Kila ktu kinawezekana mkuu na sjathibitisha 100% kuwa hajadhurumu ila huwez linganisha na purukushani za sie wanaume angekuwa mwanaume hapo tungesema ni pesa, na wanawake za watu hvo viwili tuSisemi kadhulumu,lakini unavyosema wanawake hawadhulumu una huakika kwa ilo?
Me mwenyewe nmeumia sana kisa ni mwanamke tu why kwahyo wakamchoma na moto ili kukwepa ushaidi au , dah binaadamuMjinga gani anayeua mwanamke, ni kosa kubwa sana kuua wanawake na watoto. Kwa sababu hawana nguvu ya kujidefend wenyewe.
Picha kabla tafadhari akiwa kwenye ractis nyeupe timuone alivyokua kabla ya umauti,Kila ktu kinawezekana mkuu na sjathibitisha 100% kuwa hajadhurumu ila huwez linganisha na purukushani za sie wanaume angekuwa mwanaume hapo tungesema ni pesa, na wanawake za watu hvo viwili tu
Shinyanga huu mkoa na mingine ya wasukuma ukatili umezidi!Mhasibu wa Benki ya BOA wilayani Kahama mkoani Shinyanga, Martha Towa (30), amefariki dunia baada ya kutekwa na watu WASIOFAHAMIKA kisha kuchomwa moto kwa kutumia mafuta yanayodhaniwa ni petroli wilayani Kibaha Mkoa wa Pwani.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, Pius Lutumo akizungumza na gazeti la Nipashe ameeleza kuwa tukio hilo lilitokea Machi 3 mwaka huu, maeneo ya Mitamba mkoani Pwani, ambapo wasamaria wema walilijulisha Jeshi la Polisi kuhusu tukio hilo.
Alisema wasamaria wema walimkuta Martha, ambaye ni mkazi wa Kwa Mbonde akiwa na majeraha ya moto na kutoa taarifa polisi majira ya saa 4.30 usiku na polisi walikwenda na kumchukua kisha kumpeleka Hospitali ya Mkoa wa Pwani (Tumbi), Kibaha.
Alisema kuwa baadaye alihamishiwa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) kwa matibabu zaidi na usiku wa kuamkia Machi alifariki dunia. Kamanda Lutumo alisema kutokana na mazingira yenye utata ya kifo hicho, Jeshi la Polisi linaendelea na uchunguzi ikiwako kubaini sababu za kuchomwa moto.
Chanzo: Nipashe
Huu ni ukatili wa hali ya juu sana.Mhasibu wa Benki ya BOA wilayani Kahama mkoani Shinyanga, Martha Towa (30), amefariki dunia baada ya kutekwa na watu WASIOFAHAMIKA kisha kuchomwa moto kwa kutumia mafuta yanayodhaniwa ni petroli wilayani Kibaha Mkoa wa Pwani.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, Pius Lutumo akizungumza na gazeti la Nipashe ameeleza kuwa tukio hilo lilitokea Machi 3 mwaka huu, maeneo ya Mitamba mkoani Pwani, ambapo wasamaria wema walilijulisha Jeshi la Polisi kuhusu tukio hilo.
Alisema wasamaria wema walimkuta Martha, ambaye ni mkazi wa Kwa Mbonde akiwa na majeraha ya moto na kutoa taarifa polisi majira ya saa 4.30 usiku na polisi walikwenda na kumchukua kisha kumpeleka Hospitali ya Mkoa wa Pwani (Tumbi), Kibaha.
Alisema kuwa baadaye alihamishiwa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) kwa matibabu zaidi na usiku wa kuamkia Machi alifariki dunia. Kamanda Lutumo alisema kutokana na mazingira yenye utata ya kifo hicho, Jeshi la Polisi linaendelea na uchunguzi ikiwako kubaini sababu za kuchomwa moto.
Chanzo: Nipashe
kwanini mkuu Slowly unasema possibly aliyechonga huo mchongo ni mwanamke mwenzake?Huyo mdada wamemuonea Sana na possibly aliyechonga huo mchongo ni mwanamke mwenzake , au penzi lenye mgogoro , hvyo viwili hvyo
Mbona na wanawake pia wanadhulumu penzi,kwa waume za watuKila ktu kinawezekana mkuu na sjathibitisha 100% kuwa hajadhurumu ila huwez linganisha na purukushani za sie wanaume angekuwa mwanaume hapo tungesema ni pesa, na wanawake za watu hvo viwili tu
Umesoma vizuri eneo lilipotokea tukio?Shinyanga huu mkoa na mingine ya wasukuma ukatili umezidi!
For shoHuyo mdada wamemuonea Sana na possibly aliyechonga huo mchongo ni mwanamke mwenzake , au penzi lenye mgogoro , hvyo viwili hvyo
Kwahiyo kibaha ipo shinyanga na ni kwa wasukuma?!!Shinyanga huu mkoa na mingine ya wasukuma ukatili umezidi!
Umenijibia vzur Sana , bas tuu ningekuwa nakufahamu kesho tungeenda kupunga upepo palm village 😊Kwasababu wanawake hawapendani...refer mke wa bilionea msuya na wifi yake
Mzee ogopa sanwanawake,ni viumbe hataree sana husje jichanganya one day akiwa na jazba zaje au kajiunga na genge la wauni/majambazi.Mjinga gani anayeua mwanamke, ni kosa kubwa sana kuua wanawake na watoto. Kwa sababu hawana nguvu ya kujidefend wenyewe.
Mhasibu wa Benki ya BOA wilayani Kahama mkoani Shinyanga, Martha Towa (30), amefariki dunia baada ya kutekwa na watu WASIOFAHAMIKA kisha kuchomwa moto kwa kutumia mafuta yanayodhaniwa ni petroli wilayani Kibaha Mkoa wa Pwani.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, Pius Lutumo akizungumza na gazeti la Nipashe ameeleza kuwa tukio hilo lilitokea Machi 3 mwaka huu, maeneo ya Mitamba mkoani Pwani, ambapo wasamaria wema walilijulisha Jeshi la Polisi kuhusu tukio hilo.
Alisema wasamaria wema walimkuta Martha, ambaye ni mkazi wa Kwa Mbonde akiwa na majeraha ya moto na kutoa taarifa polisi majira ya saa 4.30 usiku na polisi walikwenda na kumchukua kisha kumpeleka Hospitali ya Mkoa wa Pwani (Tumbi), Kibaha.
Alisema kuwa baadaye alihamishiwa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) kwa matibabu zaidi na usiku wa kuamkia Machi alifariki dunia. Kamanda Lutumo alisema kutokana na mazingira yenye utata ya kifo hicho, Jeshi la Polisi linaendelea na uchunguzi ikiwako kubaini sababu za kuchomwa moto.
Chanzo: Nipashe
Naikumbuka ya mke wa bilionea Msuya na wifi yake. Kwasababu gani wanawake hampendani dada yangu witnessj ? mbona hivi sasa presidaa ni mama si ndio mngetakiwa mpendane?Kwasababu wanawake hawapendani...refer mke wa bilionea msuya na wifi yake