Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu hausiki na hayo mambo yake ya uhuni
hivi Lisu anaungwa mkono hata na mumama hata moja ambae ni mjumbe wa mkutano mkuu pale chadema?Mh Mbowe amewaasa CHADEMA kushiriki uchaguzi wa haki ili ulimwengu wote utambue uaminifu wao mkubwa wa kuhesabu kura kwa haki
Amewaomba akina mama waliomlipia fomu wawaombee CHADEMA lakini pia waongeze maombi mengi kwaajili yake

hao wamama ni maslahi yao tu kwa mbowe, kwanza wamefanya ubaguzi wa wazi kubagua vinngozi waohivi Lisu anaungwa mkono hata na mumama hata moja ambae ni mjumbe wa mkutano mkuu pale chadema?![]()
mdomo bana dah, ni muhimu sana kuutumia vizuri aise?![]()
Set an example gentleman 🕴️hivi Lisu anaungwa mkono hata na mumama hata moja ambae ni mjumbe wa mkutano mkuu pale chadema?
mdomo bana dah, ni muhimu sana kuutumia vizuri aise?![]()
Gentleman,hao wamama ni maslahi yao tu kwa mbowe, kwanza wamefanya ubaguzi wa wazi kubagua vinngozi wao
kwahiyo ikawa ndio hivyo tena ukajikuta uko hivyo ulivyo humu JF,dah 🤣Ningekuwa mimi Mbowe ningependekeza tu Wenyekiti nisepe zangu
Gentleman,
si ilisemekana pale chadema wanachama wako huru ama?
Hausiki, hizi ni taratibu za kibinadamu na ni swala la binadamu wenyeweMaombi? Tangu lini Mungu akahusika kwenye kura kwenye masunduku?
Gentleman,
si ilisemekana pale chadema wanachama wako huru ama?
Mungu ni mwema sana gentleman 🐒Maisha ndugu yangu nahitajinmaombi yenu
SafiMh Mbowe amewaasa CHADEMA kushiriki uchaguzi wa haki ili ulimwengu wote utambue uaminifu wao mkubwa wa kuhesabu kura kwa haki
Amewaomba akina mama waliomlipia fomu wawaombee CHADEMA lakini pia waongeze maombi mengi kwaajili yake