Mhandisi: Reli ya SGR mpya kuchukua miaka 15 kumalizika

Hujui kitu wewe , Shut up !
Huna akili kabisa wewe na chama chako.shetani wakubwa nyie. Angekuwa kiongozi wenu kada hapo ajali ni kutoka kamati kuu mngeendelea na huo utahira? Au mnaona hao walipoteza ndugu zao kuwa hawana thamani mbele za Mungu? Mijinga sana nyie. Mtaendelea kupuuzwa na watanzania siku zote maana hamna akili kabisa
 
Sasa wangekuwa na njama ya kuwazuia si wangefanya tu kama walivyozoea miaka yote?
 
" Hawa jamaa kutwa kuzurura, na kulalama maisha magumu"
 
Kwi Kwi Kwi !! Mambo bado sana .
 
🚮
 
Wachunguzwe hapo kuna jambo kubwa limejificha iweje wakimbilie Marehemu?

Wangeagwa hata hata Jumamosi ibada ya Kitaifa

Nilijuwa tu kitakacho fanyika Ni fedhedha mtu mwenye mvi kukosa USTAARABU
 
Mmepora Msiba kujikinga na aibu....
 
Dharura

Kwani Maandamano yanazuia mambo mengine yasiendelee?
Hayo maandamano kwani yamezuiwa? Shida ni kuwa CHADEMA na watu aina yako mnaoshabikia ujinga wa CHADEMA kutokana na ufinyu wa mawazo hamjitambui kabisa.akili zenu ni za kishetani ndio maana hamguswi na msiba huu zaidi ya kuleta siasa na ujinga wenu wakati watu wamejaa simanzi na majonzi katika mioyo yao.
 
Tunaposema Chadema ni manyumbu hatujakosea kabisa!
Kwamba nyinyi kwenu siasa ni zaidi ya UHAI wa binadamu?
Mmelogwa na nani?
Mnawaza vyeo saa zote kuliko maisha ya binadamu?
Hayo maandamano yenu ni muhimu kuliko kuaga miili ya wapendwa wetu?
Kwamba CCM iuwe watu kwa ajili ya maandamano ya wapumbavu enyi?
Busara zenu ziko wapi?
Chadema hamtakuja kupewa rudhaa ya kuongoza nchi hii sababu ni genge la wahuni msio na busara hata kidogo.
 
Sasa kinachokuliza nini ?
 
Umetoka kwa dhamana?😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…