Mhe. Tundu Lissu, Please Acha Kumsulubu Spika Wetu! Unammaliza Kabisa Hadi Ameshindwa Kazi!

Mhe. Tundu Lissu, Please Acha Kumsulubu Spika Wetu! Unammaliza Kabisa Hadi Ameshindwa Kazi!

Pasco tafadhali Mkuu!

Hapo hakuna cha Uke wala nini? Acha wamtandike mpaka atie akili mu-kichwa! Kwani alilazimishwa na nani kuwa Supika? Kila siku akinamama wanaimba wanawake tunaweza, sasa atudhihirishie hilo kwa vitendo (ingawa ameshashindwa tayari), si ameshawezeshwa kuwa Spika kazi ni kwake!!

Hakuna kitu kibaya kama kuvaa kiatu cha mtangulizi wako halafu kikakupwaya kiasi kile yaani ni aibu! Nilimwona mzee wa standards and speed akicheki kwa pembeni mama anavyosulubiwa!! Yaani kama kuna kuombwa apewe tena awamu ijayo naamini ataitema hiyo nafasi. Wote wamepwaya vibaya.

Wanabodi,

Leo nimepata fursa ya kuliangalia bunge live asubuhi hii kupitia TBC-1,
Spika wa Bunge, Mhe. Anne Makinda ameshindwa kabisa kuliendesha bunge!, amepwaya sana na ameendesha kika bila confidence kabisa na mwisho wa maelezo yake, akamtaja Mhe. Tundu Lissu kama ndiye mbunge anayeongoza kwa kuleta vurugu bungeni, na Lissu aliponyanyuka kuomba muongozo wa Spika, akamvurumishia tena Spika Makombora mazito, na kama angeendela kidogo tuu!, Spika Makinda ange break down kwa machozi!. (Naamini akifika ofisini kwake, atajifungia kidogo na kuimalizia hasira yake the same way wanawake wote wanamalizaga hasira zao!.

Kwa kuzingatia sifa kuu iliyomfanya Mhe. Mama Makinda kuchaguliwa kuwa spika, huku Mhe. Tundu Lissu akiujua fika uwezo wa Madam Spika, kwanini anaendelea kumsulubisha kila apatapo fursa?!. This is not fair!.

Kwa vile Mama Makinda amepewa uspika because she is a lady, kwa uzi huu, namuomba Mhe. Tundu Lissu na wabunge wengine wa Kambi ya Upinzani, wanapokuwa na hoja za msingi, wamuaddress Madam Spika with courtesy of addressing a lady, ili ku restore confidence yake kuliendesha bunge ambapo kwa sasa, ameshindwa kabisa, amezuia hoja zote binafsi, hivyo leo bunge limekutana asubuhi tuu kwa kipindi cha maswali na majibu na kuahirishwa, natumaini kesho na keshokutwa itakuwa vivyo hivyo!, huu ni ufujaji bure wa rasilimali za Taifa!.

Nawauliza wajameni, hivi hiki anachofanya Mhe. Lissu na wabunge wengine wa upinzani, kumsubulu Madam Spika ambaye ni mwanamke bila huruma, ni sawa kweli?!.

Kiafrika, wanawanake ni ni watu wa kubembelezwa na kuonewa huruma!, hivi hawa wabunge wa upinzani ni watu wa aina gani wasio hata na huruma kwa wanawake?!, leo ilibakia kidogo tuu madam spika angelia!, jee hiki wanachofanya ni sawa kweli?!. Ni haki?!.

Nawaombeni tumtendee haki Spika wetu aendesha bunge kwa haki na kujiamini!.

Pasco.
 
Sasa bila hoja kuna raha gan ya kuangalia bunge? Bora hy rasilimal yetu itumike kwingine
 
Pasco,


Mi nadhani wabunge waendelee kumvua nguo Makinda na Ndugai ili dunia ione kwanini sisi ni masikini.

Hayo ni matusi, si wenye busara waandikayo hayo.

Umaskini aliotuwachia Nyerere utafananisha na leo?
 
Video mojawapo ya jinsi Madam Speaker na Naibu wake wanavyosulubishwa mpaka kuchanganyikiwa na huku kiongozi wa wabunge wa CCM bungeni William Lukuvi na mwanasheria mkuu wa serikali ya CCMjaji Fredrick Werema wakichanganyikiwa 'live'' :


Source: m.m. mwanakijiji wa youtube

Bunge limelazimika kusitisha shughuli zake hadi kesho....


Source: ITV TANZANIA ya youtube
 
Last edited by a moderator:
hayo ndo madhara ya kuweka mtu acyekuwa na uwezo wa kuongoza bunge,siyo siri mi huwa naona kichefuchefu hata kumwangalia huyo mother akiwa anaongoza bunge.
 
Nitarudi hapa weekend na nondo zangu. CCM wamejisahau bado wanafikiri wapo kwenye sera ya chama kimoja. ... .. . hii inatokana na ulafi na ufisadi walioukumbatia na sasa unawatokea puani.
 
yaani huyo ---- kigangwala yaaani amenipa hasila pum*** zake sijui ni ujinga au kalogwa yaani nashindwa kuelewa kama

anaakili au huwa unatumia masaburi au sijui siyo riziki yaani naona km anatabia hizo **** zake.shit!..


Tundu Lissu ameonesha madhaifu ya kiti! Worse enough Kingwangala akataka ku 'pre-empty' hoja kwa kuongea ujinga.
 
Wanabodi,

Leo nimepata fursa ya kuliangalia bunge live asubuhi hii kupitia TBC-1,
Spika wa Bunge, Mhe. Anne Makinda ameshindwa kabisa kuliendesha bunge!, amepwaya sana na ameendesha kika bila confidence kabisa na mwisho wa maelezo yake, akamtaja Mhe. Tundu Lissu kama ndiye mbunge anayeongoza kwa kuleta vurugu bungeni, na Lissu aliponyanyuka kuomba muongozo wa Spika, akamvurumishia tena Spika Makombora mazito, na kama angeendela kidogo tuu!, Spika Makinda ange break down kwa machozi!. (Naamini akifika ofisini kwake, atajifungia kidogo na kuimalizia hasira yake the same way wanawake wote wanamalizaga hasira zao!.

Kwa kuzingatia sifa kuu iliyomfanya Mhe. Mama Makinda kuchaguliwa kuwa spika, huku Mhe. Tundu Lissu akiujua fika uwezo wa Madam Spika, kwanini anaendelea kumsulubisha kila apatapo fursa?!. This is not fair!.

Kwa vile Mama Makinda amepewa uspika because she is a lady, kwa uzi huu, namuomba Mhe. Tundu Lissu na wabunge wengine wa Kambi ya Upinzani, wanapokuwa na hoja za msingi, wamuaddress Madam Spika with courtesy of addressing a lady, ili ku restore confidence yake kuliendesha bunge ambapo kwa sasa, ameshindwa kabisa, amezuia hoja zote binafsi, hivyo leo bunge limekutana asubuhi tuu kwa kipindi cha maswali na majibu na kuahirishwa, natumaini kesho na keshokutwa itakuwa vivyo hivyo!, huu ni ufujaji bure wa rasilimali za Taifa!.

Nawauliza wajameni, hivi hiki anachofanya Mhe. Lissu na wabunge wengine wa upinzani, kumsubulu Madam Spika ambaye ni mwanamke bila huruma, ni sawa kweli?!.

Kiafrika, wanawanake ni ni watu wa kubembelezwa na kuonewa huruma!, hivi hawa wabunge wa upinzani ni watu wa aina gani wasio hata na huruma kwa wanawake?!, leo ilibakia kidogo tuu madam spika angelia!, jee hiki wanachofanya ni sawa kweli?!. Ni haki?!.

Nawaombeni tumtendee haki Spika wetu aendesha bunge kwa haki na kujiamini!.

Pasco.


nyie hebu geuzeni macho muisome hii story mtaelewa Pasco anamaanisha nini
 
Leo nimemuonea huruma yule mama kweli hasa hoja ya kuwa kuna rufaa za toka mwaka 2011 hadi leo juu ya maamuzi yake hazijashughulikiwa, naona kawa mkali akiwa hana majibu , kutumikishwa ni kazi kubwa kweli kweli[/QUOTE]

Nadhani hata yeye(Makinda) amelitambua hilo na moto wake ameuona mpaka akapendekeza kwenye katiba mpya spika asiwe na chama.
 
huenda utabiri wa mwanahalisi ukatimia... maana kuna toleo moja la mwanahalisi lilisema hatamaliza mika2 akiwa spika japo hiyo miaka naona imeisha.... ngoja tuone safari bado ni ndefu kufika 2015
 
Mabere Marando akizungumzia umuhimu wa kuchagua Spika bora mwenye kuelewa Bunge ni mhimili huru katika mfumo wa utawala wa nchi , mwenye uwezo na taaluma itakayomwezesha kuongoza Bunge vizuri bila kuegemea chama tawala kiushabiki:

Makinda na Marando wakiomba Uspika November 2010


Source: m.m mwanakijiji wa youtube


Ahadi za Spika wa Bunge baada ya uchaguzi kuwa Spika atafuata kanuni bila upendeleo hiyo ilikuwa November 2010

Spika wa Bunge mwanamama- ANNE MAKINDA


Source: Tangibovu wa youtube
 
Last edited by a moderator:
ai donti noo ! bati duu yuu thinki injastis wil pasisti foreva......? leti mii weit endi sii the guud or bad end ov zis jane.. yangu macho.
 
Kiukweli watanzania wote tunaolipenda taifa letu, tuhakikishe 2015 bungeni angalau tunapeleka wabunge 150 wa chadema. Makinda alidhulumu nafasi ya samweli sitta. Binafsi nampongeza sana lissu!
 
Video mojawapo ya jinsi Madam Speaker na Naibu wake wanavyosulubishwa mpaka kuchanganyikiwa na huku kiongozi wa wabunge wa CCM bungeni William Lukuvi na mwanasheria mkuu wa serikali ya CCMjaji Fredrick Werema wakichanganyikiwa 'live'' :

Kiwanda at work.

Unakujuwa kuchanganyikiwa au unajiongelea tu? mradi upo kiwandani?
 
Wanabodi,

Leo nimepata fursa ya kuliangalia bunge live asubuhi hii kupitia TBC-1,
Spika wa Bunge, Mhe. Anne Makinda ameshindwa kabisa kuliendesha bunge!, amepwaya sana na ameendesha kika bila confidence kabisa na mwisho wa maelezo yake, akamtaja Mhe. Tundu Lissu kama ndiye mbunge anayeongoza kwa kuleta vurugu bungeni, na Lissu aliponyanyuka kuomba muongozo wa Spika, akamvurumishia tena Spika Makombora mazito, na kama angeendela kidogo tuu!, Spika Makinda ange break down kwa machozi!. (Naamini akifika ofisini kwake, atajifungia kidogo na kuimalizia hasira yake the same way wanawake wote wanamalizaga hasira zao!.

Kwa kuzingatia sifa kuu iliyomfanya Mhe. Mama Makinda kuchaguliwa kuwa spika, huku Mhe. Tundu Lissu akiujua fika uwezo wa Madam Spika, kwanini anaendelea kumsulubisha kila apatapo fursa?!. This is not fair!.

Kwa vile Mama Makinda amepewa uspika because she is a lady, kwa uzi huu, namuomba Mhe. Tundu Lissu na wabunge wengine wa Kambi ya Upinzani, wanapokuwa na hoja za msingi, wamuaddress Madam Spika with courtesy of addressing a lady, ili ku restore confidence yake kuliendesha bunge ambapo kwa sasa, ameshindwa kabisa, amezuia hoja zote binafsi, hivyo leo bunge limekutana asubuhi tuu kwa kipindi cha maswali na majibu na kuahirishwa, natumaini kesho na keshokutwa itakuwa vivyo hivyo!, huu ni ufujaji bure wa rasilimali za Taifa!.

Nawauliza wajameni, hivi hiki anachofanya Mhe. Lissu na wabunge wengine wa upinzani, kumsubulu Madam Spika ambaye ni mwanamke bila huruma, ni sawa kweli?!.

Kiafrika, wanawanake ni ni watu wa kubembelezwa na kuonewa huruma!, hivi hawa wabunge wa upinzani ni watu wa aina gani wasio hata na huruma kwa wanawake?!, leo ilibakia kidogo tuu madam spika angelia!, jee hiki wanachofanya ni sawa kweli?!. Ni haki?!.

Nawaombeni tumtendee haki Spika wetu aendesha bunge kwa haki na kujiamini!.

Pasco.


Source: m.m. mwanakijiji wa youtube



Source: ITV TANZANIA ya youtube


Pasco!! Huruma ya nini? Hili ni Bunge, Kwani "Wanatongozana"?
 
Last edited by a moderator:
Kama Ndugai halali usiku, muda mwingi ni ku chat na shetani, his best friend!
 
Ushauri wako ni mzuri lakini unawafaa watu waadilifu na wanaokerwa na uovu na umaskini wa Nchi hii lakini sio Mbunge toka CCM.

:becky::becky: haoni mwenzie Lowasa anavyo jingea heshima makanisani na kwenye mahafali kila kukicha yupo busy na jamii
 
Back
Top Bottom