Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Mbeya yalibuma ?Hamna akili nyie kenge kwa maandamano gani????haya na yenyewe yalikuwa yanakwenda kubuma kama ya Mbeya acheni kutafuta mchawi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbeya yalibuma ?Hamna akili nyie kenge kwa maandamano gani????haya na yenyewe yalikuwa yanakwenda kubuma kama ya Mbeya acheni kutafuta mchawi
Weka aerial
Huna akili kabisa wewe na chama chako.shetani wakubwa nyie. Angekuwa kiongozi wenu kada hapo ajali ni kutoka kamati kuu mngeendelea na huo utahira? Au mnaona hao walipoteza ndugu zao kuwa hawana thamani mbele za Mungu? Mijinga sana nyie. Mtaendelea kupuuzwa na watanzania siku zote maana hamna akili kabisaHujui kitu wewe , Shut up !
ili iweje ?Weka aerial
" Hawa jamaa kutwa kuzurura, na kulalama maisha magumu"Pamoja na ukweli kwamba Mkuu wa Mkoa wa Arusha anafahamu kuwa kesho tarehe 27 /02 /2024 ni siku kubwa ya Maandamano ya Amani Jijini humo kwa lengo la kupinga Ugumu wa Maisha pamoja na Miswada mibovu ya sheria za uchaguzi , lakini ameamua kuifanya siku hiyo pia kuwa ya kuaga miili ya Marehemu wa Ajali .
Ni dhahiri kwamba RC anapanga ratiba hiyo ili kupambana na kujaribu kuvuruga Maandamano ya Wananchi , lakini atashindwa vibaya sana , kwa haya yanayoendelea sisi wengine tunaanza kuitafakari minong'ono ya wadau ya kudai kwamba " Huenda ajali hiyo ilipangwa kwa lengo la kuvuruga maandamano "
Itakuwa Aibu kubwa sana kwa Nchi ikiwa minong'ono hii ina ukweli wowote na kuna Hati hati ya Wananchi kushinikiza baadhi ya viongozi kujiuzulu .
Ngoja tuone .
Kwi Kwi Kwi !! Mambo bado sana .Huna akili kabisa wewe na chama chako.shetani wakubwa nyie. Angekuwa kiongozi wenu kada hapo ajali ni kutoka kamati kuu mngeendelea na huo utahira? Au mnaona hao walipoteza ndugu zao kuwa hawana thamani mbele za Mungu? Mijinga sana nyie. Mtaendelea kupuuzwa na watanzania siku zote maana hamna akili kabisa
🚮Acheni ujinga ninyi CHADEMA na akili zenu hizo za kihayawani na kinyumbu. Yaani watu wana simanzi na majonzi ya kupoteza wapendwa wao halafu ninyi mnaleta siasa? Hivi mna akili kweli ninyi? Hivi ni laana au ujinga ndio unawasumbueni? Vipi angekuwa ni mama yako kapoteza maisha? Ungeleta huu ujinga uliouandika hapa? Ungeendelea kuhamasisha maandamano? Acheni ujinga na kuwa na akili za kitoto na kijinga utafikiri mashetani.
Yaani watu wamejaa majonzi na simanzi katika mioyo yao halafu ninyi mnaleta ujinga wenu.mnafahamu simanzi zilizopo katika mioyo ya wafiwa? Kwa hiyo hayo maandamano yenu ya kijinga yana thamani kuliko roho za watu zilizopotea? Kwahiyo miili iendelee kukaa mochwari kwa sababu ya maandamano yenu ya kijinga? Hamna akili kabisa ninyi na hamfai kuitwa binadamu.
Mmepora Msiba kujikinga na aibu....Huna akili kabisa wewe na chama chako.shetani wakubwa nyie. Angekuwa kiongozi wenu kada hapo ajali ni kutoka kamati kuu mngeendelea na huo utahira? Au mnaona hao walipoteza ndugu zao kuwa hawana thamani mbele za Mungu? Mijinga sana nyie. Mtaendelea kupuuzwa na watanzania siku zote maana hamna akili kabisa
Hayo maandamano kwani yamezuiwa? Shida ni kuwa CHADEMA na watu aina yako mnaoshabikia ujinga wa CHADEMA kutokana na ufinyu wa mawazo hamjitambui kabisa.akili zenu ni za kishetani ndio maana hamguswi na msiba huu zaidi ya kuleta siasa na ujinga wenu wakati watu wamejaa simanzi na majonzi katika mioyo yao.Dharura
Kwani Maandamano yanazuia mambo mengine yasiendelee?
Uchunguzi wa kina hamkufanya kwa chacha wangwe mlete uzushi kisa jogging!Tumeanza Uchunguzi wa kina
Na siyo uzembe?Ukishasema Ajali Hiyo ni bahati mbaya!
Mmeanza kujikanyaga baada ya kila mkoa tunashuhudia sura zile zile zinazotumia ruzuku ya chama!Je ile ajali ilikuwa ya Bahati mbaya au ilipangwa ili kuhujumu Maandamano ?
Jikite kwenye madaUchunguzi wa kina hamkufanya kwa chacha wangwe mlete uzushi kisa jogging!
Sasa kinachokuliza nini ?Tunaposema Chadema ni manyumbu hatujakosea kabisa!
Kwamba nyinyi kwenu siasa ni zaidi ya UHAI wa binadamu?
Mmelogwa na nani?
Mnawaza vyeo saa zote kuliko maisha ya binadamu?
Hayo maandamano yenu ni muhimu kuliko kuaga miili ya wapendwa wetu?
Kwamba CCM iuwe watu kwa ajili ya maandamano ya wapumbavu enyi?
Busara zenu ziko wapi?
Chadema hamtakuja kupewa rudhaa ya kuongoza nchi hii sababu ni genge la wahuni msio na busara hata kidogo.
Umetoka kwa dhamana?😂Hayo maandamano kwani yamezuiwa? Shida ni kuwa CHADEMA na watu aina yako mnaoshabikia ujinga wa CHADEMA kutokana na ufinyu wa mawazo hamjitambui kabisa.akili zenu ni za kishetani ndio maana hamguswi na msiba huu zaidi ya kuleta siasa na ujinga wenu wakati watu wamejaa simanzi na majonzi katika mioyo yao.
Uzembe ni bahati mbaya piaNa siyo uzembe?