Dr Rutagwerera Sr
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 5,809
- 11,462
Hamna pisi mchaga yule sio sukuma.Wasukuma wameshuka daraja sasa. Sio wife material tena tuhamie kwengine tu.
Sifurahii kilichompata namuonea huruma kinoma. Lakini mchizi naye alikua na ushamba sana. Mambo ya kumuanikaanika mwanamke wako ovyo unawapa mshawasha timu majaribio waone hasa kinachosifiwa. Na wanawake hawalazi damu ukienda round 2 akichomoa una mkosi ukaoge.ndo maana kafuta mapicha yotee yani hadi ya mtoto kashindwa kuvumilia kabisaa hili suala...!!
Ndo nani na nani hao?Wazee mtajiongeza wenyewe kuna hot cake moja nimerushiwa hapa ya mkewa mheshimiwa kijana yule wa Arusha anayependa kumpost sana mke wake amepigiwa mke wake aisee kwa ninavyomjua yule mheshimiwa atazimia muda si mrefu
Hawa mademu ukiwapenda ni shida usipowapenda ni shida yaani cha msingi demu usimuoneshe upendo kama demu ni msukuma sawa na yule mheshimiwa crew yao si ilikuwa na bifu na washikaji wa kiwalani si unamkumbuka akina Zaid? Kwahiyo mheshimwa hali tete huko aliko kazi kwenu.
Ndoa za kiafrika zina tatizo sidhani kama wenzetu rangi nyeupe wanazo changamoto tunazopitia sisi sasa hivi ingawa nakubali matatizo watakuwa nayo.Nafikiri tufike hatua tuanzishe mtindo mpya wa kujenga familia pasipo watu kuwekana ndani, si wanaume si wanawake wote wanaiangaika kutafuta furaha nje ya ndoa.
Sasa sijui kwa nini tunazitakq hizo ndoa
mmh kwani kuna video???Mkuu, Hela sahizi ngumu, ndio maana nmekua mgumu piaa kunitafuta hiyo video.
Kumbe msukumaToto la kisukuma hilo, shida ya dada zangu nao wanapenda mchezo wa kukazana sana yani π€£π€£π€£
Mbona una tabia za kishoga sana, unaandika huu ujinga ili upate faida gani?Daah kumbe mheshimiwa hata Mtoto hakuwa wakeee[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] Mamaeee wanawake shikamooo hata shetani anajifunza toka kwenu aiseeee..!!
Haya yanawapa faida gani? Mbona mnakua na tabia za kishoga sana?Kuna tetesi hawa watu wana bifu fulani, Mwenye kuelewa kwa kina atujuze!
Iko wapi mkuuHaujaipata video bado?
Ni mchaga, siyo msukuma Joan Nixon TemuSiku hizi hawa madem wa kisukuma. Angalia mke wa masanja. Angalia yule kule Bagamoyo aliyezuia mmewe asizikwe kwake azikwe moshi ili auze nyumba.
MC pilipili juzi hapa alikuwa na msala huo huo demu wake kagongewa. Na mambo yapo hadharani kabisa.Mh DC wa pili atakua kajifunza sasa
Hata AY alisha achana na remi yule mke wake ...sahv anatoka na li black America
Mc pilipili akae mkao wa kula asipobadilika itakula kwake
Media ya umbea mtu akienda kuishtaki mtamuona kama ni katili ila ndo dawa yao.Itakuwa tunalea sana watoto wa watu π π π
Pasua vichwa hao kabisa whozu kamshindwa TundaNi mchaga, siyo msukuma Joan Nixon Temu
[emoji849] duhh!! Mbona balaa.Mtoto wamefanya DNA sio wake [emoji24][emoji24]
Una uhakika ?Mtoto wamefanya DNA sio wake ππ
Duh [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Kazi ipo adseMC pilipili juzi hapa alikuwa na msala huo huo demu wake kagongewa. Na mambo yapo hadharani kabisa.
Oshey mr [emoji383]MC pilipili juzi hapa alikuwa na msala huo huo demu wake kagongewa. Na mambo yapo hadharani kabisa.
Mchagga amechanganya na muiraq (mnawaitaga wamburu)Sijajua kabila lake. Kwa lile hips na shundu huenda akawa msukuma.
Ukimpost mwanamke wako mitandaoni unakuwa na dhamira gani, unataka watu wamuone ili waje kumchukua, wakusifie au waone unamahusiano ya namna gani?!Unayosema ni kweli 100%. Kumweka mke hadharani ni hatari sana. Nimeona kuna watu maarufu sana ila wake zao hawajulikani. Siku moja nilishangaa kujua Fally Ipupa ana mke na watoto kadhaa. Na yuko poa na familia yake ingawa kumuona mkewe kwenye media ni ngumu.