MGOMO: Wafanyabiashara Kariakoo kufunga biashara zao kuanzia 24/6/2024 mpaka changamoto zao zitakapotatuliwa'

Watu wnapenda kumbip mama bila sababu..mama vunja miguu hao wote...na watu wanaofunga maduka yao wanahujumu uchumi.. hivyo wachukuliwe hatua stahiki...hatuwezi cheza na mambo ya nchi yaani kila kukicha mtu anaamua tu kuharibu hali ya hewa...hatutakubari hata kidogo..
 
Hapaba ni bongo sio kenya...na aliyetuma huu ujumbe ni mkenya tu
 
Serikali ijiondoe kwenye matumizi ya anasa yakiwemo ya kununua magari ya kifahari ya viongozi kila mwaka na safari zilizojaa misururu ya viongozi kwenda nje na kuacha mianya mingi ya ufisadi kwenye pesa za umma, haingii akilini kodi zinakamuliwa kwa wafanyabiashara na wananchi maskini kupitia tozo kwenye miamala ya simu na mabenki, bado wanaanzisha tozo kwenye gesi kwa watu wanaotaka kujikwamua kwenye kutumia petroli ambayo bei yake imewekwa juu ambayo siyo himilivu. Hapo hapo mikopo kutoka nje inachukuliwa kama njugu.......wakiambiwa walete katiba mpya kuweka misingi bora na imara ya uongozi na itakayotoa misingi ya uhuru na haki kwa wananchi kuchagua viongozi na mfumo wa uongozi wanaoutaka wanapiga chenga.
Huku mitaani barabara ni mbovu kila mahali, ila kodi na tozo zinakusanywa......nchi ngumu hii.
 

Hatari sana
 
Kikosi kazi alichounda waziri mkuu kikijumuisha wawakilishi wa wafañyabiashara kimefanya kazi gani?

Yule mama Bonge alikuwa anamsifia Samia mpaka anabubujikwa na machozi naye atagoma?

Haya mambo wanayaweza Wakenya tu.
Sasa mama bonge na waziri mkuu...lao moja bussiness patners kabisa..hii nchi kuna muda sijui ufanye nini..
 
Wewe ni makota ya mbwa....
 
Hapaba ni bongo sio kenya...na aliyetuma huu ujumbe ni mkenya tu
Jana mimi nilikipokea hiki kipeperushi pale town so sijui kama muhusika/,mchapaji ni mkenya au siyo mkenya ila hicho Kiswahili kilichotumika hapo ni cha Tanzania
 
Wangaoi wamekufa upto now? Basicaly mswaada bado haujapitishwa na rais. Hivi uanfikiri utapigania haki bila dam kumwagika somehow?
Wewe unasubiri nini ndani toka nje huku uje uandamane damu yako imwagike kwaajili ya wanao au vipi?
Wangaoi wamekufa upto now? Basicaly mswaada bado haujapitishwa na rais. Hivi uanfikiri utapigania haki bila dam kumwagika somehow?
 
Wewe unasubiri nini ndani toka nje huku uje uandamane damu yako imwagike kwaajili ya wanao au vipi?
Ofcourse nilishaandamana back then, even nilipokuja nchi za nje sikuacha kushiriki maandamano mbali mbali. Why damu haijamwagika mpaka leo, well ukiandamana kistaarabu hupati shida, huo ni uzoefu wa nchi niliyopata hiyo nafasi.

Lakini pia kuandamana si suala la mtu moja bali udhubutu wa jamii, jamii yenyewe ndio ina vijana wa hovyo , chawa, wana ignore masuala ya nchi wako bize na comasava, umbea,mange kimambi. Tell me why niandamane kwenye jamii yenye watu aina yako ambao hawaoni umuhimu?

Unajua kinacho wabeba kenya, ni umoja, jamii imeamka wanajitambua sio yes man.
Hamna umoja means hamna team
 
Sidhani kama kuna udini hapo. Kuna wafanyabiashara wa Kiislamu pia hapo Kariakok, na wanajielewa. Wasingekubali kutumika kwa maslahi ya dini nyingine.
 
NDO UKWELI NA WEWE UMETHIBITISHA. VERY WEAK. YAANI MAANDAMANO AU MIGOMO YA WATU MNALETA SUALA LA DINI? VERY STUPID KWA KWELI. MNASABABISHA KILA MTU WA IMANI HIYO AANZE KUONEKANA HANA AKILI
Yule wa imani ile aliienda kuua albino nae anawakilisha wa imani yake?
 
Hata hao ni wezi unakuta mtu mzima na mkanzu anakupa risiti yenye muda tofauti na muda ule uliofika kununua bidhaa halafu risiti yenyewe katoka nayo chamber
 
Uislamu au dini imeingiaje hapo mkuu ???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…