Madikizela
JF-Expert Member
- Jul 4, 2009
- 679
- 450
Uhuru WA kuongea si vizuri kutoka hash Lingua nisamehe if I'm wrongKweli popoma umenena ukweli
Kufananisha Nyerere na Samia ninkukufuru
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uhuru WA kuongea si vizuri kutoka hash Lingua nisamehe if I'm wrongKweli popoma umenena ukweli
Kufananisha Nyerere na Samia ninkukufuru
Sent using Jamii Forums mobile app
Uchawa na kujipendekeza tu huko.Rais Samia afikia rekodi ya Mwalimu Nyerere
Yaani Mtu aliyeifanyia makubwa Tanzania na kuwa Statesman kwa miaka 23 leo hii anaweza Kufananishwa na Mtu aliyeingia tarehe 17 Machi, 2021 hadi leo tarehe 11 Oktoba, 2023?
Media ya Tanzania ni kwanini mnapenda sana Kudanganya, Kujipendekeza na kuendekeza Njaa namna hii?
Hivi ukiwa na Akili timamu unaweza Kufananisha Mafanikio makubwa na ya Kihistoria ya Mchezaji Hayati Pele na Mafanikio ya hivi karibuni ( ya muda mfupi ) ya Mchezaji Novatus Dismas na kusema kuwa kamfikia Nguli Pele?
Kumbe GENTAMYCINE ninapoidharau Media ya Tanzania huwa sikosei na huwa nipo sahihi 100%.
Hovyo kabisa......!!
View attachment 2778437
...Wanashindana Kuona nani ataimba Pambio Bora Zaidi ! [emoji35][emoji35]...Uko sahihi Mkuu huyo Mhariri nae yuko Ziarani huko yaani Kaambatana nae huko nchini India.
Huenda walitishwa kuwa kama Wasipompamba basi kila Mtu ( Mwandishi ) ajitegemee kwa Nauli ya Kurejea Tanzania la sivyo watarudi kwa Miguu from Bombay to Dar es Salaam hivyo wakaona Wajiongeze kwa Kujipendekeza huko Kishamba, Kiuwongo na Kipumbavu.
...Wameyafuta ??!! [emoji35]...Watakuja Viongozi labda vizazi vijavyo sio vya sasa Rais awe na kariba ya Mwalimu JK Nyerere...
Uwanja wa Sokoine uliandikwa hivi sasa hivi wamefuta wameweka maneno yao...
"NCHI HAIWEZI KUENDELEA KWA KUTEGEMEA MISAADA TOKA NCHI ZA NJE"JK NYERERE.
Nchi ngumu sana hii wanatoa misemo ya maana na kuweka itakayowafurahisha wao...
Yapo maneno mengine kabisa nilipita kuona yale niliyokua nayasoma nikienda Mjini yapo sikuyakuta wala sikuuliza kwa nini wamefuta maana uwanja ni wao......Wameyafuta ??!! [emoji35]...
...Hebu Wewe Jaribu Kutumia Ubongo wako Utuambie Raisi aliyepo anaweza Kumshinda Nyerere Kwa Rekodi ipi ???Mbona hujatuambia ni rekodi gani mkuu?!!!
Wewe ni msomi wa SAUT unanishangaza kwa kusimamia pekee CAPTION ya gazeti na si CONTENTS yake [emoji1787]
Kwa Vichekesho hivi na vingine vyote vifafanavyo na hivi usisite kutembelea www.ccmmaigizo.co.tzRais Samia afikia rekodi ya Mwalimu Nyerere
Yaani Mtu aliyeifanyia makubwa Tanzania na kuwa Statesman kwa miaka 23 leo hii anaweza Kufananishwa na Mtu aliyeingia tarehe 17 Machi, 2021 hadi leo tarehe 11 Oktoba, 2023?
Media ya Tanzania ni kwanini mnapenda sana Kudanganya, Kujipendekeza na kuendekeza Njaa namna hii?
Hivi ukiwa na Akili timamu unaweza Kufananisha Mafanikio makubwa na ya Kihistoria ya Mchezaji Hayati Pele na Mafanikio ya hivi karibuni ( ya muda mfupi ) ya Mchezaji Novatus Dismas na kusema kuwa kamfikia Nguli Pele?
Kumbe GENTAMYCINE ninapoidharau Media ya Tanzania huwa sikosei na huwa nipo sahihi 100%.
Hovyo kabisa......!!
View attachment 2778437
Acha kukurupuka......Hebu Wewe Jaribu Kutumia Ubongo wako Utuambie Raisi aliyepo anaweza Kumshinda Nyerere Kwa Rekodi ipi ???
Hovyo sana mkuu, hawa waandishi hovyo kabisa. Inakera sana.Rais Samia afikia rekodi ya Mwalimu Nyerere
Yaani Mtu aliyeifanyia makubwa Tanzania na kuwa Statesman kwa miaka 23 leo hii anaweza Kufananishwa na Mtu aliyeingia tarehe 17 Machi, 2021 hadi leo tarehe 11 Oktoba, 2023?
Media ya Tanzania ni kwanini mnapenda sana Kudanganya, Kujipendekeza na kuendekeza Njaa namna hii?
Hivi ukiwa na Akili timamu unaweza Kufananisha Mafanikio makubwa na ya Kihistoria ya Mchezaji Hayati Pele na Mafanikio ya hivi karibuni ( ya muda mfupi ) ya Mchezaji Novatus Dismas na kusema kuwa kamfikia Nguli Pele?
Kumbe GENTAMYCINE ninapoidharau Media ya Tanzania huwa sikosei na huwa nipo sahihi 100%.
Hovyo kabisa......!!
View attachment 2778437
Kwa Genius yoyote yule Caption / Headline ya Gazeti lolote inatosha Kukuambia Upumbavu ulioko katika Content ya Taarifa husika na kutopoteza muda wa Kuisoma.Mbona hujatuambia ni rekodi gani mkuu?!!!
Wewe ni msomi wa SAUT unanishangaza kwa kusimamia pekee CAPTION ya gazeti na si CONTENTS yake [emoji1787]
Jirani shauri yako!Labda Tz ya kule Kizimkazi...🤣
For any Professional to accept being a Sycophant / Flateterer of the State ( Authority ) tantamounts to how Useless and dame Fool He / She is.Gentamicin usiwalaumu waandishi baba. Njaaa kali bila ivyo ivyo watoto walishapatwa na kwashiorkor na wanaelekea kufa bila kuandika ivyo wanakufa na njaaa
Hatari sana!Wakati ndiyo kwanza tunanunua Petroli shilingi 3,489.53/Lita huku nilipo 🙌
Mbona unajionesha una elimu ndogo...Rais Samia afikia rekodi ya Mwalimu Nyerere
Yaani Mtu aliyeifanyia makubwa Tanzania na kuwa Statesman kwa miaka 23 leo hii anaweza Kufananishwa na Mtu aliyeingia tarehe 17 Machi, 2021 hadi leo tarehe 11 Oktoba, 2023?
Media ya Tanzania ni kwanini mnapenda sana Kudanganya, Kujipendekeza na kuendekeza Njaa namna hii?
Hivi ukiwa na Akili timamu unaweza Kufananisha Mafanikio makubwa na ya Kihistoria ya Mchezaji Hayati Pele na Mafanikio ya hivi karibuni ( ya muda mfupi ) ya Mchezaji Novatus Dismas na kusema kuwa kamfikia Nguli Pele?
Kumbe GENTAMYCINE ninapoidharau Media ya Tanzania huwa sikosei na huwa nipo sahihi 100%.
Hovyo kabisa......!!
View attachment 2778437
Tujiandae kuanza kuendesha Baiskeli tu badala ya magari 🙌Hatari sana!
Nawe unastahili Tuzo ya Heshima kwa kuendelea kusoma hivi vijarida vya ccmRais Samia afikia rekodi ya Mwalimu Nyerere
Yaani Mtu aliyeifanyia makubwa Tanzania na kuwa Statesman kwa miaka 23 leo hii anaweza Kufananishwa na Mtu aliyeingia tarehe 17 Machi, 2021 hadi leo tarehe 11 Oktoba, 2023?
Media ya Tanzania ni kwanini mnapenda sana Kudanganya, Kujipendekeza na kuendekeza Njaa namna hii?
Hivi ukiwa na Akili timamu unaweza Kufananisha Mafanikio makubwa na ya Kihistoria ya Mchezaji Hayati Pele na Mafanikio ya hivi karibuni ( ya muda mfupi ) ya Mchezaji Novatus Dismas na kusema kuwa kamfikia Nguli Pele?
Kumbe GENTAMYCINE ninapoidharau Media ya Tanzania huwa sikosei na huwa nipo sahihi 100%.
Hovyo kabisa......!!
View attachment 2778437
Rubbish and Nonsensical.Mbona unajionesha una elimu ndogo...
Some titles are metaphorical presentations...
Thats IRONICAL...
Unakifaham kitabu cha Mfalme Juha..
Mtabiri tambitambiGENTAMYCINE "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer"
Asante Mwenyezi Mungu kwa Shani.
Una shule ndogo..Rubbish and Nonsensical.