Siri ya sifuri
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 2,335
- 1,967
ndivyo wanavyofanya hapo TMJ tunapoamrishwa tufuate vipimo,Duuh hawa ndio wale ukienda kupata huduma anagoogle kwanza.
Mungu atunusuru tu.
Unataka tusome, au tusisome brazaKwanza hatuna medical scientist
Pili, daktari wetu hawasomi.
Hii field inataka sana kusoma.
Mi mwenyewe kuna dokta niliwahi kumuona tena wa Muhimbili, akawa ana google khs tatizo langu ndio ananipa maelezo
Nilimuambia excuse me, nikatoka mazima.
Walijua atakufa soon ndo maana walimpa njoo rudi kibao.Mimi nilikuwa najua nimefanyiwa upasuaji wa goita na sikuwahi kuambiwa na hospitali ya Hindu Mandal kama wamenitoa tezi, nimekuja kujua baada ya kuelezwa na hospitali ya Apollo ya nchini India kuwa kinachonisumbua ni upungufu wa homoni na siyo kansa.[emoji15][emoji3064]
Kugoogle sio tatizo(shida labda source je ni ya kweli?) kumbuka Dr anatakiwa kusoma muda wote hasa kwa mambo yanayomtatiza ndo maana kuna miongozo pia ya kutibu nk yote imewekwa kumfanya daktari atibu kwa usahihi.Kwanza hatuna medical scientist
Pili, daktari wetu hawasomi.
Hii field inataka sana kusoma.
Mi mwenyewe kuna dokta niliwahi kumuona tena wa Muhimbili, akawa ana google khs tatizo langu ndio ananipa maelezo
Nilimuambia excuse me, nikatoka mazima.
.Ma doctor wa Afrika sijui huwa wanasoma wp!? Au wanasoma vitabu tofauti na wenzao !!!
Googling ni shortcuts. Acha kutetea uozo. Kwa hiyo bailojia ya google ndio ina upana mkuu?Unataka tusome, au tusisome braza
Kwa nini usichukulie ku'gugo' ni sehemu ya kusoma yenyewe.
Mtu mahiri pia anahitaji kupata vihint viwili vitatu ili kurefresh kile anachokijua tayari.
Baiolojia ni paaaaaaaana sana
Kuna namna ataelimishwa kuwa goita ni hiyohiyo tezi ikikua kubwa.Hapa mkuu mi sijaelewa hitimisho la huyu bwana. Sababu nimesoma maelezo yake yote hajaandika kua anaumwa goita sasa mwisho kahitimisha alikua anaumwa goita na upusuaji alijua anafanyiwa goita.
Wajuzi mnisaidie pengine mm ndio cjaelewa
Kupata taarifa na kuuliza maswali ni haki yako yajibiwe na mtaalamu.Halafu sasa wanajifanya ni wajanja na wataalam kupita maelezo. Ulaya ukienda hospital manafanya discussion na dr na anakuuliza mapendekezo yako lakini Bongo dr wana viburi na wanajiona ni wataalam mno.
Mimi pia hapo hindu mandal nilishaandikiwa madawa nikawa nameza tuNiliwahi kupimwa nikakutwa na vidonda vya tumbo katika Hospital mbili tofauti, nikaanza dawa Kama Mwaka mzima Kila siku nakunywa Hadi nikaanza kukojoa mkojo wa rangi tofauti na unanuka madawa
Ndipo nikaenda Hospital nyingine kubwa zaidi ya private wakanipima wakaniambia Sina vidonda na niache kumeza dawa Mara moja,nilipoacha nikapona mpaka leo,
Watakataa hapa mimi kipindi bwana mdogo nilikua nasumbuliwa sana na (pumbu) scrotal nini sijui huko wanajua wenyewe basi nikafika nikajieleza weee huku chozi linalilenga lenga enheee inaitwa scrotal torsion balaa hiyo basi dokta akanisikiliza weee ghafla paap akafuta simu janja na kuanza kugoogle khah jibu akapata eti nifunge kwanza pumbu na rubber band au mpira maumivu yakizidi yaa yaaawDuuh hawa ndio wale ukienda kupata huduma anagoogle kwanza.
Mungu atunusuru tu.
Inshu inakuja wanalipwa tsh ngapi ?.Duuuh!
Akitoka kazini anaweka kikao baa, badala ya kushika kitabu akaongeza maarifa.
Madaktar wenyewe tunashinda nao kidibwi kumwagilia moyoKwani, unauhakika wangetenganishwa ulaya wangepona wote?
Natamani watu kama nyie niwajue siku ukiumwa uje kutibiwa nikukumbushe izi comment
Du inafikirisha hii,, isijekuwa una mzazi wako uelewa mdogo akatengenezewa tatozo, kuja kushtuka ashatolewa kiungo flani watu wapige hela.
Au anaambiwa huna malaria anasema bwana hii malaria tu malaria yangu mi naijua mimi[emoji16]Kupata taarifa na kuuliza maswali ni haki yako yajibiwe na mtaalamu.
Hata hivyo usidharau tabia mojawapo ya wabongo ambapo ipo sana tu. Unakuta mtaalamu unataka kutoa maelekezo na elimu halafu mgonjwa anakukatisha kwa kauli 'We bwana maelezo meeengi ya nini?, we nipe dawa nisepe..... sisi tuliwapeleka shule nyinyi msome muelewe muje mtupatie dawa sasa si tungeenda wote kusoma udokita'!!
Ikitokea mara mbili tatu
Hizo hospital zikipigwa fine ya 100+ million ni lazima umakini utaongezeka tu. Sisi waafrika tunataka mkono wa chuma na mjeledi ili twende sawa. Shida iko wapi hata sijui.Mkuu mmatumbi hata mkishitakiana hatushtuki na hatubadiliki. Maisha yetu mengi yako mikononi mwa Mungu. Ni Mungu peke yake anatulinda na nakuturehemu. Tunafanya mambo kwa uzembeuzembe na kubahatisha bahatisha tu hatuangalii fyuchaa. Hatujali. Ni vigumu sana sisi kubadilika kwasababu tabia zetu zinazididi tu kuwa mbaya afadhali ya jana.
Watakataa ila ndio uhalisia.ndivyo wanavyofanya hapo TMJ tunapoamrishwa tufuate vipimo,
Tena ukiwa mbishi wanakuchukua mpaka kwenye Computer yao, wanagoogle mbele yako ili kukuthibitishia usasahihi wa majibu yao!
Hapana google inasaidia kurefreshi baiolojia paaana ili kichwani kwake.Googling ni shortcuts. Acha kutetea uozo. Kwa hiyo bailojia ya google ndio ina upana mkuu?