BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,591
- 8,826
Bernald Mnyilenda aliyekuwa Mhasibu wa Shule ya Southern Highlands amehukumiwa kifungo hicho baada ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Iringa kumkuta na hatia ya kutumia kitabu ghushi cha Risiti na kupokea ada kiasi cha Tsh. milioni 97.
Mahakama hiyo imemkuta na makosa 22 baada ya kusikiliza Mashahidi 7 wakiwemo wakaguzi wawili, mmiliki wa shule hiyo, Marry Joseph Mungai na baadhi ya wazazi waliothibitisha kulipa ada na kupewa risiti zilizokwisha muda wa matumizi.
Hakimu Mkazi Mkuu Said Ally Mkasiwa, alikataa utetezi wa Mtuhumiwa aliyeomba kupunguziwa adhabu na kusema hajaona ushawishi, hivyo anastahili hukumu ya miaka 76 na kutakiwa kurejesha Tsh. Milioni 116.3.
Mahakama hiyo imemkuta na makosa 22 baada ya kusikiliza Mashahidi 7 wakiwemo wakaguzi wawili, mmiliki wa shule hiyo, Marry Joseph Mungai na baadhi ya wazazi waliothibitisha kulipa ada na kupewa risiti zilizokwisha muda wa matumizi.
Hakimu Mkazi Mkuu Said Ally Mkasiwa, alikataa utetezi wa Mtuhumiwa aliyeomba kupunguziwa adhabu na kusema hajaona ushawishi, hivyo anastahili hukumu ya miaka 76 na kutakiwa kurejesha Tsh. Milioni 116.3.