GuDume
JF-Expert Member
- Jan 18, 2015
- 6,651
- 14,337
kwanz sijasema ni mimi ila jamaa amenikwaza kunichimba biti... mimi hawezi nichimba biti hata siku moja.. afanye analotaka kufanya na kama haamini kuwa mimi ni mentali basi ndo ataniona maana kuchimbana biti si issues za karne hii alitakiwa tu aseme kistaraabu na lakini mi nadhani alipaswa amuonye huyo demu wake.... mi nlishasema humu ndani nina maadui wengi sana na wengine ndo hawa. badala ya wao ku deal na watu wao wanachagua kudeal na mimi. mimi sibaki na sijawah baka mwanamke hata siku moja maana sioni kama kubaka kuna raha.. mwanamke ANATAKIWA ALOANE NDO MFANYE NAYE KITENDO SIYO KUBAKA.............
tukisema tupige kura nina uhakika huyo jamaa atakuwa ni GuDume maana huyu jamaa kwa sounds za mitaa namkubali sana. ila kama anafanya hivyo aache tu amwachie jamaa mchumba wake katoka naye mbali. bro gudume nakuomba mwache tu tu huyo dada... kwa asilimia 98 nahisi ni wewe na kama si wewe atakuwa general galadudu au genty.... maana nyie ndo watu wa stories za mikasi sana. hasa ukianza simulia stories zako za kuwachanja dada zetu.... kuna wanawake kweli wanapenda wanaume wahuni kama wewe... wapo. nami nafaham hilo.ila kama jamaa anakuomba usimnanii mwanamke wake mwachie tu bro. we unaweza pata mwingine. au wengine.