Mhariri wa Gazeti la Majira umewaza nini hadi kuja na Kichwa cha hovyo hiki cha Habari leo?

Mhariri wa Gazeti la Majira umewaza nini hadi kuja na Kichwa cha hovyo hiki cha Habari leo?

Rais Samia afikia rekodi ya Mwalimu Nyerere

Yaani Mtu aliyeifanyia makubwa Tanzania na kuwa Statesman kwa miaka 23 leo hii anaweza Kufananishwa na Mtu aliyeingia tarehe 17 Machi, 2021 hadi leo tarehe 11 Oktoba, 2023?

Media ya Tanzania ni kwanini mnapenda sana Kudanganya, Kujipendekeza na kuendekeza Njaa namna hii?

Hivi ukiwa na Akili timamu unaweza Kufananisha Mafanikio makubwa na ya Kihistoria ya Mchezaji Hayati Pele na Mafanikio ya hivi karibuni ( ya muda mfupi ) ya Mchezaji Novatus Dismas na kusema kuwa kamfikia Nguli Pele?

Kumbe GENTAMYCINE ninapoidharau Media ya Tanzania huwa sikosei na huwa nipo sahihi 100%.

Hovyo kabisa......!!

View attachment 2778437
Uchawa na kujipendekeza tu huko.
IMG_20221017_200817.jpg
 
Uko sahihi Mkuu huyo Mhariri nae yuko Ziarani huko yaani Kaambatana nae huko nchini India.

Huenda walitishwa kuwa kama Wasipompamba basi kila Mtu ( Mwandishi ) ajitegemee kwa Nauli ya Kurejea Tanzania la sivyo watarudi kwa Miguu from Bombay to Dar es Salaam hivyo wakaona Wajiongeze kwa Kujipendekeza huko Kishamba, Kiuwongo na Kipumbavu.
...Wanashindana Kuona nani ataimba Pambio Bora Zaidi ! [emoji35][emoji35]...
 
Watakuja Viongozi labda vizazi vijavyo sio vya sasa Rais awe na kariba ya Mwalimu JK Nyerere...
Uwanja wa Sokoine uliandikwa hivi sasa hivi wamefuta wameweka maneno yao...
"NCHI HAIWEZI KUENDELEA KWA KUTEGEMEA MISAADA TOKA NCHI ZA NJE"JK NYERERE.
Nchi ngumu sana hii wanatoa misemo ya maana na kuweka itakayowafurahisha wao...
...Wameyafuta ??!! [emoji35]...
 
Rais Samia afikia rekodi ya Mwalimu Nyerere

Yaani Mtu aliyeifanyia makubwa Tanzania na kuwa Statesman kwa miaka 23 leo hii anaweza Kufananishwa na Mtu aliyeingia tarehe 17 Machi, 2021 hadi leo tarehe 11 Oktoba, 2023?

Media ya Tanzania ni kwanini mnapenda sana Kudanganya, Kujipendekeza na kuendekeza Njaa namna hii?

Hivi ukiwa na Akili timamu unaweza Kufananisha Mafanikio makubwa na ya Kihistoria ya Mchezaji Hayati Pele na Mafanikio ya hivi karibuni ( ya muda mfupi ) ya Mchezaji Novatus Dismas na kusema kuwa kamfikia Nguli Pele?

Kumbe GENTAMYCINE ninapoidharau Media ya Tanzania huwa sikosei na huwa nipo sahihi 100%.

Hovyo kabisa......!!

View attachment 2778437
Kwa Vichekesho hivi na vingine vyote vifafanavyo na hivi usisite kutembelea www.ccmmaigizo.co.tz
 
...Hebu Wewe Jaribu Kutumia Ubongo wako Utuambie Raisi aliyepo anaweza Kumshinda Nyerere Kwa Rekodi ipi ???
Acha kukurupuka...

Uliyelisoma gazeti la Majira utuambie wamefananishwaje ?

Hebu tumia UBONGO wako unieleze.....
 
Rais Samia afikia rekodi ya Mwalimu Nyerere

Yaani Mtu aliyeifanyia makubwa Tanzania na kuwa Statesman kwa miaka 23 leo hii anaweza Kufananishwa na Mtu aliyeingia tarehe 17 Machi, 2021 hadi leo tarehe 11 Oktoba, 2023?

Media ya Tanzania ni kwanini mnapenda sana Kudanganya, Kujipendekeza na kuendekeza Njaa namna hii?

Hivi ukiwa na Akili timamu unaweza Kufananisha Mafanikio makubwa na ya Kihistoria ya Mchezaji Hayati Pele na Mafanikio ya hivi karibuni ( ya muda mfupi ) ya Mchezaji Novatus Dismas na kusema kuwa kamfikia Nguli Pele?

Kumbe GENTAMYCINE ninapoidharau Media ya Tanzania huwa sikosei na huwa nipo sahihi 100%.

Hovyo kabisa......!!

View attachment 2778437
Hovyo sana mkuu, hawa waandishi hovyo kabisa. Inakera sana.
 
Mbona hujatuambia ni rekodi gani mkuu?!!!

Wewe ni msomi wa SAUT unanishangaza kwa kusimamia pekee CAPTION ya gazeti na si CONTENTS yake [emoji1787]
Kwa Genius yoyote yule Caption / Headline ya Gazeti lolote inatosha Kukuambia Upumbavu ulioko katika Content ya Taarifa husika na kutopoteza muda wa Kuisoma.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!
 
Gentamicin usiwalaumu waandishi baba. Njaaa kali bila ivyo ivyo watoto walishapatwa na kwashiorkor na wanaelekea kufa bila kuandika ivyo wanakufa na njaaa
For any Professional to accept being a Sycophant / Flateterer of the State ( Authority ) tantamounts to how Useless and dame Fool He / She is.

We have a very bogus media in TZA.
 
kumbe hata saa mbovu kuna wakati inaonesha muda sahihi
 
Rais Samia afikia rekodi ya Mwalimu Nyerere

Yaani Mtu aliyeifanyia makubwa Tanzania na kuwa Statesman kwa miaka 23 leo hii anaweza Kufananishwa na Mtu aliyeingia tarehe 17 Machi, 2021 hadi leo tarehe 11 Oktoba, 2023?

Media ya Tanzania ni kwanini mnapenda sana Kudanganya, Kujipendekeza na kuendekeza Njaa namna hii?

Hivi ukiwa na Akili timamu unaweza Kufananisha Mafanikio makubwa na ya Kihistoria ya Mchezaji Hayati Pele na Mafanikio ya hivi karibuni ( ya muda mfupi ) ya Mchezaji Novatus Dismas na kusema kuwa kamfikia Nguli Pele?

Kumbe GENTAMYCINE ninapoidharau Media ya Tanzania huwa sikosei na huwa nipo sahihi 100%.

Hovyo kabisa......!!

View attachment 2778437
Mbona unajionesha una elimu ndogo...

Some titles are metaphorical presentations...

Thats IRONICAL...

Unakifaham kitabu cha Mfalme Juha..
 
Rais Samia afikia rekodi ya Mwalimu Nyerere

Yaani Mtu aliyeifanyia makubwa Tanzania na kuwa Statesman kwa miaka 23 leo hii anaweza Kufananishwa na Mtu aliyeingia tarehe 17 Machi, 2021 hadi leo tarehe 11 Oktoba, 2023?

Media ya Tanzania ni kwanini mnapenda sana Kudanganya, Kujipendekeza na kuendekeza Njaa namna hii?

Hivi ukiwa na Akili timamu unaweza Kufananisha Mafanikio makubwa na ya Kihistoria ya Mchezaji Hayati Pele na Mafanikio ya hivi karibuni ( ya muda mfupi ) ya Mchezaji Novatus Dismas na kusema kuwa kamfikia Nguli Pele?

Kumbe GENTAMYCINE ninapoidharau Media ya Tanzania huwa sikosei na huwa nipo sahihi 100%.

Hovyo kabisa......!!

View attachment 2778437
Nawe unastahili Tuzo ya Heshima kwa kuendelea kusoma hivi vijarida vya ccm
 
Back
Top Bottom