2024 wafanyabiashara wote nchini tutaungana kufunga biashara zetu hadi pale changamoto zetu zote zitakapopata ufumbuzi wa kudumu.
Kutakuwa na kikosi kazi cha kupitia ili kukagua ofisi au biashara ambazo hazijafungwa ili kuhakikisha wote tunaungana kupambana na udhalimu huu wa kodi kandamizi.
----
Pia soma
Tetesi: - Wafanyabiashara Kariakoo kugoma muda wowote kutokana na madai yao kupuuzwa
- Mgomo mkubwa Soko la Kariakoo: Maduka yamefungwa, Mei 15, 2023
- SoC03 - Je, mgomo katika soko la Kariakoo unaweza vipi kukomeshwa usijirudie tena miaka ijayo?
- UPDATE: Mgomo waendelea Kariakoo kwa Siku ya 3, Wafanyabiashara wataka Mkutano wa Wazi na Majaliwa
- Mgomo wa wafanyabiashara Kariakoo ni fedheha kwa Serikali
- Mgomo wa Kariakoo; Serikali Iwasikilize Wafanyabiashara
- Inasikitisha Spika Tulia kujifanya hajui kinachoendelea Kariakoo
- Dkt. Ashatu Kijaji: Biashara Kariakoo zinaendelea, wafanyabiashara wametumia Demokrasia na Uhuru wao kufungua au kutokufungua
- Mgomo wa wafanyabiashara Kariakoo ukitatuliwa kwa ushawishi wa vyombo vya dola tutakuwa tunaahirisha tatizo
View attachment 3023083
Scars,Hatuwezi
Ukitaka kuthibitisha hilo we subiri siku ya uchunguzi, hao hao watu wanaoteseka na hawa viongozi ndio haohao wanaenda kuwapigia kura.
Ubungo Siyo Tanzania pale ๐๐
Inasikitisha sana yaani mpaka mtu aguswe kwenye angle yake ndio anashtuka. Tatizo la wafanyabiashara waajiriwa wanaona haliwahusu, tatizo la wanafunzi basi hustlers wanaona haliwahusu. Hatujui kwamba mfumo wa kuwawajibisha viongozi ukiwa mbovu basi maumivu yatamfikia kila mmoja katika angle yake na kwa wakati wake.Hatuwezi
Ukitaka kuthibitisha hilo we subiri siku ya uchunguzi, hao hao watu wanaoteseka na hawa viongozi ndio haohao wanaenda kuwapigia kura.