The Wolf
JF-Expert Member
- Sep 10, 2013
- 9,412
- 20,685
Kipande cha isaka - mwanza tufanye ni kama kimeanza, kwa namna ninavyofahamuMkuu vipi kwa kipande cha isaka to mwanza naona kimya kimeanza au bado??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kipande cha isaka - mwanza tufanye ni kama kimeanza, kwa namna ninavyofahamuMkuu vipi kwa kipande cha isaka to mwanza naona kimya kimeanza au bado??
Meko kaharibu nchi kwa sababu ya kuwa one man show. Nafuu Mungu ameamua kuchukua roho yake mapema kabla hajaharibu sana.Upo uwezekano JPM akitoka madarakani baadhi ya miradi itashindwa kuendelea...
Kwann tufanye na isiwe halisi kwamba imeanzaKipande cha isaka - mwanza tufanye ni kama kimeanza, kwa namna ninavyofahamu
Kyani wenga?Kwann tufanye na isiwe halisi kwamba imeanza
Zawadi aliyoacha Magufuli kwa waTanzania : Reli ya kisasa (SGR)
Tarehe 14 mwaka 2018 Rais John Magufuli aliasisi ujenzi wa mradi wa reli ya kisasa kwa kuweka jiwe la msingi la kipande cha pili cha mradi huo kilichoanzia mkoani Morogoro hadi Makutupora mkoani Dodoma.
![]()
CHANZO CHA PICHA,MICHAEL KHATELI
Maelezo ya picha,
Reli ya Kisasa nchini Tanzania SGR
Kipande hicho chenye urefu wa kilometa 422 kitagharimu kiasi cha shilingi trilioni4.3, ambapo ni sehemu ya mradi mkubwa wa ujenzi wa reli ya kati wa kuanzia Dar es salaam hadi Mwanza yenye urefu wa kilomita 1,219. Ujenzi wa kipande cha kutoka Dar es salaam hadi Morogoro unaelezwa kuwa umekamilika kwa asilimia 80. Hii ni zawadi aliyoacha Magufuli kwa Watanzania. Source : Zawadi aliyoacha Magufuli kwa Watanzania - BBC News Swahili
tazama mto Ugalla ulivyo mkubwa
Hahaha!!;2040 wakati huo Rais atakuwa mjukuu wa Hayati awamu ya kwanza