Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
13 August 2021
Miradi ya Miundo-mbinu Tanzania kama SGR, NHPP Stiegler's Gorge , Air Tanzania yajadiliwa kwa kina.
Jopo hilo lina jumuisha Dr. Bravious Kahyoza, Prof. Abdul Shareef, Aisha , Rosemary Mwakitwange, Zitto Kabwe.
Asilimia 7% ya ukuaji uchumi, Public spending, Kodi, Uwekezaji, State capture, asilimia 26 ya watu wote ni kundi la masikini hohehahe limeongezeka ( yaani watu 15 milioni)
Je majenzi ya miradi hii mikubwa ni kweli yanabebwa na fedha zetu za ndani sisi waTanzania ?
Source : Nadj Media Center
Ohoooo!!