Halafu issue ya " technical compatibility" inashughulikiwa vipi? Hivi vipande vitatu vitaoanishwa vipi mbele ya safari?..Mantiki ya kujenga Mwanza to Isaka kabla ya Dodoma --Tabora--Isaka ni ipi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu issue ya " technical compatibility" inashughulikiwa vipi? Hivi vipande vitatu vitaoanishwa vipi mbele ya safari?..Mantiki ya kujenga Mwanza to Isaka kabla ya Dodoma --Tabora--Isaka ni ipi?
Umeliweka kwa kingereza ili lionekane ni swali fikirishi ila umeuliza issue ya kitoto sana.. Kwamba reli itashindwa kuunganishwa kisa imejengwa vipande vipande! So ujenzi wa reli ni lazima ujenge moja kwa moja?Halafu issue ya " technical compatibility" inashughulikiwa vipi? Hivi vipande vitatu vitaoanishwa vipi mbele ya safari?
Halafu issue ya " technical compatibility" inashughulikiwa vipi? Hivi vipande vitatu vitaoanishwa vipi mbele ya safari?
..hebu angalia ramani ya sgr hapo chini.
Mbona post inaeleweka hata kwa mtoto mdogo.Miaka 15 ni kuendelea kutumika baada ya kukarabati sio inakarabatiwa kwa miaka15 acha uzwazwa
Kwa sasa Kenya na Tanzania zinashinda speed ya kuyafikia masoko yao...hebu angalia ramani ya sgr hapo chini.
..tutafikia nchi gani jirani ikiwa tumeruka kujenga kipande cha Dodoma -- Tabora -- Isaka?
.
View attachment 1682748
Kwa sasa Kenya na Tanzania zinashinda speed ya kuyafikia masoko yao.
Uganda ilishindwa kukamilisha reli yao na Kenya kwa sababu Kenya walishindwa kujenga reli yao hadi Malaba.
Hadi Sasa Isaka Kuna Dry Port inayolisha Rwanda, Burundi, Congo, na Uganda.
Kwa sasa Tanzania inafanya miradi mingine sambamba na SGR
1. Upanuzi wa Bandari ya Dar Es Salaam
2. Ujenzi wa Bandari Kavu Pwani
3. Ujenzi wa Bandari kavu Dodoma.
4. Ujenzi wa Meli Ziwa Victoria
Kwa sasa Tuna Phases 2 moja Dar hadi Moro na Moro hadi Singida...
Maana yake chini ya Masaa 6 tutaweza kusafirisha mizigo ya Nchi hizo hadi Dodoma kwenye Bandari Kavu Baada ya hapo tutasafirisha mizigo kwa mabasi au MGR hadi Mwanza na Isaka tayari kuelekea Nchi wateja wa Bandari yetu.
Kwa maana nyingine ndani ya Siku moja tutakuwa tumefika Rwanda na Burundi.
Usafiri wa Bei nafuu yaani Meli kutoka Mwanza hadi port Bell ni wastani wa masaa 17 kama sijakosea kwa sasa... Ila kipindi cha hivi karibuni Serikali imewekeza sana kwenye Ujenzi wa Meli Kubwa ndani ya Ziwa Victoria.
Kama Tanzania itakuwa na Kipande Cha Mwanza to Isaka kabla ya Naivasha to Malaba maana yake Uganda kuchukua Mizigo kupitia Bandari ya Dar Es salaam itakuwa haraka, nafuu na effecient. Na kuwashawishi kuanza kujenga Reli kutokea Tanzania
Sent using Jamii Forums mobile app
Mrema, Natumai serikali kuu itawasikia wananchi hawa wa Kijiji cha Kibomwenda ili wapate haki yao stahiki. Ni haki yao wanufaike na mradi mkubwa wa Reli ya Kisasa Standard Gauge Railways🚂🚃. Kampuni ya YAPI MERKEZ toeni fungu la fedha ili mlipe ushuru wa mapato ya madini ya Ujenzi katika Halmashauri ya Kisarawe ili asilimia 20% iende kwenye Kijiji hicho itasaidia kujenga miradi mbalimbali kama Shule, Hospital, Maji, Umeme na barabara kama kumbukumbu ya mradi huo mkubwa kabisa Afrika.
Chinese companies win $1.32bn Tanzanian rail contract
8 January 2021 (Last Updated January 8th, 2021 16:23)
The Tanzanian Government has awarded a $1.32bn contract to two Chinese companies for the construction of a 341km rail line : Read more source : Chinese companies win $1.32bn Tanzanian rail contract
Wakati wa ukaguzi wa uharibifu wa njia ya reli ya kati sehemu za Gulwe na Kilosa, wataalamu wa ujenzi wa reli wamebainisha kuwa Tanzania itaendelea kuitumia reli ya mkoloni kwa miaka zaidi ya 10 ijayo.
30 December 2019 Diamond asimama kuangalia maendeleo ya ujenzi wa reli Mpya SGR
2 March 2021
Kilosa, Morogoro
Tanzania
HATUA YA UJENZI ILIPOFIKIA , DARAJA LA MTO MKONDOA KUUNGANISHA MAHANDAKI MAWILI RELI MPYA YA SGR
Daraja toka handaki moja kwenda la pili lina Urefu mita 487 kukatisha juu ya Mto Mkondoa ili kuunganisha mahandaki hayo mawili.
Nguzo za daraja bado zinaendelea kujengwa ili kumalizia ujenzi wa daraja hilo katika kipande cha reli mpya ya SGR baina ya Morogoro na Makutupora Dodoma.
Source : TRC RELI TV
Watakuwa wanajipanga "kutafuta pesa ya ndani" kugharamia kipande hicho cha SGR.Mkuu vipi kwa kipande cha isaka to mwanza naona kimya kimeanza au bado??
February 5, 2020
Kilosa, Tanzania
Wahandisi : Reli ya kati ihamishwe toka eneo la mafuriko na pia SGR kuchukua miaka 15 kukamilisha
Wakati wa ukaguzi wa uharibifu wa njia ya reli ya kati sehemu za Gulwe na Kilosa, wataalamu wa ujenzi wa reli wamebainisha kuwa Tanzania itaendelea kuitumia reli ya mkoloni kwa miaka zaidi ya 10 ijayo.
Pia Reli mpya ya SGR itachukua takriban miaka 15 kumalizwa kujengwa hilo limebainishwa ktk eneo la reli ya kati lililokumbwa na mafuriko yasiyo ya kawaida wakati jopo la wahandisi na mkurugenzi mkuu walipokuwa wanajadili athari za mafuriko na changamoto za reli ya mkoloni na reli mpya ya SGR.
TRC inapoteza zaidi ya milioni 100 kwa siku kutokana na kusitisha safari reli ya kati. Na ili kukabiliana na mafuriko inabidi reli ya kati ihamishiwe mlimani na mlima huo unahitaji kuchongwa pia .
Uharibifu ktk eneo la mto Mkondoa ni mkubwa sana na ingawa eneo hilo la Gulwe Kilosa hakuna mvua lakini mvua kubwa zinazonyesha mikoa ya Iringa na Dodoma inaingiza kiasi kikubwa cha maji mto Mkondoa.
Source: TRC Reli TV
Hivi aliyewaambia Makutupora ipo Dodoma ni nani? Makutupora ipo Manyoni, Singida na ipo kilomita 82.7 (magharibi) kutoka Dodoma Jiji.2 March 2021
Kilosa, Morogoro
Tanzania
HATUA YA UJENZI ILIPOFIKIA , DARAJA LA MTO MKONDOA KUUNGANISHA MAHANDAKI MAWILI RELI MPYA YA SGR
Daraja toka handaki moja kwenda la pili lina Urefu mita 487 kukatisha juu ya Mto Mkondoa ili kuunganisha mahandaki hayo mawili.
Nguzo za daraja bado zinaendelea kujengwa ili kumalizia ujenzi wa daraja hilo katika kipande cha reli mpya ya SGR baina ya Morogoro na Makutupora Dodoma.
Source : TRC RELI TV