Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo kila mtu ana ukoo muwage na akili sometimes wengine wanazaliwa na hovyoo to hawajui mama yuko wapi wala baba ni naniJamaa amezingua sana aisee, sitaki kuamini ukoo wao mzima pia hakukua na wa kumsaidia nauli aende huko dar jiwe alipotuambia vijana tukaombe kazi
Km wwAna matatizo ya akili asisingizie ajira
Ww ni KE au ME?Ana matatizo ya akili asisingizie ajira
Vijana wengi waliomaliza vguo ni masharobaro ukimwambie njoo usaidie fundi kutwa elf 15 anaona mademu zake watamdharau matokeo yake ndio haya sasaHamna trust me. Yani pakujishikiza ni kwenye vibarua ambako naamini mwanaume hachagui kazi.
KUMBE NI TANZANIA PEKEE NDIPO HAKUNA AJIRA LAKINI NCHI ZOTE DUNIANI KUNA AJIRA?Waweza kumuita hivyo ukipenda, lakini ugumu huu wa maisha alioupata kama yatima (kulingana na maelezo) angeweza kutafuta riziki kwa kuwa jambazi na siku moja akasimamisha gari la mumeo au baba yako na katika purukushani za kumpora akauwawa. Sidhani kama ungemuita mpuuzi kwa dharau hivyo badala ya majina mengine. Tumesema Ukosefu wa ajira ni bomu linalo subiri kulipuka tuu
NdioKm ww
BothWw ni KE au ME?
K ma weweNdio
La mamakoK ma wewe
La mama yako starehe ya twanga pepetaLa mamako
NOT TRUE! alichokifanya ni kujichoma moto kwa sababu ya polisi lakini hasa kupigwa kofi na polisi wa kike. Sisitiza hilo, polisi wa kike. Kumbuka tabia ya waarabu juu wanawake.Nimemkumbuka marehemu Mohamed Bouazizi(graduate) wa Tunisia aliejua kwa kujichoma moto baada ya askari wa Jiji huko Tunisi nchini Tunisia, kukamata mali zake alizokuwa anauza kama mmachinga (street vendor) kutokana na kukosa ajira, tukio liliopelea maandamano ya kuwang'oa madikteta katika nchi kadhaa za kiarabu(Arab Spring) kwa kuanza na aliekuwa Raisi wa Tunisia,Ben Ali na baadae Mubaraka wa Misri kisha Gaddafi wa Libya.
Ni kweli. Ajira ndo ikufanye kutumia ugolo!Ana matatizo ya akili asisingizie ajira
Daaaaaahhhhh wanasayansi nisaidieni terminology ya kiumbe chenye via zote mbili za KE na ME kwa pamoja....Both
[emoji1787]Ni kweli. Ajira ndo ikufanye kutumia ugolo!
Teh..Daaaaaahhhhh wanasayansi nisaidieni terminology ya kiumbe chenye via zote mbili za KE na ME kwa pamoja....