Membe is no longer an agenda for consideration in our contemporary CCM politics. We have only two contestants in this holy race these are, Mizengo Kayanza Peter and Edward Ngoyai Lowassa. Plus two anonymous young men whose network within the ruling party is still weak to offer anything for their success
Mkuu Nedese, kiukweli Pinda hautaki urais wala alikuwa hana mpango nao kabisa!, ule tuu u PM kwake ni mzigo, uje umeongezee, si tutamuua bure baba wa watu?!.
Kilichomfanya Pinda asiufikirie kabisa urais, ni kwa sababu yeye by nature ni cleam man na very humble!, anazijua how dirty JK played!, anajua how dirty and crook one has to be ili kuupata urais!, kwa vile yeye sio mtu wa makuu, ameishajitayarisha na kujipanga kujistaafia na pensheni yake, na mashamba yake, na asali yake!.
Baada ya CCM kushuhudia nguvu ya EL, Pinda ameombwa tuu ili kumtumia kuhala,lisha kulikata jina la EL katika hatua za awali kabisa, ndani ya CC ili lisiingie NEC!.
Baada ya kumchinjia baharini EL, kuna watu wengine wawili watalazimishwa kuingia kwenye race, ambao ni "The choosen one", na "the Zanzibar pace maker!", yaani yule ambaye wamemdhamiria ndio awe rais wa 2015, na mgombea mmoja weak kutoka Zanzibar prefarably Gharib Bilal, ila majina hayo matatu, Pinda, The Choosen One and boya la Zanzibar, no yatatinga Mkutano Mkuu wa CCM. Huko amini usiamini Pinda atajitoa na kusema kura zangu mpeni "the choosen one!. Na Gharib pia atajitoa vyivyo hivyo!. Pia wanaweza kubaki, ili kuithibitishia jumuiya ya kimataifa kuwa CCM ni chama cha kidemokrasia!, lakini kura za ushindi ni kwa the choosen one!.
EL akishakatwa, atakuwa under survailance 24/7 asije ku defect na kuimiza CCM!, na wakiona kuna dalili yoyote ya defection, "watamaliza kazi!", kwani Dr. Omar Ali Juma, ilikuwaje?!, tena Jumbe ana bahati sana, alifanya upuuzi ule chini ya Nyerere, mcha Mungu na mtu wa Imani, EL asipojiangalia kwa makini, kufika kwake October 2015 ni majaaliwa sana!.
Haya ni maoni yangu tuu, "no inside trading yoyote!".
Pasco.